green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Za tz ziko wapi nikapige angalau pichaHiyo ni kwala tu anadhan hiyo nyuklia anayo yeye tu
JF ina wapuuzi KibaoHiyo ni kwala tu anadhan hiyo nyuklia anayo yeye tu
Mtu akikutakana una mshushia matusi ili ajue tume vurugwa wote.Uzi umeshachafuka huu. Naona matusi yanaanza kutamalaki. "Take it easy guys"
Kuna watu wana shida sana asee bila ya matusi hawaoni kama wanaweza kujengeana hojaUzi umeshachafuka huu. Naona matusi yanaanza kutamalaki. "Take it easy guys"
Maana yake ni ...Kisamvu,kupakua kuwashwa mbona munanichanganya vijana.
BREAKING π₯ #Russia has no choice than use of tactical nuclear weapons against Ukraine.Game started..
Weye unayo?Hiyo ni mikwala tu anadhan hiyo nyuklia anayo yeye tu
Wanayo super power wenyewe.Weye unayo?
Hamna Super power sasa hivi dunia ina multipollar, US anajinyeanyea hadi Houth wa Yemen wanamtia kidole USS Abraham imewanyea juziWanayo super power wenyewe.
Si wakaiguse ardhi yake. ππππHamna Super power sasa hivi dunia ina multipollar, US anajinyeanyea hadi Houth wa Yemen wanamtia kidole USS Abraham imewanyea juzi
Kwa kawaida mionzi ya nuclear huweza kuchukua zaidi ya miaka 100 kupotea.Ngoma ikivuma sana nimeona na Sweden wamefanya same things ila nimejiuliza tu hio mionzi itakaa muda gani kiasi gari kama hilo liweze kuwalinda watu kipindi chote cha mionzi mpaka iishe
Hapa nakubaliana nawe kabisa na ndio maana hata zile shelter pia kwa nyuklia war hazina maana yeyote sababu watu hawata weza kukaa kule na kufanya mambo yao hata kwa zaidi ya miezi mitatu au sita mpaka mwakaKwa kawaida mionzi ya nuclear huweza kuchukua zaidi ya miaka 100 kupotea.
Halafu ikipigwa nuclear sidhan kama huto tunyumba tutasustain .
Hizo shelter wala sio serious issue Hiyo ni tactic ya camouflage.
Hapo Russia anajaribu kuwatisha Nato kuwa yuko tayari kwa Nuclear.
Lakini key word ni "kuwatisha"
Mikwala kama ya Ayatolah.πHiyo ni mikwala tu anadhan hiyo nyuklia anayo yeye tu