TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 4,321
- 7,501
Bado store zetu zina goboleZa tz ziko wapi nikapige angalau picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado store zetu zina goboleZa tz ziko wapi nikapige angalau picha
Eti miaka ya nyuma kuna mzee aliwahi kukamatwa na jesh kisa anatengeneza magobole. Waliona fahari kununua silaha nje na sio kuwezesha vipaji vya ndaniBado store zetu zina gobole
Sasa kama ana mdomo uliotatuka kwa nini asitukane? Watu kama hao wametatuka midomo.🤣🤣🤣Kuna watu wana shida sana asee bila ya matusi hawaoni kama wanaweza kujengeana hoja
Vita ya dunia inakaza soon☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️Russia imeanza kuzalisha na kusambaza Nuclear shetlers mitaani kwa ajili kukinga raia dhidi ya mionzi hatari......Rais Vladimir Putin ameagiza vikosi vya Nyuklia kujibu shambulio lolote toka Nchi za NATO na Ukraine kwa ☢️
🚨Update: Russia begins production of mobile nuclear shelters! These shelters is designed to protect citizens from various threats, including light radiation from nuclear explosions and radioactive contamination!
View attachment 3156179View attachment 3156180View attachment 3156181
Mfumo wetu wa Elimu unazalisha watu wajinga wengi sana .JF ina wapuuzi Kibao
Watu kama wewe hua mnasumbua sana baadae.Hiyo ni mikwala tu anadhan hiyo nyuklia anayo yeye tu
Mkuu naomba nikuambie kitu,warusi ndio wataalamu namba moja wa mambo ya nyukilia hapa duniani,walipotengeneza hivyo vibanda wanajua wanachokifanya,ondoa wasiwasi.Hapa nakubaliana nawe kabisa na ndio maana hata zile shelter pia kwa nyuklia war hazina maana yeyote sababu watu hawata weza kukaa kule na kufanya mambo yao hata kwa zaidi ya miezi mitatu au sita mpaka mwaka
Waambie watulie tuMods wakipita hapa watakula vichwa wengi
Kitaalamu inaitwa Verbal diarrhoeaSasa kama ana mdomo uliotatuka kwa nini asitukane? Watu kama hao wametatuka midomo.🤣🤣🤣
Heli nawe umeliona yaani hadi aibu lo Mungu atusaidie, kwa hali hii viongozi wetu bado wanakazi ngumu!!! inasikitisha kweli.JF ina wapuuzi Kibao
Kwani maana kusambaza hizo shelter mitaani ni nini? Anayaka kujilipua yeye mwenyewe?Hiyo ni mikwala tu anadhan hiyo nyuklia anayo yeye tu
Ni pakusubilia uokozi wa kuhamishiwa sehemu salama.Hapa nakubaliana nawe kabisa na ndio maana hata zile shelter pia kwa nyuklia war hazina maana yeyote sababu watu hawata weza kukaa kule na kufanya mambo yao hata kwa zaidi ya miezi mitatu au sita mpaka mwaka
😅😅tena wawawekee na viazi mviringo humo ndani wasije wakajifia na njaaHayo si makontena yaliyopakwa rangi tu
Safari hii lazima Biden ateme bungoRussia hana lolote, ni biti tu hizo.