Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MIkwara bubu☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️Russia imeanza kuzalisha na kusambaza Nuclear shetlers mitaani kwa ajili kukinga raia dhidi ya mionzi hatari......Rais Vladimir Putin ameagiza vikosi vya Nyuklia kujibu shambulio lolote toka Nchi za NATO na Ukraine kwa ☢️
🚨Update: Russia begins production of mobile nuclear shelters! These shelters is designed to protect citizens from various threats, including light radiation from nuclear explosions and radioactive contamination!
View attachment 3156179View attachment 3156180View attachment 3156181
NATO na US wamemwaga mboga sasa niwakati wa Russia kumwaga DonaKwani maana kusambaza hizo shelter mitaani ni nini? Anayaka kujilipua yeye mwenyewe?
Jana nilikuwa naichallange Chart GPT kuhusu Historia itaandikwaje baada ya miaka 10-20 endapo ikitokea Vita ya 3 ya Dunia kupitia mgogoro wa Ukraine na Urusi kwasasa!Mwaka 1994, Ukraine ilikubali kuhamisha Silaha za Nyuklia, kwenda Urusi na ikawa sehemu ya Mkataba wa “Non-proliferation”, in exchange, Ukraine wakahakikishiwa na Urusi, Amerika na Uingereza kwamba uhuru wake Ukraine na mipaka iliyopo vitaheshimiwa.
Urusi ilivunja makubaliano hayo.
Otherwise Ukraine isingekuwa mojawapo ya non-nuclear countries
Hata WWII ilianza hivi hiviMikw
MIkwara bubu
Mikw
MIkwara bubu
Russian are good at asymmetrical response or retaliation. Do not underestimate these guys!
Hamna kitu hapo, Putin wa watu kajichokea na vita hana cha kufanya zaidi ya kutishia nyau.Safari hii lazima Biden ateme bungo
🇷🇺☢️ Russia has begun mass production of nuclear shelters!Hamna kitu hapo, Putin wa watu kajichokea na vita hana cha kufanya zaidi ya kutishia nyau.
Kwahiyo hizo shelter watakaa miaka hamsini bila kutoka, maana nuclear zikipigwa hadi huku mpitimbi tutafikiwa kwa namna moja au nyingine.🇷🇺☢️ Russia has begun mass production of nuclear shelters!
Modular shelters "KUB-M" are more reminiscent of a cargo container, in which two dozen people can fit.
"The serial production of the innovative modular protective structure "KUB-M" has started in the Russian Federation. This event is the result of many years of research and efforts of scientists and experts in the field of protecting the population from emergency situations."
Mandonga kaanza huko☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️Russia imeanza kuzalisha na kusambaza Nuclear shetlers mitaani kwa ajili kukinga raia dhidi ya mionzi hatari......Rais Vladimir Putin ameagiza vikosi vya Nyuklia kujibu shambulio lolote toka Nchi za NATO na Ukraine kwa ☢️
🚨Update: Russia begins production of mobile nuclear shelters! These shelters is designed to protect citizens from various threats, including light radiation from nuclear explosions and radioactive contamination!
View attachment 3156179View attachment 3156180View attachment 3156181
Kama wewe ulivyo mpuuzi🤣JF ina wapuuzi Kibao
Usiwe na kihereher elewa mleta mada na Russia wanavo design hujambiwa yy akirusha rlewa kwanza utakalia mb oo haijatoka ndan ya sure aliHiyo ni mikwala tu anadhan hiyo nyuklia anayo yeye tu
Unawashwa nawewe k hilo unduchi lako? Unanuka nyaaHuj
Usiwe na kihereher elewa mleta mada na Russia wanavo design hujambiwa yy akirusha rlewa kwanza utakalia mb oo haijatoka ndan ya sure ali
Inawezekana maana unaweza lipua kumbe wajuzi wamezuia iangukie kwakoKwani maana kusambaza hizo shelter mitaani ni nini? Anayaka kujilipua yeye mwenyewe?
endelea kuotaHamna Super power sasa hivi dunia ina multipollar, US anajinyeanyea hadi Houth wa Yemen wanamtia kidole USS Abraham imewanyea juzi
Unamaana mdomo wake hauna marinda kama redmedSasa kama ana mdomo uliotatuka kwa nini asitukane? Watu kama hao wametatuka midomo.🤣🤣🤣
Putin ni mwendawazimu!! Yaani yeye aipige Ukraine na kila aina ya silaha, mpaka mji wake mkuu, halafu aitishie Ukraine kupiga ndani ya Russia!!BREAKING 🔥 #Russia has no choice than use of tactical nuclear weapons against Ukraine.
🚨 #Putin signs the new doctrine on the use of nuclear weapons.
🚨 Putin declares a final nuclear war against #Ukraine, Poland, Germany, UK and NATO.
🚨 Use of American arms inside Russia will lead a nuclear war.
🤣🤣🤣Unamaana mdomo wake hauna marinda kama redmed
bibi yako anayo ukoo wenu wote hamjawahi kushika hata baruti afu unaongea niniHiyo ni mikwala tu anadhan hiyo nyuklia anayo yeye tu