ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Ana ongea sana Mrusi apige kama anapiga☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️☢️Russia imeanza kuzalisha na kusambaza Nuclear shetlers mitaani kwa ajili kukinga raia dhidi ya mionzi hatari......Rais Vladimir Putin ameagiza vikosi vya Nyuklia kujibu shambulio lolote toka Nchi za NATO na Ukraine kwa ☢️
🚨Update: Russia begins production of mobile nuclear shelters! These shelters is designed to protect citizens from various threats, including light radiation from nuclear explosions and radioactive contamination!
View attachment 3156179View attachment 3156180View attachment 3156181
Mbona makasiriko heee. Umepatwa na nini maana sio kwa povu hili. Hili jua lisije wehusha watubibi yako anayo ukoo wenu wote hamjawahi kushika hata baruti afu unaongea nini
Na ndo hao hao sasa wanatunishiana misuli wanataka kupigana mieleka ck za karibuni. Nawashauri waTz wenzangu tusiende huko uwanjani ck hiyo eti kwenda kujionea wenyewe. Hapana. Acha. Hiyo sio Simba na Yanga ni kitu kingine kabisa tena kizito chenye ncha kali.Wanayo super power wenyewe.
Yeah. Nadhani wanaSiasa unaweza kuwafananisha na dereva mlevi na mvuta bangi anapokuwa kazini. Hajui kwamba likitokea la kutokea hata yy atakuwemo.Natumai kwenye haya majeshi ya hii dunia wapo binadamu wengi sana ambao wanaamini binadamu wajao wana haki ya kurithi ardhi yenye rutuba inayofaa kwa kilimo na inayosapoti uhai maana wanasiasa ni washenzi mno.
Mhhh! Tuwe macho. Kile kitabu kinasema "Kesheni kila wakati" Huku mtaani na vijiweni huwa wana kamsemo "Chizi kapewa rungu". Hao jamaa kwa sasa huko wanakoelekea iko siku wataliamsha au watakinukisha. Dah!Mikwala kama ya Ayatolah.😁
Hebu fikiria, Mahangaiko yote hayo yanaletwa na watu wawili(2) wanaoshindana eti ni NANI mbabe zaidi.Hapa nakubaliana nawe kabisa na ndio maana hata zile shelter pia kwa nyuklia war hazina maana yeyote sababu watu hawata weza kukaa kule na kufanya mambo yao hata kwa zaidi ya miezi mitatu au sita mpaka mwaka
Mkuu nikusahihishe hii kitu ilianza undwa atomic pale USA ikajaribiwa pale Hiroshima na Nagasaki mpaka sasa ni historia,Mkuu naomba nikuambie kitu,warusi ndio wataalamu namba moja wa mambo ya nyukilia hapa duniani,walipotengeneza hivyo vibanda wanajua wanachokifanya,ondoa wasiwasi.
Katika maisha Yako nadhani hukuwahi kujua kama Kuna kitu Cha namna hii.
Dereva aliyevuta mibange.Yeah. Nadhani wanaSiasa unaweza kuwafananisha na dereva mlevi na mvuta bangi anapokuwa kazini. Hajui kwamba likitokea la kutokea hata yy atakuwemo.
yaan bro na huo ubig dog wako inabidi ujikinge na jua mana hatuna hela ya kukupeleka milembe ukiwehuka. sisi wengine ni wehu wazoefu bro.Mbona makasiriko heee. Umepatwa na nini maana sio kwa povu hili. Hili jua lisije wehusha watu
Tena wapuuzi wengi sana lakini unajua watu ambao hata kupanga miji hawawezi hawa unawalaumu vipi vilaza ni wengi mnoooJF ina wapuuzi Kibao
Tulizeni mihemkoKama wewe ulivyo mpuuzi🤣
Sawa sawa. Mwehuyaan bro na huo ubig dog wako inabidi ujikinge na jua mana hatuna hela ya kukupeleka milembe ukiwehuka. sisi wengine ni wehu wazoefu bro.
Sasa mbona wakitulia ndo wanapata nafasi ya kujikita kwa undani zaidi kujadili pisi, demu, simba/yanga, nani zaidi?, uchawi upo/haupo, ....... Ni bora tuwaache wakae kama walivyo.Tulizeni mihemko
Mikwara mbuzi hiyo[emoji3518][emoji3518][emoji3518][emoji3518][emoji3518][emoji3518][emoji3518][emoji3518][emoji3518][emoji3518][emoji3518][emoji3518][emoji3518][emoji3518]Russia imeanza kuzalisha na kusambaza Nuclear shetlers mitaani kwa ajili kukinga raia dhidi ya mionzi hatari......Rais Vladimir Putin ameagiza vikosi vya Nyuklia kujibu shambulio lolote toka Nchi za NATO na Ukraine kwa [emoji3518]
[emoji599]Update: Russia begins production of mobile nuclear shelters! These shelters is designed to protect citizens from various threats, including light radiation from nuclear explosions and radioactive contamination!
View attachment 3156179View attachment 3156180View attachment 3156181
Usiombe hii kitu, jaribu kujielemisha kwanza bomu moja la nuclear la sasa linaweza kuleta adhari gan kwenye dunia kama sayari, bomu za nuclear sas sana ziko more powerful zaid ya lililo pigwa iroshima niaka iyoSafi sana mzalendo wa Dunia putini.Tunakuomba kuanzia Sasa Anza kushusha mvua ya nuclear kuisambaratisha Ukraine na NATO Kwa ujumla.
Deal za watu hizo , wanapo agiza Hiyo mizogo kuna watu wanapiga hela kibao , hata wewe sasa hivi Ukifanya innovation usitegemea kuwa utapewa backup na Serikali ugunduzi wako means Utakuja kuziba fursa ya upigaji pesa wa watu wengine ,Eti miaka ya nyuma kuna mzee aliwahi kukamatwa na jesh kisa anatengeneza magobole. Waliona fahari kununua silaha nje na sio kuwezesha vipaji vya ndani
Ni kweli.Deal za watu hizo , wanapo agiza Hiyo mizogo kuna watu wanapiga hela kibao , hata wewe sasa hivi Ukifanya innovation usitegemea kuwa utapewa backup na Serikali ugunduzi wako means Utakuja kuziba fursa ya upigaji pesa wa watu wengine ,
So wafanyabishara ambao wameishika system ya siasa hawawezi kuruhusu Hilo expecialy in Africa
Kamata mkoba uende shule haya mambo makubwa kwakoMikwara mbuzi hiyo