Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hapewi msaada ananunua hizo drones na shaheeds.Tuache ushabiki ushabiki huondoa Logic, mbona tumekuwa tukizishuhudia Shaheed Drones za Ayatolah zikipiga Majengo ya Ukraine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapewi msaada ananunua hizo drones na shaheeds.Tuache ushabiki ushabiki huondoa Logic, mbona tumekuwa tukizishuhudia Shaheed Drones za Ayatolah zikipiga Majengo ya Ukraine?
Russia anatoa ONYO mkuuMashoga yana peana moyo uko juu .mean while russia akishusha adhabu kali
Dah huwa naikubali sana diplomasiaHali ni tete sana Huko Ukraine baada ya urusi leo asubuhi kufanya mashambulizi makubwa katika mitambo ya kuzalisha umeme Huko Kiev na miji mingine mikubwa nchini Ukraine.
Inakadiriwa watu takribani laki 2 katika jiji la Kiev hawatakua na huduma , miundombinu yote inayotumia umeme haifanyi kazi. Inakadiriwa kuwa uharibifu uliofanyika hauwezi kurekebishika .
Zelensky anasema kama hawatapata msaada wa haraka kutoka NATO nchi yake inaenda kuangamia siku zimebaki chache kabla hajakimbia au kuuwawa na majeshi ya urusi.
Mpaka hapo bwana Zele atakuwa anajiandaa kusepa maana Ulaya na America Wameshindwa vitaHali ni tete sana Huko Ukraine baada ya urusi leo asubuhi kufanya mashambulizi makubwa katika mitambo ya kuzalisha umeme Huko Kiev na miji mingine mikubwa nchini Ukraine.
Inakadiriwa watu takribani laki 2 katika jiji la Kiev hawatakua na huduma , miundombinu yote inayotumia umeme haifanyi kazi. Inakadiriwa kuwa uharibifu uliofanyika hauwezi kurekebishika .
Zelensky anasema kama hawatapata msaada wa haraka kutoka NATO nchi yake inaenda kuangamia siku zimebaki chache kabla hajakimbia au kuuwawa na majeshi ya urusi.
Zeke sky aliyemweka pale ni Mmarekani sio raisi wa kidemokrasia wa UkraineHamna Rais fala kama Zelensky, yupo kwa ajili ya NATO na si wananchi wake.
Urusi anamwaga moto ile mbaya. Zelensky analia anasema hawamsaidiiUrusi asicheke na kima piga mpaka maji ya katerero yawatoke.
Eeeh 😀😀😀NATO wamemsaidia sana Russia ni Nchi tajiri asingeweza kupigana bila msaada.
Ila Ukraine imemuaibisha Russia ambaye alikiwa Super power hadi kwenda kuomba msaada kwa Ayatolah.
.
Anawa gharimu wananchi wake na Urusi sasa hana huruma.Halafu nafasi anayo ya kusitisha vita na kukubaliana na Putin, ila yy kakomaa.Zeke sky aliyemweka pale ni Mmarekani sio raisi wa kidemokrasia wa Ukraine
Zelensky anasema ulaya na marekani wanaongea maneno tu bila vitendo huku nchi yake ikiangamia. Urusi anamwaga moto ile mbaya yani kwa kifupi amechafukwa.Mpaka hapo bwana Zele atakuwa anajiandaa kusepa maana Ulaya na America Wameshindwa vita
Sawa ya marekani inanukia perfume tumekuelewa mkuu.Mikono yake inanuka damu
Natamani Ukraine wapate mzalendo wa kweli mwenye kuijali nchi yake amalize hii vitaAnawa gharimu wananchi wake na Urusi sasa hana huruma.Halafu nafasi anayo ya kusitisha vita na kukubaliana na Putin, ila yy kakomaa.
Na wanapigwa kweri kweri ( in magus voice) 🤣Hao wachapwe tu mpaka wakione cha mtema kuni
anachokoza ugomvi akijua bro wake Nato Doto magari ananguvu kumbe hana lolote ni maneno mengi tu na bichwa komwe.Urusi anamwaga moto ile mbaya. Zelensky analia anasema hawamsaidii
NATO wamemuingiza cha kike bwana zelensky 🤣Dah huwa naikubali sana diplomasia
UN hana meno anadharauliwa na kila mtu.Natamani Ukraine wapate mzalendo wa kweli mwenye kuijali nchi yake amalize hii vita
Chini ya zuzu anayeitwa Zelesky hakuna kusitisha mapigano
UN nao ni wale wale suruhisho analo lakini hawezi amua kama ufumbuzi ni kumwacha Russia atawale pale
Zelensky alituma magaidi wauwe warusi kwenye shambulio la kigaidi kwahiyo anatakiwa auwawe.Hata ardhi ya Ukraine iwe jivu hawatakubari yaishe kama Zelesky ndo kakalia kiti pale
Sasa NATO kama wapo wanasidia nini ikiwa Ukraine anaomba msaada wa silaha na mabomu?Ni kweli wapo ila kiwiziwizi na urusi anawatandika kimya kimya tu. Ukraine anaomba msaada wa silaha na mabomu hali nimbaya mrusi kachafukwa.
Wanajeshi wangapi wamekufa kutoka hizo nchi 32 zilizokuwa zinapigana na Putler?