Urusi yashambulia vituo vya umeme Ukraine yote giza Ukraine waomba msaada haraka

Urusi yashambulia vituo vya umeme Ukraine yote giza Ukraine waomba msaada haraka

Hali ni tete sana Huko Ukraine baada ya urusi leo asubuhi kufanya mashambulizi makubwa katika mitambo ya kuzalisha umeme Huko Kiev na miji mingine mikubwa nchini Ukraine.

Inakadiriwa watu takribani laki 2 katika jiji la Kiev hawatakua na huduma , miundombinu yote inayotumia umeme haifanyi kazi. Inakadiriwa kuwa uharibifu uliofanyika hauwezi kurekebishika .

Zelensky anasema kama hawatapata msaada wa haraka kutoka NATO nchi yake inaenda kuangamia siku zimebaki chache kabla hajakimbia au kuuwawa na majeshi ya urusi.
Dah huwa naikubali sana diplomasia
 
Hali ni tete sana Huko Ukraine baada ya urusi leo asubuhi kufanya mashambulizi makubwa katika mitambo ya kuzalisha umeme Huko Kiev na miji mingine mikubwa nchini Ukraine.

Inakadiriwa watu takribani laki 2 katika jiji la Kiev hawatakua na huduma , miundombinu yote inayotumia umeme haifanyi kazi. Inakadiriwa kuwa uharibifu uliofanyika hauwezi kurekebishika .

Zelensky anasema kama hawatapata msaada wa haraka kutoka NATO nchi yake inaenda kuangamia siku zimebaki chache kabla hajakimbia au kuuwawa na majeshi ya urusi.
Mpaka hapo bwana Zele atakuwa anajiandaa kusepa maana Ulaya na America Wameshindwa vita
 
NATO wamemsaidia sana Russia ni Nchi tajiri asingeweza kupigana bila msaada.

Ila Ukraine imemuaibisha Russia ambaye alikiwa Super power hadi kwenda kuomba msaada kwa Ayatolah.
.
Eeeh 😀😀😀
 
Anawa gharimu wananchi wake na Urusi sasa hana huruma.Halafu nafasi anayo ya kusitisha vita na kukubaliana na Putin, ila yy kakomaa.
Natamani Ukraine wapate mzalendo wa kweli mwenye kuijali nchi yake amalize hii vita
Chini ya zuzu anayeitwa Zelesky hakuna kusitisha mapigano
UN nao ni wale wale suruhisho analo lakini hawezi amua kama ufumbuzi ni kumwacha Russia atawale pale
 
Ni kweli wapo ila kiwiziwizi na urusi anawatandika kimya kimya tu. Ukraine anaomba msaada wa silaha na mabomu hali nimbaya mrusi kachafukwa.
Sasa NATO kama wapo wanasidia nini ikiwa Ukraine anaomba msaada wa silaha na mabomu?
Wapoje Kiwiziwizi ??
 
Back
Top Bottom