Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
- #41
Kwakweli NATO hawana msaada .kiwizi wizi namanisha hawajatangaza officially kuwa wanapigana huko Ukraine ila wapo maana urusi anazo footages za wanajeshi kutoka marekani, poland na Uingereza aliowaua huko Ukraine.Sasa NATO kama wapo wanasidia nini ikiwa Ukraine anaomba msaada wa silaha na mabomu?
Wapoje Kiwiziwizi ??