Urusi yashambulia vituo vya umeme Ukraine yote giza Ukraine waomba msaada haraka

Urusi yashambulia vituo vya umeme Ukraine yote giza Ukraine waomba msaada haraka

Hali ni tete sana Huko Ukraine baada ya urusi leo asubuhi kufanya mashambulizi makubwa katika mitambo ya kuzalisha umeme Huko Kiev na miji mingine mikubwa nchini Ukraine.

Inakadiriwa watu takribani laki 2 katika jiji la Kiev hawatakua na huduma , miundombinu yote inayotumia umeme haifanyi kazi. Inakadiriwa kuwa uharibifu uliofanyika hauwezi kurekebishika .

Zelensky anasema kama hawatapata msaada wa haraka kutoka NATO nchi yake inaenda kuangamia siku zimebaki chache kabla hajakimbia au kuuwawa na majeshi ya urusi.
Russia kenge kabisa unaacha kushambulia kambi za kijeshi au majeshi yalipo unashambulia huduma za kijamii...pumbavu kabisa Russia mpaka wanawake zao wanaoshabikia....
 
Uzuri hii dunia kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake binafsi, so huo ni mtizamo wako ila kwangu kwa maslahi na usalama wa Russia,Putin yupo sawa
Wabongo utawaweza ndugu yangu!

Kagame akifanya kitu tu hapo kwake au M23 ilivyoua wanajeshi 3 wa kitanzania mapovu kibao yaliwatoka. Mara ooh! Watutsi si watu salama. Mara ooh! Kagame hakufaa aingizwe kwenye jumuiya ya Afrika Mashariki. Mara ooh! Kagame anavuruga amani ya huu ukanda inabidi apigwe.

Mara ooh! Ni haki yetu kuilinda Congo ya mashariki kwa sababu inapakana na sisi. Mara ooh! Plan ya Kagame ni kujitanua na kuchukua maeneo zaidi kwani lengo la Tutsi ni kuanzisha empire. Haya yote ukiwauliza sababu ni nini? Jawabu watakujibu ni usalama wa nchi.

Wao tu Kagame kuwa karibu na nchi yetu na kufadhili kikundi cha M23 mapovu kibao yanawatoka. Vipi kwa Russia? Yeye hana haki ya kulinda usalama wake wa nchi? Kama sisi tunavyopambana na purukushani za Kagame na M23, Russia naye ndiyo vilevile hataki Nato imsogelee kwa usalama wake wa nchi.

Yaani wabongo mifano ipo mlangoni kwao lakini wanajifanya hawaelewi. Utawasikia siyo demokrasia kulivamia taifa huru, Putin ni dikteta. Wao wakiminywa kidogo tu na hekaheka za Rwanda mapovu kibao.
 
Wabongo utawaweza ndugu yangu!

Kagame akifanya kitu tu hapo kwake au M23 ilivyoua wanajeshi 3 wa kitanzania mapovu kibao yaliwatoka. Mara ooh! Watutsi si watu salama. Mara ooh! Kagame hakufaa aingizwe kwenye jumuiya ya Afrika Mashariki. Mara ooh! Kagame anavuruga amani ya huu ukanda inabidi apigwe.

Mara ooh! Ni haki yetu kuilinda Congo ya mashariki kwa sababu inapakana na sisi. Mara ooh! Plan ya Kagame ni kujitanua na kuchukua maeneo zaidi kwani lengo la Tutsi ni kuanzisha empire. Haya yote ukiwauliza sababu ni nini? Jawabu watakujibu ni usalama wa nchi.

Wao tu Kagame kuwa karibu na nchi yetu na kufadhili kikundi cha M23 mapovu kibao yanawatoka. Vipi kwa Russia? Yeye hana haki ya kulinda usalama wake wa nchi? Kama sisi tunavyopambana na purukushani za Kagame na M23, Russia naye ndiyo vilevile hataki Nato imsogelee kwa usalama wake wa nchi.

Yaani wabongo mifano ipo mlangoni kwao lakini wanajifanya hawaelewi. Utawasikia siyo demokrasia kulivamia taifa huru, Putin ni dikteta. Wao wakiminywa kidogo tu na hekaheka za Rwanda mapovu kibao.
Hongera, umefuzu propaganda za ujasusi wa kiuchumi za Yericko Nyerere
 
Russia kenge kabisa unaacha kushambulia kambi za kijeshi au majeshi yalipo unashambulia huduma za kijamii...pumbavu kabisa Russia mpaka wanawake zao wanaoshabikia....
🤣🤣🤣 mabwana zenu wamezidiwa .maneno mengi msaada hampeleki. Umeme ni sekta nyeti inayomdhoofisha adui .mliyataka wenyewe wacha yawakute.
 
Wabongo utawaweza ndugu yangu!

Kagame akifanya kitu tu hapo kwake au M23 ilivyoua wanajeshi 3 wa kitanzania mapovu kibao yaliwatoka. Mara ooh! Watutsi si watu salama. Mara ooh! Kagame hakufaa aingizwe kwenye jumuiya ya Afrika Mashariki. Mara ooh! Kagame anavuruga amani ya huu ukanda inabidi apigwe.

Mara ooh! Ni haki yetu kuilinda Congo ya mashariki kwa sababu inapakana na sisi. Mara ooh! Plan ya Kagame ni kujitanua na kuchukua maeneo zaidi kwani lengo la Tutsi ni kuanzisha empire. Haya yote ukiwauliza sababu ni nini? Jawabu watakujibu ni usalama wa nchi.

Wao tu Kagame kuwa karibu na nchi yetu na kufadhili kikundi cha M23 mapovu kibao yanawatoka. Vipi kwa Russia? Yeye hana haki ya kulinda usalama wake wa nchi? Kama sisi tunavyopambana na purukushani za Kagame na M23, Russia naye ndiyo vilevile hataki Nato imsogelee kwa usalama wake wa nchi.

Yaani wabongo mifano ipo mlangoni kwao lakini wanajifanya hawaelewi. Utawasikia siyo demokrasia kulivamia taifa huru, Putin ni dikteta. Wao wakiminywa kidogo tu na hekaheka za Rwanda mapovu kibao.
Umeongea jambo la maaana sana
 
🤣🤣🤣 mabwana zenu wamezidiwa .maneno mengi msaada hampeleki. Umeme ni sekta nyeti inayomdhoofisha adui .mliyataka wenyewe wacha yawakute.
Kwahiyo wewe ndo unagongwa na Russia?....kimekuwashaaaa hatimaye umejibu....mamaee Tena unakili kabisa unagongwa aiseee
 
Hali ni tete sana Huko Ukraine baada ya urusi leo asubuhi kufanya mashambulizi makubwa katika mitambo ya kuzalisha umeme Huko Kiev na miji mingine mikubwa nchini Ukraine.

Inakadiriwa watu takribani laki 2 katika jiji la Kiev hawatakua na huduma , miundombinu yote inayotumia umeme haifanyi kazi. Inakadiriwa kuwa uharibifu uliofanyika hauwezi kurekebishika .

Zelensky anasema kama hawatapata msaada wa haraka kutoka NATO nchi yake inaenda kuangamia siku zimebaki chache kabla hajakimbia au kuuwawa na majeshi ya urusi.
huyu raisi ni mpuuzi sana,
unaingia kwenye vita (ambayo kulikua na uwezekano wa kuiepuka) kwa kutegemea misaada?

zele either ni puppet au hajui anachofanya!..... unajimwambafai kwa kutumia vifaa vya kupewa?
 
huyu raisi ni mpuuzi sana,
unaingia kwenye vita (ambayo kulikua na uwezekano wa kuiepuka) kwa kutegemea misaada?

zele either ni puppet au hajui anachofanya!..... unajimwambafai kwa kutumia vifaa vya kupewa?
Ukraine inaenda kuangamia
 

Attachments

  • Screenshot_20240412_213539_X.jpg
    Screenshot_20240412_213539_X.jpg
    290.9 KB · Views: 3
Leo Russia kapiga kisima cha gesi ujazo 17 bilion cubic meters. Kwasasa Ukraine inaangamizwa vibaya sanaa. Zelensky atakimbia nchi muda siyo mrefu
 
Back
Top Bottom