Urusi yatumia kombora la kisasa la hypersonic, huko Ukraine

Kaona mziki wa Ukraine ni mzito sasa kahamia kwenye silaha za aina hiyo na hapo anatamani hata atumie nyuklia ila anashindwa.
 
Kwa hiyo Marekani wakisoma hili andiko lako watakasirika nao watoe silaha zao wakapambane na Mrusi?.
 
Kwa alitengeneza yakae stoo ?ameshindwa

Au mlikubaliana siraha za kutumia kuna watu wehu sana
 
Sasa vita imeisha ameshinda baada ya kutumia hilo bomu, au ilikuwa taarifa tu.
 
Kuna kitu kinaitwa save the best for the last..manake sasa ameanza kutoa alichokuwa anakitegemea katika mapambano baada ya kushindwa..zikisha hizo atageukia nyukria ama biological ama chemical.

Kwa wataalamu wa mambo mrusi kaanza kusihishiwa..hivyo ameanza kupuyanga aliyotegemea ndivyo sivyo.

#MaendeleoHayanaChama
 

Unaonaje mmarekani na israel wakijitokeza kumsaidia ukraine?
 
Only for Western media oriented people since then believe Russia has or would loose the war,
But in reality watu wanaendelea kupukutika kwa Kasi and if they continue UKRAINE is going to be next Syria walichofanya Urusi nikujaribisha siraha Yao mpya in actual war/so called military operation, what I see is unprecedented destruction of UKRAINE if Russia will continue to use the newly established deadly technology.
 
Si mnawapelekea misaada ya silaha hao jamaaa........na leo tena katungua kambi nyingine ya hao wanaokuja kuwasaidia ukraine........................wanavyoongeza nguvu na mrusi ndo anvyozidi kuwatandika na silaha kali zaidi
 
Kuyapiga haya mabomu, utaua na watu waliokua Askari wake. Na pia ameshajitengenezea uasi mkubwa kwa watu wa Ukraine. Kwa iyo hata akiichukua Ukraine. Kutakuwa na machafuko mengi sana

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Marekani alimtandika Japan nuclear na akaua malaki ya watu pamoja na effects lkn sasa hivi ni marafiki wakubwa....yaani ni zaidi ya marafiki.
Ujerumani ilichinja zaidi ya jews 6M..saizi life as usual...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…