Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Hakuna sehem PUT IN alisema tu atashambulia mtu na NYUKLIA kama ipo ilete hem tuione MKUUAliyeonya atashambulia wenzake na nuclear ni Putin, ili haya majibu ya France & UK yaweze ku-qualify kuwa mkwara, ni lazima putin atekeleze alichosema kwa kuishambulia NATO na nuclear weapons.
Kwa hiyo shida si Ukraine kujiunga na Nato kama ilivyo kuwa inaelezwa hapo hawali. kumbe shida ni west hawataki kuhani mkuu wa makabila ya asili ya Urusi Bw Putin kurudisha makabila hayo kundi? .😂😂Yuko sahihi kabisa. Urusi inapigana kuyaleta maeneo ya asili ya warusi kwenye shirikisho la urusi.
Nchi za magharibi waache unafiki. Walipounga mkono kusambaratika shirikishi la yugoslavia kila kabila kua nchi walifikiri dunia haioni? Licha ya wayugoslavia kua mbari moja ya ki slav. Wakawatenga wa croatia na wa serbia, wakawatenga wa montenegro na wa serbia, wakaitenga cossovo na serbia etc etc yogoslavia ikasambaratika. Yote lengo likiwa kulivunja taifa lililojengwa kwa msingi wa kijamaa na taifa rafiki na urusi.
Leo hii tunaona tena marekani ikifunga kibwebwe kwa nia ya kuichoma kisu urusi. Kujaribu kuizingira kwa kuwageuza ndugu wa asili wa urusi kua maadui zake. Kwa hilo maeneo ya ukraine ya kabila la kirusi wamesema hapana na urusi iko tayari kuwasaidia kuungana na nchi yao shirikisho la urusi.
Yuko sahihi kabisa. Urusi inapigana kuyaleta maeneo ya asili ya warusi kwenye shirikisho la urusi.
Nchi za magharibi waache unafiki. Walipounga mkono kusambaratika shirikishi la yugoslavia kila kabila kua nchi walifikiri dunia haioni? Licha ya wayugoslavia kua mbari moja ya ki slav. Wakawatenga wa croatia na wa serbia, wakawatenga wa montenegro na wa serbia, wakaitenga cossovo na serbia etc etc yogoslavia ikasambaratika. Yote lengo likiwa kulivunja taifa lililojengwa kwa msingi wa kijamaa na taifa rafiki na urusi.
Leo hii tunaona tena marekani ikifunga kibwebwe kwa nia ya kuichoma kisu urusi. Kujaribu kuizingira kwa kuwageuza ndugu wa asili wa urusi kua maadui zake. Kwa hilo maeneo ya ukraine ya kabila la kirusi wamesema hapana na urusi iko tayari kuwasaidia kuungana na nchi yao shirikisho la urusi.
Hayo umeyasikia midomoni mwa Putin au NATO?Aliyeonya atashambulia wenzake na nuclear ni Putin, ili haya majibu ya France & UK yaweze ku-qualify kuwa mkwara, ni lazima putin atekeleze alichosema kwa kuishambulia NATO na nuclear weapons.
Hata RT Global huangalii mkuu.Hayo umeyasikia misomoni mwa putin au NATO?
Hapana Mkuu; Ni kazi nzito na inayohitaji roho ngumu sana kuua watu wengi hivyo waliozolewa kutoka mitaani huku ukijua kwamba hao sio wanajeshi ila ni watu waliovaa nguo za jeshi na hawajui chochote ni kama wanatolewa kafara.Sawa kazoa watu wa mtaani sasa mbona anawaendesha nyie ambao ni trained expert soldiers? Hujiulizi au unajitoa ufahamu
Ila wanatembeza kichapo kwa makomandoo wa NATO 😅😅😅😅Pole ni kwa Raia wa Urussi watakaokusanywa toka mitaani..
Basi tulia mnyooshweHata RT Global huangalii mkuu.
Sasa kama hawajui chochote inakuwaje wanawaburuza NATOHapana Mkuu; Ni kazi nzito na inayohitaji roho ngumu sana kuua watu wengi hivyo waliozolewa kutoka mitaani huku ukijua kwamba hao sio wanajeshi ila ni watu waliovaa nguo za jeshi na hawajui chochote ni kama wanatolewa kafara.
Hilo ni la Enzi hizo. Tuzungumzie hili la sasa. Sio sahihi kuhalalisha kosa kwa kutenda kosa kama hilo lililofanywa enzi za vita ya Vietnam.😄😄 Kwny Vita vya Vietnam unajua Ni wamarekani wangapi walizolewa kupelekwa vietnam mpk Bondia Mohamed Ali akafungwa baada ya kugoma kuzolewa kwenda vitani?
Kaamua kupunguza homeless kwa njia hiyo.. Putin Kazidiwa akili na ccm kwa utatuzi wa matatizo.Hapana Mkuu; Ni kazi nzito na inayohitaji roho ngumu sana kuua watu wengi hivyo waliozolewa kutoka mitaani huku ukijua kwamba hao sio wanajeshi ila ni watu waliovaa nguo za jeshi na hawajui chochote ni kama wanatolewa kafara.
Kuutoa utawala wa Ukraine haijawahi kuwa lengo ya Operation. Mkakati ilikuwa kuyakalia maeneo ya kimkakati katika kujilindahuyu mzee akikutia upepo huchomoki hata Biden alijaa hewa ila ukweli ni kwamba amejichafulia hata kwa wanao mwamini hii ni aibu kwa taifa kubwa kama lake kushidwa mpaka sasa kumwondoa mtawala wa Ukraine na kuidhibiti kikamilifu...
Dah!Kaamua kupunguza homeless kwa njia hiyo.. Putin Kazidiwa akili na ccm kwa utatuzi wa matatizo.
Ni Nani anaeamua Kwamba kutenda Sasa hivi au kutenda kipindi Cha Vietnam ni Kosa au sio kosa?Hilo ni la Enzi hizo. Tuzungumzie hili la sasa. Sio sahihi kuhalalisha kosa kwa kutenda kosa kama hilo lililofanywa enzi za vita ya Vietnam.
Fashisti dikiteta shetani wa urusi atanyooshwa kwa namna yoyote ile..,hao anaowaita wanajeshi laki tatu ni mizoga tu inayoenda kustawisha aridhi ya Ukraine,Sasa kama hawajui chochote inakuwaje wanawaburuza NATO
Ushazoea kutawaliwa na Westerners, hata sikushangaiFashisti dikiteta shetani wa urusi atanyooshwa kwa namna yoyote ile..,hao anaowaita wanajeshi laki tatu ni mizoga tu inayoenda kustawisha aridhi ya Ukraine,
Hapana mkuu, binafsi napenda amani.Basi tulia mnyooshwe