kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Namuona dikiteta fashisti Putin akizidi kuwa na frastration mpaka basi,Kaamua kupunguza homeless kwa njia hiyo.. Putin Kazidiwa akili na ccm kwa utatuzi wa matatizo.
Maana hao raia anaowaita wanajeshi wanaenda kufanywa mizoga huko Ukraine [emoji12]