Urusi yaunda jeshi baada ya kuazimia kukalia moja kwa moja mikoa ya Ukraine iliyoiteka

Urusi yaunda jeshi baada ya kuazimia kukalia moja kwa moja mikoa ya Ukraine iliyoiteka

Hapana mkuu, binafsi napenda amani.
Basi kaa hapahapa Tz huko wanagombea ulinzi ila wawe na amani kama wewe, ni kama Israel anaikalia Golan heights ni kwa ajili ya kuwa ni eneo la kimkakati la kujilinda dhidi ya mashambulizi kutoka Syria
 
Urusi anachokifanya ni kuwashawishi wale Raia waliowakuta yale maeneo ili wayapiganie kulinda ili Ukraine wasiyachukue hayo maeneo tena kumbuka baada ya kuyachakua walikua wanagawa chakula bure na kutangaza baadhi ya fursa inaonekana Urusi kaishiwa nguvu kazi ya kupigana ndio maana akipata vijana 2000 lazima atangaze hapa tulikua tunapewa matango pori kibao kuhusu Urusi leo hii wanatumia wafungwa na mateka ili wakapigane...Vita kweli sio mchezo
 
Huyu ni asikari wa super pawer wa mchongo akipewa dozi huko kwenye uwanja wa vita [emoji848]
JamiiForums-98297638.jpg
 
Urusi anachokifanya ni kuwashawishi wale Raia waliowakuta yale maeneo ili wayapiganie kulinda ili Ukraine wasiyachukue hayo maeneo tena kumbuka baada ya kuyachakua walikua wanagawa chakula bure na kutangaza baadhi ya fursa inaonekana Urusi kaishiwa nguvu kazi ya kupigana ndio maana akipata vijana 2000 lazima atangaze hapa tulikua tunapewa matango pori kibao kuhusu Urusi leo hii wanatumia wafungwa na mateka ili wakapigane...Vita kweli sio mchezo
Umesema Ukraine "wasiyachukue"?? Hata wasiposhawishiwa bado Ukraine hawana uwezo wa kuyarudisha maana hawakugawiwa waliyachukua kwa nguvu na watatumia nguvu kuyalinda
 

'Don't underestimate the West... don't test us': Defence Secretary's warning to Russian President Vladimir Putin- Ben Wallace, UK Defence Minister​


"Yes, I think that Vladimir Putin must also understand that the Atlantic alliance is a nuclear alliance. That is all I will say about this," Le Drian
Huyo Wallace ni mbwa koko anabwekea awasogeze wenzake wachanjwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
images-8.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom