green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Dish limeshacheza uyu nyumbu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Biden ameshaacha kusalimia vivuli?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dish limeshacheza uyu nyumbu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Biden ameshaacha kusalimia vivuli?
Hana tofauti na Mandonga aliyedundwa na mtoto.wa Mbagala kaonekaIla huyu Putin kwenye mikawala anatisha sanasana!!! Unaweza ukajifungia ndani usitoke
Maeneo yanakombolewa tu, usiwe na wasiwas jeshi la Ukraine linazidi ku- advance pande zoteSi muendelee na vita myakomboe? Kwa wameyaiba si wameyachukua kwa nguvu? Get it back if you can
Referendum ni mbinu ya kupata wapiganaji ila mwamba nguvu zimeisha mimi pia nililua namwamini sana ila katutia aibu bora asingepigana hao Ukraine kwao pana vita wengine walikua DRC Kongo wametoka wiki iliyopita kama wanajeshi 250 inaonekana Ukraine ni mabingwa wa vita vya ardhini na hapo Urusi anapigwa maeneo aliyovamia na kuonekana kushindwa angekua anapigwa kwake nae ingekua habari ingine..Baada ya kupata kipigo kizito kwenye uwanja wa vita Sasa wameamua kujificha kwenye kichaka Cha referendum
Kama raia wanauliwa mbona bado anayakalia maeneo aliyoyachukua?? Na je mlipotuambia Russia wamefurushwa Kherson mbona nao wanapiga kura? Je wanapiga kura wakiwa chini ya Ukraine? 😄😄😄😄 fungua macho na akili weweLimeshindwa jeshi, ndo mgambo wataweza?.
Putin anapeleka raia wake kuuliwa bila sababu!
Sio watu wanazolewa mitaani, ni wale wapigani wa hayo maeneo wanaopambana kujitenga na UKRAINE. Taarifa imeeleweka ila ww unahisi wanakuja kwenu hapo Mbalizi wanakuchukua ukapigane tu.Inachekesha na kustaajabisha mno kweli. Yaani Putin na uzee wake, vita aliyoianzisha mwenyewe imemchanganya akili hadi amefikia hatua ya kuzoa-zoa watu anawakusanya toka mitaani alimradi tu wavae kombat na kuwapa vijikaratasi vya utambulisho eti ni wanajeshi wa Urussi. Mbona analidhalilisha mno jeshi lake mwenyewe? Nadhani Huyu jamaa afungwe tu kamba sasa kwani ameshakuwa ni kichaa kamili. HIMARS umenena sawasawa. Mtindo Ni kuweka "Full Bust" na magazine ziwe 3 full loaded kwani kazi itakayokuwapo hapo ni ya kuua tu hata kama umefumba macho -unaminya trigger tu hakuna hata cha shabaha. Aisee! hiki ni mojawapo ya vituko vya Wakubwa duniani.
......Amesema kuwa raia wote ambao watakusnywa watakuwa na hadhi kamili ya jeshi
Mikwara mbuziRais wa Urusi Vladimir Putin ametangaza kukusanya wanajeshi wa ziada kwa ajili ya vita nchini Urusi - kulingana na shirika la habari linalomilikiwa na serikali TASS.
Anasema kuwa nchi za Magharibi zimeonyesha kuwa lengo lake ni kuiangamiza Urusi na kwamba zimejaribu kuwageuza watu wa Ukraine kuingia kwenye vita kwa lazima.
Lengo letu ni kuikomboa Donbas, anasema.
Rais Putin anasema nchi za Magharibi zimeonyesha kuwa hazitaki amani kati ya Ukraine na Urusi.
Putin pia anasema kuwa atatoa hadhi ya kisheria kwa ‘’wanaojitolea’’ wanaopigana huko Donbas.
Putin ametangaza kuwa kuanzia leo ni muhimu kuchukua uamuzi wa haraka ili kulinda watu katika ‘’ardhi zilizokombolewa’’.
“Ndiyo maana niliiomba wizara ya ulinzi kukusanya jeshi kwa ajili ya vita,” anasema.
Amesema agizo hilo tayari limetiwa saini na linaanza kutekelezwa leo.
Amesema kuwa raia wote ambao watakusnywa watakuwa na hadhi kamili ya jeshi.
Putin ameongeza kuwa nchi za Magharibi zimekuwa zikiichafua Urusi lakini Urusi ina silaha nyingi za kujibu.
“Tutatumia rasilimali zote tulizonazo kuwatetea watu wetu,” anasema.
‘’Nina imani na msaada wako,’’ anahitimisha.
==============
Ikumbukwe mikoa anayoikalia ndio yenye utajiri wa viwanda, gesi, madini na mashamba ya Ngano.
Ukraine amepoteza pakubwa sana. Sasa ni mwendo wa kulinda alichojitwalia
#chanzobbcswahili
#StarTvUpdate
View attachment 2363393
Shusha Sketi uchanjwe wewe Panya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa Sasa dikiteta Putin na mafashist wenzake wanazidi kuonja joto ya jiwe[emoji12]
Kuwa na akili hata ya kuvukia barabara Russia wana rangi ya njano?? Hicho kilemba cha njano maana yake ni myukrein anapigika 😂😂😂Huyu ni asikari wa super pawer wa mchongo akipewa dozi huko kwenye uwanja wa vita [emoji848]View attachment 2363496
Raia wa Russia ni balaa 😂😂😂😂 yaani wanawafurusha makomandoo wa Ukraine duh noma sanasawa lakini sio kwa kupeleka front line raiya wakafie huko kama mbwa..
Urusi kashindwa Vita ana siraha za zamani tuu na pia hana nguvu kazi ndio maana anaomba msaada China na India nimesikia Turkey nae anataka kujiunga ila juzi tuu hapa alipata msaada Nchi yao ilipopata matatizo ya Uchumi..Umesema Ukraine "wasiyachukue"?? Hata wasiposhawishiwa bado Ukraine hawana uwezo wa kuyarudisha maana hawakugawiwa waliyachukua kwa nguvu na watatumia nguvu kuyalinda
Kweli kabisa, huwezi kufanikiwa kwa kuvamia ardhi ya mwenzioReferendum ni mbinu ya kupata wapiganaji ila mwamba nguvu zimeisha mimi pia nililua namwamini sana ila katutia aibu bora asingepigana hao Ukraine kwao pana vita wengine walikua DRC Kongo wametoka wiki iliyopita kama wanajeshi 250 inaonekana Ukraine ni mabingwa wa vita vya ardhini na hapo Urusi anapigwa maeneo aliyovamia na kuonekana kushindwa angekua anapigwa kwake nae ingekua habari ingine..
Si anajidai ana jesh kubwa?sawa lakini sio kwa kupeleka front line raiya wakafie huko kama mbwa..
Kichapo gani kama hamkomboi chochoteWanalinda malengo huku wakiendelea kupokea kichapo
Jeshi la Ukraine linazidi kusonga mbele kwa Kasi ya mwanga [emoji848]
😅😅😅😅Maeneo yanakombolewa tu, usiwe na wasiwas jeshi la Ukraine linazidi ku- advance pande zote
Kaa kwa kutulia
MlawitiiHuyu ni asikari wa super pawer wa mchongo akipewa dozi huko kwenye uwanja wa vita [emoji848]View attachment 2363496
Ukute umevaa dela lako na huna habari unatype tu ndi ndi ndi na kitecno chako. [emoji3][emoji3][emoji3]Fashisti dikiteta shetani wa urusi atanyooshwa kwa namna yoyote ile..,hao anaowaita wanajeshi laki tatu ni mizoga tu inayoenda kustawisha aridhi ya Ukraine,
Anasema atawapa hadhi ya kijeshi😅Kitendo cha kamata-kamata Ria halafu unawapeleka vitani kwa nguvu bila hata ya mafunzo ni kosa. Au ww unaona ni sawa hiyo?
Wewe ndo unaonekana kuchanganyikiwa kwa kichapo anachotembezewa super pawer wa mchongo,Kuwa na akili hata ya kuvukia barabara Russia wana rangi ya njano?? Hicho kilemba cha njano maana yake ni myukrein anapigika [emoji23][emoji23][emoji23]