kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Namuona dikiteta fashisti Putin akizidi kuwa na frastration mpaka basi,Kaamua kupunguza homeless kwa njia hiyo.. Putin Kazidiwa akili na ccm kwa utatuzi wa matatizo.
Kitendo cha kamata-kamata Ria halafu unawapeleka vitani kwa nguvu bila hata ya mafunzo ni kosa. Au ww unaona ni sawa hiyo?Ni Nani anaeamua Kwamba kutenda Sasa hivi au kutenda kipindi Cha Vietnam ni Kosa au sio kosa?
Basi kaa hapahapa Tz huko wanagombea ulinzi ila wawe na amani kama wewe, ni kama Israel anaikalia Golan heights ni kwa ajili ya kuwa ni eneo la kimkakati la kujilinda dhidi ya mashambulizi kutoka SyriaHapana mkuu, binafsi napenda amani.
nyie ni wazee wa kubadili gia angani tunajua na hii yote ni kuficha aibu..Kuutoa utawala wa Ukraine haijawahi kuwa lengo ya Operation. Mkakati ilikuwa kuyakalia maeneo ya kimkakati katika kujilinda
Tulia weweKaamua kupunguza homeless kwa njia hiyo.. Putin Kazidiwa akili na ccm kwa utatuzi wa matatizo.
Na kila rangi wataiona mwaka huu.. Himars imewafanya wawehuke.Kwa Sasa dikiteta Putin na mafashist wenzake wanazidi kuonja joto ya jiwe[emoji12]
Malengo yametimia sasa ni kulinda malengo hayonyie ni wazee wa kubadili gia angani tunajua na hii yote ni kuficha aibu..
Umesema Ukraine "wasiyachukue"?? Hata wasiposhawishiwa bado Ukraine hawana uwezo wa kuyarudisha maana hawakugawiwa waliyachukua kwa nguvu na watatumia nguvu kuyalindaUrusi anachokifanya ni kuwashawishi wale Raia waliowakuta yale maeneo ili wayapiganie kulinda ili Ukraine wasiyachukue hayo maeneo tena kumbuka baada ya kuyachakua walikua wanagawa chakula bure na kutangaza baadhi ya fursa inaonekana Urusi kaishiwa nguvu kazi ya kupigana ndio maana akipata vijana 2000 lazima atangaze hapa tulikua tunapewa matango pori kibao kuhusu Urusi leo hii wanatumia wafungwa na mateka ili wakapigane...Vita kweli sio mchezo
Huyo Wallace ni mbwa koko anabwekea awasogeze wenzake wachanjwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]'Don't underestimate the West... don't test us': Defence Secretary's warning to Russian President Vladimir Putin- Ben Wallace, UK Defence Minister
"Yes, I think that Vladimir Putin must also understand that the Atlantic alliance is a nuclear alliance. That is all I will say about this," Le Drian
Si muendelee na vita myakomboe? Kwa wameyaiba si wameyachukua kwa nguvu? Get it back if you canBaada ya kupata kipigo kizito kwenye uwanja wa vita Sasa wameamua kujificha kwenye kichaka Cha referendum
Wanalinda malengo huku wakiendelea kupokea kichapoMalengo yametimia sasa ni kulinda malengo hayo
Tulia wewe
Yet Kherson mliyosema mmeikomboa nayo inapiga kura ππππNa kila rangi wataiona mwaka huu.. Himars imewafanya wawehuke.