Urusi yaunda jeshi baada ya kuazimia kukalia moja kwa moja mikoa ya Ukraine iliyoiteka

Urusi yaunda jeshi baada ya kuazimia kukalia moja kwa moja mikoa ya Ukraine iliyoiteka

Hahaha sasa hivi jeshi lake limeshakimbia na wale waliiopiga kura wanazikana. Game imeanza sasa. Mwalimu alisema walipovamia Kagera, aliwaacha wakaingia na akawatangazia kuwa nia, uwezo na nguvu tulikuwa nazo hivyo hivyo Ukraine mchezo ule ule. Kama alivyotaka Idd Amin kutaifisha sehemu ya Tanzania ndo kama huyu mwendawazimu alivyofanya, sasa dawa inaanza kuchemka na karibu itanyweka mpaka kieleweke. Nchi huru huwezi kuichezea kama mkoa wako. Muulize Idd huko aliko kichapo alichochezea mpaka akajisalimisha uarabuni pamoja na kuwa na jeshi la anga la Libya, nguvu ya watu tofauti na nguvu ya mamluki.
Mkuu huyu sio Idd amini Dada
 
Mkuu huyu sio Idd amini Dada
Kwani ana tofauti gani na Idd Amin. Wewe kama rika langu unaweza kukumbuka jinsi nchi ilivyobaki bankrupt na tukazidi kusonga mbele. Huyu ana uchu ule ule ila yeye anazidi.
 
Kwani ana tofauti gani na Idd Amin. Wewe kama rika langu unaweza kukumbuka jinsi nchi ilivyobaki bankrupt na tukazidi kusonga mbele. Huyu ana uchu ule ule ila yeye anazidi.
Endelea kumuandalia chakula mumeo
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin ametangaza kukusanya wanajeshi wa ziada kwa ajili ya vita nchini Urusi - kulingana na shirika la habari linalomilikiwa na serikali TASS.

Anasema kuwa nchi za Magharibi zimeonyesha kuwa lengo lake ni kuiangamiza Urusi na kwamba zimejaribu kuwageuza watu wa Ukraine kuingia kwenye vita kwa lazima.

Lengo letu ni kuikomboa Donbas, anasema.

Rais Putin anasema nchi za Magharibi zimeonyesha kuwa hazitaki amani kati ya Ukraine na Urusi.

Putin pia anasema kuwa atatoa hadhi ya kisheria kwa ‘’wanaojitolea’’ wanaopigana huko Donbas.

Putin ametangaza kuwa kuanzia leo ni muhimu kuchukua uamuzi wa haraka ili kulinda watu katika ‘’ardhi zilizokombolewa’’.

“Ndiyo maana niliiomba wizara ya ulinzi kukusanya jeshi kwa ajili ya vita,” anasema.

Amesema agizo hilo tayari limetiwa saini na linaanza kutekelezwa leo.

Amesema kuwa raia wote ambao watakusnywa watakuwa na hadhi kamili ya jeshi.

Putin ameongeza kuwa nchi za Magharibi zimekuwa zikiichafua Urusi lakini Urusi ina silaha nyingi za kujibu.

“Tutatumia rasilimali zote tulizonazo kuwatetea watu wetu,” anasema.

‘’Nina imani na msaada wako,’’ anahitimisha.

==============
Ikumbukwe mikoa anayoikalia ndio yenye utajiri wa viwanda, gesi, madini na mashamba ya Ngano.

Ukraine amepoteza pakubwa sana. Sasa ni mwendo wa kulinda alichojitwalia

#chanzobbcswahili
#StarTvUpdate

View attachment 2363393
NATO imejiandaa kuwaua kama wao walipojiandaa kuwaua waukraine , uhai wao hauna thaman kuzid uhai wa wengine , usipothamini uhai wa wengine hata wako hautathaminika
 
NATO imejiandaa kuwaua kama wao walipojiandaa kuwaua waukraine , uhai wao hauna thaman kuzid uhai wa wengine , usipothamini uhai wa wengine hata wako hautathaminika
Aliyejiandaa atakuwa keshaenda uwanjani maana Russia yupo uwanjani wengine wanabwekea makwao
 
Inachekesha na kustaajabisha mno kweli. Yaani Putin na uzee wake, vita aliyoianzisha mwenyewe imemchanganya akili hadi amefikia hatua ya kuzoa-zoa watu anawakusanya toka mitaani alimradi tu wavae kombat na kuwapa vijikaratasi vya utambulisho eti ni wanajeshi wa Urussi. Mbona analidhalilisha mno jeshi lake mwenyewe? Nadhani Huyu jamaa afungwe tu kamba sasa kwani ameshakuwa ni kichaa kamili.

HIMARS umenena sawasawa. Mtindo Ni kuweka "Full Bust" na magazine ziwe 3 full loaded kwani kazi itakayokuwapo hapo ni ya kuua tu hata kama umefumba macho -unaminya trigger tu hakuna hata cha shabaha. Aisee! hiki ni mojawapo ya vituko vya Wakubwa duniani.

......Amesema kuwa raia wote ambao watakusnywa watakuwa na hadhi kamili ya jeshi
Putin kachanganyikiwa sana, ujamaaa umemuasiri pamoja na kuzaliwa ktk umasikini, umeharibu akili yake. Anafikiri kila mwanaume aliyezaliwa Russia ni mpiganaji na mjamaa kama yeye. Mbona wale watoto wake wa kike kawaficha wasiuliwe

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin ametangaza kukusanya wanajeshi wa ziada kwa ajili ya vita nchini Urusi - kulingana na shirika la habari linalomilikiwa na serikali TASS.

Anasema kuwa nchi za Magharibi zimeonyesha kuwa lengo lake ni kuiangamiza Urusi na kwamba zimejaribu kuwageuza watu wa Ukraine kuingia kwenye vita kwa lazima.

Lengo letu ni kuikomboa Donbas, anasema.

Rais Putin anasema nchi za Magharibi zimeonyesha kuwa hazitaki amani kati ya Ukraine na Urusi.

Putin pia anasema kuwa atatoa hadhi ya kisheria kwa ‘’wanaojitolea’’ wanaopigana huko Donbas.

Putin ametangaza kuwa kuanzia leo ni muhimu kuchukua uamuzi wa haraka ili kulinda watu katika ‘’ardhi zilizokombolewa’’.

“Ndiyo maana niliiomba wizara ya ulinzi kukusanya jeshi kwa ajili ya vita,” anasema.

Amesema agizo hilo tayari limetiwa saini na linaanza kutekelezwa leo.

Amesema kuwa raia wote ambao watakusnywa watakuwa na hadhi kamili ya jeshi.

Putin ameongeza kuwa nchi za Magharibi zimekuwa zikiichafua Urusi lakini Urusi ina silaha nyingi za kujibu.

“Tutatumia rasilimali zote tulizonazo kuwatetea watu wetu,” anasema.

‘’Nina imani na msaada wako,’’ anahitimisha.

==============
Ikumbukwe mikoa anayoikalia ndio yenye utajiri wa viwanda, gesi, madini na mashamba ya Ngano.

Ukraine amepoteza pakubwa sana. Sasa ni mwendo wa kulinda alichojitwalia

#chanzobbcswahili
#StarTvUpdate

View attachment 2363393
Hii mikoa bado inakalika moja kwa moja ?
MK254 dudus Jackal HIMARS
 
Hii mikoa bado inakalika moja kwa moja ?
MK254 dudus Jackal HIMARS
Wakati Pro Russia wanabwabwaja hawana points zenye mashiko kwa sasa ,Majeshi ya ukombozi ya Ukraine yanaendelea kuirudisha miji na vijiji vyao toka mikononi mwa wavamizi/Russians.Huku wakipokelewa kwa furaha na wananchi wa maeneo hayo 🤔
.......

 
Putin hana jipya zaidi anapeleka watoto wa watu kufia vitani wakati yeye anajificha kwenya mahandaki.Angepeleka na watoto wake wa kuwazaa vitani🤔
 
Back
Top Bottom