EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #161
Wakisogea unijuze maana Kherson ndio mlisema mmewafurusha na mmevuka.na daraja mnawafuata hadi mpakani mwa nchi yao 😅😅😅😅😅😅Mkuu kura ni kwa miji ambayo bado russia wanaishikilia huko Donbas ambayo wanaume wako kazini kumalizia, Luhansky rasmi kazi imeanza watamalizia na Crimea, ni vile Mrusi atakufa kwa aibu
Mkaenda mbali zaidi mkadai wanajeshi qanakimbia na kupora pikipiki za raia ili kujinusuru maisha yao 😂😂😂😂😂
Duh nyiw jamaa bhana acha tu