Urusi yaunda jeshi baada ya kuazimia kukalia moja kwa moja mikoa ya Ukraine iliyoiteka

Urusi yaunda jeshi baada ya kuazimia kukalia moja kwa moja mikoa ya Ukraine iliyoiteka

Sawa kazoa watu wa mtaani sasa mbona anawaendesha nyie ambao ni trained expert soldiers? Hujiulizi au unajitoa ufahamu
Ndugu yangu, bwana wee wanakuambia kaishiwa askari anazoa, kwani Urusi na Putin si ndo anawapusua kichwa sasa kama kaishiwa wanasubiri nn kumtandika mapema tu wakamaliza matatizo haya yanayowasumbua?
 
Ndugu yangu, bwana wee wanakuambia kaishiwa askari anazoa, kwani Urusi na Putin si ndo anawapusua kichwa sasa kama kaishiwa wanasubiri nn kumtandika mapema tu wakamaliza matatizo haya yanayowasumbua?
Nimewauliza naona wanarukaruka kama bisi
 
Sifa zoooote ulizozitaja ni za US na NATO. Urusi kafitinisha nchi gani zaidi ya kulinda maslahi yake tena kwa majirani zake ambao mwanzo walikuwa chini ya USSR. NATO kule Syria, Afghan, Iraq, Libya, Congo, Liberia, Somalia orodha ni ndeeefu wamefitinisha na kuanzisha vita kwa maslahi yao.

Uahawahi kuiona Russia nje ya majirani zake?
Pale Syria anapambana na.manyang'anyi yanayokata kumuondoa Assad yapore mafuta na gesi
Mkuu; Tujikite kwenye hili linaloendelea sasa kwa Mrussi. Ukraine ni Taifa linalotambulika kimataifa na kwa hiyo lina geographical position - mipaka yake. Ndani ya Mipaka ya Ukraine utaikuta Crimea, Donbas, Luhansk n.k.
Mrussi kwa kutokana na kwamba mikoa hiyo ni ya mpakani na waanaoishi humo wanazungumza kirussi, kaamua kuanzisha mgogoro kwa kupenyeza ushawishi kwa watu hao na kuunda magenge-vita ili wajitenge na Ukraine hata kabla ya 2014. Hadi sasa hilo limekuwa ni mgogoro mkubwa na limepelekea Mrussi kuingiza majeshi yake Ukraine na hiyo ndo ni vita inayoendelea hadi kuhusisha Mataifa mengine.
 
Hakuna mali za maana kwanini waliuteka?? hatimae wakatelekeza hadi mitambo yao na kutimua mbio
Mnabaki na hizo stori za kulishwa kwani si mlidai Kherson mmeikomboa leo watu wanapiga kura kwa amaaaaani kabisa kwanini hampo hapo kukinukisha?😂😂😂😂
 
Mkuu; Tujikite kwenye hili linaloendelea sasa kwa Mrussi. Ukraine ni Taifa linalotambulika kimataifa na kwa hiyo lina geographical position - mipaka yake. Ndani ya Mipaka ya Ukraine utaikuta Crimea, Donbas, Luhansk n.k.
Mrussi kwa kutokana na kwamba mikoa hiyo ni ya mpakani na waanaoishi humo wanazungumza kirussi, kaamua kuanzisha mgogoro kwa kupenyeza ushawishi kwa watu hao na kuunda magenge-vita ili wajitenge na Ukraine hata kabla ya 2014. Hadi sasa hilo limekuwa ni mgogoro mkubwa na limepelekea Mrussi kuingiza majeshi yake Ukraine na hiyo ndo ni vita inayoendelea hadi kuhusisha Mataifa mengine.
Nimemjibu kutokana na alichouliza.mchangiaji.


Kuhusu hili nadhani nshamaliza maana nshamaliza kueleza ila wenye vichwa maji. Ngoja niwaache waendelee kubishana. Ila kura zinaendelwa vema na Putin anaandaa jeshi kwenda kulinda mipaka mipya.

Case closed!!!
 

Attachments

  • Screenshot_20220921-150658_Facebook.jpg
    Screenshot_20220921-150658_Facebook.jpg
    234.2 KB · Views: 5
Mkuu; Mali za maana kivita huwa ni zipi?? Mbona huko ndiko Mbabe aliweka base kubwa ya jeshi na ndiko kuna visima vikubwa vya mafuta vya nchi ya Ukraine n.k.??
 

Attachments

  • Screenshot_20220921-150311_Chrome.jpg
    Screenshot_20220921-150311_Chrome.jpg
    190.5 KB · Views: 5
Mnabaki na hizo stori za kulishwa kwani si mlidai Kherson mmeikomboa leo watu wanapiga kura kwa amaaaaani kabisa kwanini hampo hapo kukinukisha?😂😂😂😂
Mkuu Einstein2 kumbuka kwamba mwanajeshi anayetekeleza kazi yake kwa weledi husikiliza au hupokea amri kutoka kwa kiongozi wake. Kiongozi wa Wanajeshi wa Ukraine alishaagiza Usipige,Usiue, wala Usidhuru mali isiyohusika na vita. Hilo lipo hata kwenye Taratibu za Vita Kimataifa. Lakini ona jinsi Mbabe wako anavyochoma moto mashamba na anavyoua hadi ng'ombe za wafugaji ...... ni ukiukaji wa Sheria lakini zaidi ni AIBU na ni LAANA kwa Mrussi wako.
 
Mkuu Einstein2 kumbuka kwamba mwanajeshi anayetekeleza kazi yake kwa weledi husikiliza au hupokea amri kutoka kwa kiongozi wake. Kiongozi wa Wanajeshi wa Ukraine alishaagiza Usipige,Usiue, wala Usidhuru mali isiyohusika na vita. Hilo lipo hata kwenye Taratibu za Vita Kimataifa. Lakini ona jinsi Mbabe wako anavyochoma moto mashamba na anavyoua hadi ng'ombe za wafugaji ...... ni ukiukaji wa Sheria lakini zaidi ni AIBU na ni LAANA kwa Mrussi wako.
Imeisha hioo
 

Attachments

  • Screenshot_20220921-150658_Facebook.jpg
    Screenshot_20220921-150658_Facebook.jpg
    234.2 KB · Views: 6
Mnabaki na hizo stori za kulishwa kwani si mlidai Kherson mmeikomboa leo watu wanapiga kura kwa amaaaaani kabisa kwanini hampo hapo kukinukisha?😂😂😂😂
Mkuu kura ni kwa miji ambayo bado russia wanaishikilia huko Donbas ambayo wanaume wako kazini kumalizia, Luhansky rasmi kazi imeanza watamalizia na Crimea, ni vile Mrusi atakufa kwa aibu
 
Achga kuleta mawazo Mgando hapa; hakuna eneo la asili ya watu fulani katika dunia ya leo. Kuna mipaka ya kimataifa inayojulikana halafu watu wanaweza kuhamia popote wanapotaka wao wenyewe. Kama hao watu wa asili ya Urusi hawataki kuwa kwenye himaya ya Ukraine basi wahamie urusi, siyo kulazimisha kumega mipaka ya ukraine.

Huyu Putin kaishiwa sasa anaanza kutapatapa. Ngoja tusubiri ataishiwa wapi. Kutoka special military operation sasa sijui anakwenda wapi.
Basi mungewaambia na west wafanye haya mnayo yasema kwa COSOVO dhidi ya SERBIA
hayo majambo hayajaisha na hayatakaa yaishe
Mkae tu kwakutulia hapo ishu nimaslahi tu
Maana WESTERN wengi kama sio wote wanautambua uhuru wa COSOVO ila RUSSIA hawautambui
Kama ilivyo kwa RUSSIA kuutambua uhuru wa DON BASS ila WESTERN wote hawautambui
RUSSIA yupo sahihi kwa 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Einstein2 kumbuka kwamba mwanajeshi anayetekeleza kazi yake kwa weledi husikiliza au hupokea amri kutoka kwa kiongozi wake. Kiongozi wa Wanajeshi wa Ukraine alishaagiza Usipige,Usiue, wala Usidhuru mali isiyohusika na vita. Hilo lipo hata kwenye Taratibu za Vita Kimataifa. Lakini ona jinsi Mbabe wako anavyochoma moto mashamba na anavyoua hadi ng'ombe za wafugaji ...... ni ukiukaji wa Sheria lakini zaidi ni AIBU na ni LAANA kwa Mrussi wako.
Ripoti ya haki za binadam ya UN ilitoa ripoti kwamba majeshi ya UKRAINE yanaua nakutesa RAIA
Hukuiona hukuipenda ama ilikupita MKUU !!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom