Urusi yazalisha bidhaa zinazofanana na za Coca cola baada ya kampuni hiyo kusitisha uzalishaji nchini humo

Urusi yazalisha bidhaa zinazofanana na za Coca cola baada ya kampuni hiyo kusitisha uzalishaji nchini humo

Hapo juu jamaa kakupa jibu murua kabisa hujaelewa
Wala asii disclose watu wameiba formula yakutengeneza Atomic Bomb itakua koka kola aseee
Hapa ndio utaelewa kwanini kukawa namasuala ya UJASUSI
Sijasema kama hio ndio same na kolá yenyewe ila mana yangu nikwamba huo usiri uliopo usikustue watu waliiba na wanaendelea kuiba na kuzisaka siri zamanaa zaidi nini Coca cola
RUSSIA sio ZIMBABWE

Sent using Jamii Forums mobile app
Atomic bombs to the best of my knowledge iltumika kwa mara ya kwanza Hiroshima na nagasaki japan, ikishushwa na ndege ya kimarekani enola gay ,
Ile ilikuwa ni kazi ya mateka wa kivita wa nazi walipokuwa america , sio sahihi kusema formula iliibwa bali siri ilitapakaa baada ya hitler kufeli
 
Najua, inasemekana formula ya coca inalindwa saana, hii kauli huwa naichukulia imekaa kibiashara mnoo,
Haiwezekani wanakemia wakae chimbo washindwe kujua vilivyomo ndani ya coca kiundani kabisa.

Hii kauli imekaa kibiashara hiyo moja, na pili watu hawahangaiki nayo sababu ya mambo ya hatimiliki, ukijichanganya ukapekenyua na kujua ile formula kisha uanze kuzalisha utajikuta unafilisiwa hadi mbegu zako za uzazi.
Hii sasa ndio fact
Sio kola tu mambo yote kinachoponza hati miliki tuu
Yaani watu wakae chini washibdwe kugundua unatengenezaje
Umemaliza kila kitu MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atomic bombs to the best of my knowledge iltumika kwa mara ya kwanza Hiroshima na nagasaki japan, ikishushwa na ndege ya kimarekani enola gay ,
Ile ilikuwa ni kazi ya mateka wa kivita wa nazi walipokuwa america , sio sahihi kusema formula iliibwa bali siri ilitapakaa baada ya hitler kufeli
Naiongelea Atomic iliotokea US kuelekea USSR kabla hata ya Hiroshima na Nagasaki
Hata hayo yakuvuja siri MKUU siri zinavuja katika njia tofauti tofauti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hauko serious bro , kwamba ukichanganya maji sukari na cola nuts unapata coca cola?

Coca cola sio kama juisi ya matunda kwamba ya nanasi itafanana , hadi leo hii ladha yake inakubalika kumefanyika expensive research na coca hawawezi disclose hiyo formula .
Acha wewe teknolojia kubwa za nuklia, anga za mbali n.k znaibwa hiyo formula ya cocacola ni kitu gani?

Acha wazee wa Zzzzzz wagonge cocacola ile ile kwa jina tofauti
 
Kwamba akili imewajia sasa hivi muda wote walikuwa wapi hadi waanze sasa?kumbe Russia ni utopolo hivi!
 
Mkuu siri za nukes zilivuja baada ya hitlers nazi scientists kuwa mateka , other wise hadi leo ingekuwa ni siri.

Halafu hizi ni biashara usichukulie poa , watu wanaweka formula siri maana ndo lifeline ya biashara yenyewe.

Huko coca cola mbali sana , KFC tu , ile recipe mixture ni top secret.
Kuku wapo viazi vipo na ngano tunayo, jaribu kupika uone kama utapata ladha ya KFC.

Inasikitisha kuona mwanaume anasifia kuku wa KFC[emoji119][emoji119]
 
Mkuu siri za nukes zilivuja baada ya hitlers nazi scientists kuwa mateka , other wise hadi leo ingekuwa ni siri.

Halafu hizi ni biashara usichukulie poa , watu wanaweka formula siri maana ndo lifeline ya biashara yenyewe.

Huko coca cola mbali sana , KFC tu , ile recipe mixture ni top secret.
Kuku wapo viazi vipo na ngano tunayo, jaribu kupika uone kama utapata ladha ya KFC.
Watu kibao wanapika hizo KFC, nimekula Znz Clone zake vile vile, Restaurant moja Karibu na Lookman.

Issue ni hizo Patents, ila ku replicate watu wanaweza, hasa Vile hivyo ni viwanda vya zamani vya Coke, ina maana Ile Formula ipo.
 
Inasikitisha kuona mwanaume anasifia kuku wa KFC[emoji119][emoji119]
Kama umewahi kutembea utakubaliana nami kuwa huu ugali na kichuri au tembele huwa unaishia hapo vingunguti airport, baada ya hapo ni mwemdo wa vyakula usivyovijua au visivyo na ladha , ndo mana huwa tunajilipua na hizo junk foods amabazo standard ni moja all over the world

hapo congo tu unaweza kutana na kichwa cha nyani kwenye menu plate , halafu watu hawana habari , kuondoa karaha ndo hiyo KFC
 
Bado nasema hili suala lipo kibiashara ionekane coca ni special mnoo,hii kitu inapandisha hadhi.

Tuulizane unadhani kwa jinsi teknolojia ilivyolkuwa, wanakemia ndio wakae chini,washindwe kuibuka na hii formul!? Lakini hata wakipoteza muda na pesa hawatoweza kuitumia sababu ya hatimiliki.

Nakubaliana na wewe, sema wadau wameamua kutotumia the formulae kwa sababu ya mambo ya hatimiliki tu, lakini hakuna formulae yoyote ngumu ambayo ni cocacola pekee anaejua, sidhani kama ni kweli!
 
Coca cola ipo toka miaka ya 1890, utaona kuwa kwa karibu miaka 150 jamaa wamelinda siri ya biashara yao,na ku maintain the same quality, sio kitu rahisi kama watu wanavyodhani ,
Inasemekana kuna watu wawili permanent top executives ndo huwa wanajua siri hii, na coke huwa hawa disclose thier location nor their roles hadi wanapofariki or gravely ill
Hizi story mnazitoa wapi ulishawahi kutest coca cola ya kibongo na ya Alaska ukaona zina quality sawa?
 
Ila Wazungu Ni wajinga Sana,yaani walidhani Taifa kubwa Kama Russia litatetereka kwa sababu ya Cocacola,Fanta 😄😄, hata Tz tu leo wakifunga hivyo viwanda hakuna mwananchi atahangaika kusema eti serikali iondoke madarakani kwa Sababu ya Coca na Stone Tangawizi 😄😄

Sanasana bidhaa zikikosekana,Kodi itapungua kiaina lkn pia serikali ita-save pesa nyingi inazozitumia kwenda kununulia madawa ya ugonjwa wa kisukari.
 
Hizi story mnazitoa wapi ulishawahi kutest coca cola ya kibongo na ya Alaska ukaona zina quality sawa?
Kwamba coca ya kibongo inaweza kufanana ladha na pespi ya alaska sio?

Hilux ya japan inatofautiana sana na hilux ya south africa lakini zote ni trade mark ya Toyota
 
Ladha haiwezi kuwa ile ile , one of the best kept secret with lots of pattent ni hiyo coca cola formula ,
Hata hapa kwetu kuna cola procucts kibao, azam cola , chemi cola , mo cola etc, lakini hazina ladha ya coca cola
Labda huko daslam. Sisi wa mkoani ladha ya pepsi na cocacola wanazidiana kidogo tu
 
Back
Top Bottom