USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Ah wapi....kiboko ya vigogo wote hapa duniani ni Taliban. Hao ndio wanaweza pigana na Dunia nzima na kuibuka washindi
 
US hakushindwa vita katika uwanja wa vita bali aliamua kuachana na hivyo vita baada ya upinzani mkali wa hivyo vita nyumbani kutoka kwa raia ambao walikuwa hawaoni maslahi yoyote kwao kuongezeka.
Unapoingia vitani unakuwa na malengo, kwaiyo kama hukutimiza lengo la vita unayopigana we umeshindwa.
 
Minapenda. Tu kuyaona yale madege yake makuubwa ya kijesh..na yale ma meli makuubwa yakikatiza huko katikat yabahari huku yame beba ndege vita nyingi...kiukwei na enjoy
 
Usijitie unyonge, hawana lolote hao, Taliban waliwatimua wakaondoka bila kutazama nyumba. Vietnam ndio ilikua aibu walivyokua wanakimbia kutoka Saigon
Hata kiuchumi hawako imara, deni la serikali mpaka utosini, kila mwaka Kuna mjadala mkali wa kufungwa serikali sababu hakuna bajeti au waidhinishe wakope zaidi.
Raia waishiyo mtaani kwenye maboxi huwezi amini hii ni Amerika,
Marekani kuishi nje haihusiani na serikali, ni tabia za mtu ndo zitafanya akose pakuishi. Wapangaji wengi marekani wanafukuzwa majumbani na kukataliwa kupangishwa kwa sababu nyingi sana na moja wapo ni nidhamu, uchafu, kelele, uzembe wa kulipa kodi na kuvunja mkataba wa kupangishwa so kwenye hilo itoe serikali.
 
Of course ni kweli ilikuwa Italy na turqiye
Lakini Mrusi alifanya hivyo baada ya kujua kuwa US ameweka makombora huko naye akaona isiwe tabu, ata sasa ili umchokoze Marekani fanya biashara ya siraha na Cuba basi atakuona wewe adui yake, hivi kwanini kwake akifanya Ukraine, Finland na Georgia ni sawa anasema demokrasia ila wewe ukisogea Cuba na Mexico uonekane mbaya?
 
Marekani ina mashirika zaidi ya 10 ya Intellejensia, Wizara yao nishati yenyewe ina Shirika lake la Ujasusi.

Mtu anayedhani shit holes countries zinaweza kupigana na Marekani ni mjinga sana na hana strategic understanding ya mambo ya Dunia.

Hadi sasa only Russia na USA ndio wana Nuclear TRIAD, vita kubwa kuliko zote na ya hatari ni Marekani na Russia. Na hiyo vita atakaye pigwa in coventional war ni Russia.

Sababu kubwa Russia hataki Ukraine wawe NATO ni kuogopa Jeshi kubwa kama la Marekani liwe mpakani mwake
Vipi mzee mbona na USA hataki CUBA aweke kambi za kijeshi za RUSSIA? au na yeye anaogopa Jeshi kubwa ka RUSSIA mpakani mwake? Kabla ya kuporoja fanya utafiti wa kina.Vita ya USA na RUSSIA hakuna mshindi ni kitu kinaitwa MUD yaani ni uhakika wa dunia kujiangamiza.Leo ingekuwa RUSSIA kaweka kambi CUBA basi siku nyingi USA angeimaliza DUNIA.Kikawaida USA na WEST pamoja wana tabia ya kujizima data na kutegemea upande mwingine watumie busara.
 
Kwani ina maajabu gani hiyo cuba missiles crisis? Hivi unajuwa kwamba baada ya ile crisis ikaja kugundulika kwamba USA alishaweka kitambo makombora poland yakielekea moscow? Na moja ya makubaliano ilikuwa naye ayaondoe hayo makombora
Tatizo wewe unaamini taarifa za BBC na CNN bil kuchuja.Kisa cha USSR kuweka missile CUBA ni baada ya NATO kuweka hizo missile ITALY na TURKEY.Nikita Khrushchev ndio alikuwa anawaforce NATO watoe Makombora yao yanayoelekea kwake ili dunia irudi kwenye usalama kwa wote.ALieanza choko choko ni NATO.Hata hii vita ya Ukraine imetengenezwa na USA lengo lao waifunje vunje Russia iwe vitaifa vidogo vingi.Moja ya makubaliano ya kuunganisha EAST na WEST German ilikuwa ni kuwa NATO haitaexpand hata yard moja kuelekea EAST.Lakini mabeberu hawaachi fikra zao za kikoloni wameexpand mno kuelekea EAST kinyume na makubaliano.
PUTIN aliweka mstari wake mwekundu kuwa UKRAINE isiingizwe NATO na kwenye makubaliano ya MINSK 2004 walisaini NATO na RUSSIA lakini washenzi ni washenzi tu wamekuwa wakipush sana UKRAINE iingie NATO na kibaya zaidi wakapindua serikali yake na kumuingiza kibaraka wao LEWINSKY pamoja na kuwaua maelfiu ya raia wa UKRAINE wanaozungumza kirusi.UKRAINE as nation is gone forever.Hii ndio upumbavu wa kukubali kutumika kama toilet paper.
 
Watu wanaakili ndogo hawajui maana ya vita na mapambano dhidi ya kikundi fulani.

Kwa mfano USA angekuwa ametangaza vita kamili dhidi ya vietnam tungekuwa tunaongeea kitu kingine.

Kvp? Kwenye vita kamili haki za binadamu,sijui huyu ni mwanajeshi huyu sio hamnaga wanachang'anywa wote.
Ni hivyo hivyo kwa Russia akiamua kupiga ukraine bila kujali sijui raia nakadhalika hata bakiza kitu.

Tuje upande wa US vs Russia hapa ni mbingu na ardhi!

Hitler tu na jeshi lake ambalo halikuwa na branches wala nn liliimidi vita miaka 6?

Mwenye akili ajiulize je? Vp US wenye military bases all over the world?

Siitakuwa balaa plus uchumi plus well intergrated intelligence agencies.
Oy umewahi kuifuatilia vita ya Vietnam kweli?
Huko Vietnam huyo Marekani alitumia Kila mbinu kujihakikishia ushindi. Ndegezidi ya 5500 zilidondoshwa Kwa Manpads, vijana zaidiya 38000 elfu waliangamia huku maelfu wakiwa missing in action.
Wamarekani hao hao wamepelekea askari wao karibu laki 5 kuwa vilema na magonjwa kama kansa na mapafu nabaadae kifo Kwa kumwaga agent orange kemikali hatari iliyoteketeza karibu robo asilimia ya taifa la Vietnam.
Ni huko Vietnam ambapo Kwa mara y kwanza nuclear bomber B52 ilidondoshwa Kwa mara ya mwanzo.
Lakini wWavietnam walisimama kidete Mvamizi akakimbia vibaya
 
Watu wanaakili ndogo hawajui maana ya vita na mapambano dhidi ya kikundi fulani.

Kwa mfano USA angekuwa ametangaza vita kamili dhidi ya vietnam tungekuwa tunaongeea kitu kingine.

Kvp? Kwenye vita kamili haki za binadamu,sijui huyu ni mwanajeshi huyu sio hamnaga wanachang'anywa wote.
Ni hivyo hivyo kwa Russia akiamua kupiga ukraine bila kujali sijui raia nakadhalika hata bakiza kitu.

Tuje upande wa US vs Russia hapa ni mbingu na ardhi!

Hitler tu na jeshi lake ambalo halikuwa na branches wala nn liliimidi vita miaka 6?

Mwenye akili ajiulize je? Vp US wenye military bases all over the world?

Siitakuwa balaa plus uchumi plus well intergrated intelligence agencies.
Oy umewahi kuifuatilia vita ya Vietnam kweli?
Huko Vietnam huyo Marekani alitumia Kila mbinu kujihakikishia ushindi. Ndegezidi ya 5500 zilidondoshwa Kwa Manpads, vijana zaidiya 38000 elfu waliangamia huku maelfu wakiwa missing in action.
Wamarekani hao hao wamepelekea askari wao karibu laki 5 kuwa vilema na magonjwa kama kansa na mapafu na baadae kufa Kwa kumwaga agent orange kemikali hatari iliyoteketeza karibu robo asilimia ya taifa la Vietnam.
Ni huko Vietnam ambapo Kwa mara y kwanza nuclear bomber B52 ilidondoshwa Kwa mara ya mwanzo.
Lakini wWavietnam walisimama kidete Mvamizi akakimbia vibaya
 
Biashara unamaanisha nini? Nchi inayoongoza kwa biashara duniani ni China. Biashara ya China duniani imeipita USA kwa zaidi ya USD 1.4trilion sasa unaposema biashara sijui unamaanisha biashara gani

Angali takwimu hapa chini toka Statista ambayo ni kammpuni ya USA
Screenshot_20241105_115214_Chrome.jpg

 
Mwandishi wa Newsweek Magazine la Marekani aitwaye Fareed Zakaria aliwahi kusema kwamba Marekani ana uwezo wa kupigana na nchi zote za Ulaya zikija pamoja na Marekani ikashinda. Pia akaongeza kwamba Marekani can fight in five different fronts and win!
Puppet talk.Hana uwezo huo.Marekani na washirika wake wa NATO walikuwa na operation ya kuubadilisha utawala wa SYRIA kijeshi wamefikia wapi? Walibakiza 20KM wafike Damascus ndipo PUTIN akaamua kujoin kumsaidia ASSAD kilichobakia ni historia.Kama uwezo huo wanao mbona walishindwa kwenye lengo lao.
 
technology
China ndiyo nchi inaongoza duniani kwa ku file patent nyingi duniani ikiwa inaziacha mbali USA na nchi nyingine. Kwa hiyo haga upande wa technology kwa sasa USA hamuwezi China. Marekani ambaki kuongozi sehemu chache kwa patent ambazo ni pharmacetical na biotech japo nako soon ataachwa. Angalia tena Statista ambao ni USA wenyewe wanasemaje
Screenshot_20241105_120619_Chrome.jpg




Unaweza pia ukaangalia hapa shirika la kimataifa la patent WIPO nao wanaonesha nani mbabe wa kupatent duniani

Screenshot_20241105_120820_Chrome.jpg


 
Vita vya Vietnam hawakushindwa, waliamua kuachana na vita kwa sababu za kisiasa, halafu Marekani ya miaka ya 70 ni tofauti sana na hii ya leo.
Marekani haikushindwa Afghanistan, waliamua kuondoka baada ya kuikalia hiyo nchi kwa miaka 20 huku wakiona hakuna hamasa ya WaAfghanistan wenyewe wa kawaida kujipambania na kuondokana na Taliban.
Somali ilikuwa special military operation ya masaa machache, haikuwa vita. Kwenye SMO ya kumnyakua hata gaidi mdogo kwenye nchi dhaifu ni suala la ujasusi na intelejensia zaidi kuliko nguvu za kijeshi, na kosa dogo linaweza kuharibu mission nzima.
Usipambe kushindwa ukakupa jina jingine.Ni kushindwa tu.Mission ya Afghanistan ilikuwa kuwaondoa TALEBAN madarakani sasa unapoondoka ukiwaacha wao madarakani ni kushindwa tu.
 
Na Ufaransa Amesha mpima Putin ubavu wake AKAONA size yake muda wowote Putin ajichangaje ndio atajua kumbe yeye ni tango pori
Ufaransa anajua ugomvi wake ni ugomvi wa NATO ndio maana anajitia vimaneno.Level ya RUSSIA ni NATO na washirika wake.Mzee haugopi nchi 54 zimeungana kumsapoti UKRAINE na bado anapoteza maeneo kwa kasi kubwa sembuse kijiufaransa kilichoshindwa mpaka na waasi wa MALI.
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Marekani huyuhuyu aliyewashindwa Taleb huko Afghanistan kwa muda wa miaka 20 na kaishia kukimbia kama ngiri pori. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Acha ujinga haikuwa vita kamili! Ilikuwa vita ya kiitikadi kati ubepari na ukommunist! Vile vile bitavya USA na Afghanistan ilikuwa vita ya kiitikadi dhidi ya ugaidi! Hata vita ya USA na Iraq ilikuwa ya kiitikadi juu ya democracy na utawala wa sheria. Full scale war (vita kamili) ni pale ambapo huchagui raia au mwanajeshi! Mfano wa vita vya hizi nchi USA alikuwa anapigana huku wananchi wake akiwapa chakula na matunzo na kutengeneza mpango wa kuwahudumia wasife! Full scale war, Marekani hana mshindani. Kuhusu silaha za nyuklia na uwezo wa kiuchumi wa kuitumia bado hakuna wa kumsogelea Mmarekani! Kwa takwimu USA ana nuclear warhead zaidi ya million 100 mpaka UN ikapiga kelele kuhusu wingi wa stocks za nukes. Nchi nyingine sana sana ikijitahidi itakuwa nazo chache katika makumi tu! Ukizingatia ukubwa na uzito wa nukes moja kuitengeneza akuna anayemsogelea USA. Mfano nukes za Russia na China zenye ukubwa sawa na za USA ni chache sana! Vinchi nyingine vinavyojigamba viba nukes ukubwa na uzito wake ni kama tani 3 hadi 6 wakati nukes za USA zinaenda 30 hadi 45kgs! Chezea wewe
Haraka ya nini,fanya utafiti kabla ya kuandika.Nchi yenye makombora mengi zaidi ya Nuklia ni Russia na hata yeye anakisiwa kuwa na makombora 6000 na kidogo,USA 5000 na kidogo .Jumla duniani kunakisiwa kuwa na makombora ya nuklia 13000 tu.Sasa sijui hayo 100 million ya USA umetoa wapi.Kwa taarifa yako bomu la TSAR la urusi ndio kubwa zaidi kuwahi kutengenezwa na kujaribiwa hapa duniani.Pamoja na yote hayo hakuna mshindi kwenye vita vya kinuklia, kwani hata mabomu machache tu yanatosha kuangamiza dunia.
 
Back
Top Bottom