USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

Germany na Japan [emoji557] baada ya WWII, walipigwa Pini juu ya masuala ya kijeshi, badala yake USA ndo anebaki kuwa mlinzi wao. Uwekezaji wao katika jeshi, pamoja na enrollment iko very limited kutokana na mikataba waliosainiana na USA.
Hao viumbe wabishi aisee.
Hata baada ya WW1 waliwekewa limit katika jeshi ila kwa jeshi dogo hilo hilo wakaanzisha WW2.
Achana na hao wamba,ila bora hata walivyowawekea limit.
 
Naongelea kipindi kile wangeingia vitani kati ya Usa na vietnam halafu kila mtu atumie uwezo wake wote wa kivita ingechukuwa muda gani kwa vietnam kuiteka washington?

Unajua mnavyoongeleaga USA kushindwa vietnam yaani ni Kama vile vietnam aliiteka america na anaikalia kimabavu
Kufanikiwa au kutofanikiwa kwa vita kunapimwa kwa kufikia au kutofikia malengo yaliyokufanya uingie vitani. Usiongee kama umekatika kichwa. US aliingia vitani kuwatoa madarakani North Vietnam akashindwa na kuondoa majeshi so US alishindwa vita. Huwezi kutoa mifano ya Vietnam kuiteka Washington wakati Vietnam hakumfata US kumshambulia
 
Kasome theories za absolute and comparative advantages katika uchumi nduo utajua uchumi Mkubwa sio kila kitu
 
Naongelea kipindi kile wangeingia vitani kati ya Usa na vietnam halafu kila mtu atumie uwezo wake wote wa kivita ingechukuwa muda gani kwa vietnam kuiteka washington?

Unajua mnavyoongeleaga USA kushindwa vietnam yaani ni Kama vile vietnam aliiteka america na anaikalia kimabavu
Sasa Vietnam aiteke vipi Washington huku huyo USA ndio kamfuata kwake??
 
Naongelea kipindi kile wangeingia vitani kati ya Usa na vietnam halafu kila mtu atumie uwezo wake wote wa kivita ingechukuwa muda gani kwa vietnam kuiteka washington?

Unajua mnavyoongeleaga USA kushindwa vietnam yaani ni Kama vile vietnam aliiteka america na anaikalia kimabavu
Sasa Vietnam aiteke vipi Washington huku huyo USA ndio kamfuata kwake
 
Bora wewe unajua mkuu hawa walamba soli wa USA hakuna wanachokifahamu mtu hajapitoa OPERATION PAPER CLIP ambapi USA alichukua wanasayansi wa GERMANY zaidi ya 1600 akawapa na uraia .

Kuna wakina Wernher von Braun ambaye aliwekwa nasa , Albert Einstein, Hans Bethe, John von Neumann, Leo Szilard, James Franck, Edward Teller, Rudolf Peierls, na Klaus Fuchs ambao wamehusika kwenye secret projects nyingi sana na wamefanya vumbuzi ambazo zilifichwa kwa muda mrefu na USA na nyengine nadhani hadi leo hazijatolewa.

Kuna wakina oppenheimer ambaye wazazi wake walikuwa wahamiaji kutoka ujerumani angalia jamaa alichounda mpaka leo hii japan wamebaki na kumbukumbu mbaya sana kutoka USA.

GERMANS NI HATARI SANA TUKIJA KWENYR ISHU ZA TECHNOLOGY SIJAJU KWANINI KWA SASA HAKUNA VICHWA VINAVYOTOKEA KULE.
wewe ndo hutak wafuatilia wajeruman
 
Kuna movie inaitwa "HACK SAW RIDGE" nadhani mkuu unaifaham.
Aliigiza yule kijana aliyeigiza "Amazing spider man".
Ile movie ilikua dedicated kwaajili ya kusifia mchango wa mwanajeshi mmoja ambaye alipigana WW2 ila alifanikiwa kuokoa zaidi ya 70+ US soldiers ambao walioumia na hakushika bunduki wala kufyatua risasi.
Yule mzee sasa hivi anakaa katika wheel chair ana zaidi ya 80+ years,mwishoni mwa ile movie walimrekodi na alikiri akisema" kama haikuwa ile nuke iliyopigwa Nagasaki na Hiroshima,tusingewaweza Japan hata kama tumewazunguka".
Maana wale askari wa Japan walikua wanafanya hadi SUICIDE BOMBING.
Halafu kuna mpuuzi anakwambia eti Japan ilishindwa kabla.
Na kuna mjinga mwingine anakwambia USA inaweza kusimama hata na dunia nzima.
Aiseeeeee!
akili zako ndogo sana , kwamba Urusi akiweka pemben nuke anaeza simama mbele ya NATO ? je tumuite Urusi mnyonge kisa anategemea NUKE ?
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Uharo mtupu…

Wamsadie basi Ukraine ashinde vita.
 
Hebu tuache porojo.. ni vita gani ambayo amewahi kupigana peke yake akaishinda.

Vita ya Vietnam alipigwa hadi akajiondoa, Afghanistani aliwakuta taliban na kawaacha yani sawa ameshindwa, pale Iraq alikuwa na collabo.

Sasa unaweza kusemaje akisimama na dunia nzima atashinda au movie zinakuchanganya mzee?

Hitler tu alishindwa na teknolojia aliyokuwa nayo kipindi kile. Hivi unajua wanasayansi wa Nazi ndio aliwachukua US wengi wakawa viongozi wa vitengo ikiwemo NASA, maana walikuwa ni wabobezi wa rocket propellant?
haha mmarekani alisanda kwenye vita ya vietnam kumbuka vietnam kasikazini ilikuwa chini ya mrusi.kuhusu nuclear iligunduliwa na wanasayansi wa hitler wakatoloshwa na marekani
 
Hii vita ya Mmarekani kule Vietnam(Indochina) hamtoielewa mpaka muanze kuangalia jinsi mfaransa alivyopigwa na kudhalilishwa huku Mmarekani akimpa tag huko Indo China.

Kama hakutumia siraha zake zote waambie agent orange aliitumia kwa ajili gani?

Fatilieni kwanza France-Vietnam war ndio mje kujadili USA- Vietnam war huku Vietnam wakipewa msaada kutoka Urusi na misaada ya kibinadamu kutoka Uchina.

Ila mleta mada amelewa propaganda za Western world
 
Kuna movie inaitwa "HACK SAW RIDGE" nadhani mkuu unaifaham.
Aliigiza yule kijana aliyeigiza "Amazing spider man".
Ile movie ilikua dedicated kwaajili ya kusifia mchango wa mwanajeshi mmoja ambaye alipigana WW2 ila alifanikiwa kuokoa zaidi ya 70+ US soldiers ambao walioumia na hakushika bunduki wala kufyatua risasi.
Yule mzee sasa hivi anakaa katika wheel chair ana zaidi ya 80+ years,mwishoni mwa ile movie walimrekodi na alikiri akisema" kama haikuwa ile nuke iliyopigwa Nagasaki na Hiroshima,tusingewaweza Japan hata kama tumewazunguka".
Maana wale askari wa Japan walikua wanafanya hadi SUICIDE BOMBING.
Halafu kuna mpuuzi anakwambia eti Japan ilishindwa kabla.
Na kuna mjinga mwingine anakwambia USA inaweza kusimama hata na dunia nzima.
Aiseeeeee!
=========

Zipo sababu nyingi zilizoisukuma Japan kujisalimisha, ikiwemo mchango wa USSR.

Yote itategemea na historia ilivyoandikwa
 
Acha ujinga haikuwa vita kamili! Ilikuwa vita ya kiitikadi kati ubepari na ukommunist! Vile vile bitavya USA na Afghanistan ilikuwa vita ya kiitikadi dhidi ya ugaidi! Hata vita ya USA na Iraq ilikuwa ya kiitikadi juu ya democracy na utawala wa sheria. Full scale war (vita kamili) ni pale ambapo huchagui raia au mwanajeshi! Mfano wa vita vya hizi nchi USA alikuwa anapigana huku wananchi wake akiwapa chakula na matunzo na kutengeneza mpango wa kuwahudumia wasife! Full scale war, Marekani hana mshindani. Kuhusu silaha za nyuklia na uwezo wa kiuchumi wa kuitumia bado hakuna wa kumsogelea Mmarekani! Kwa takwimu USA ana nuclear warhead zaidi ya million 100 mpaka UN ikapiga kelele kuhusu wingi wa stocks za nukes. Nchi nyingine sana sana ikijitahidi itakuwa nazo chache katika makumi tu! Ukizingatia ukubwa na uzito wa nukes moja kuitengeneza akuna anayemsogelea USA. Mfano nukes za Russia na China zenye ukubwa sawa na za USA ni chache sana! Vinchi nyingine vinavyojigamba viba nukes ukubwa na uzito wake ni kama tani 3 hadi 6 wakati nukes za USA zinaenda 30 hadi 45kgs! Chezea wewe
USA ni kama the Hulk ambapo ana umbo kubwa ila mbinu anaweza kuzidiwa na taifa lolote shindani na akakalishwa vizuri tu.

USA ana technology ila Urusi ana teknolojia zaidi ya US kiasi kwamba vifaa complex vya mamilion ya dollar kwa Urusi anatumia vifaa visivyo gharama kubwa kuviangamiza vifaa vya mabilion ya fedha vya Mmarekani. Kwahio ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi.
 
Mtoa mada yeye anasema Dunia yote ijiunge dhidi ya USA, eti bado USA atashinda. Kama ni kumlinganisha USA na nchi zingine Kwa nguvu za kijeshi, ni kwelia anaongoza, lakini si kweli kuwa nchi zote ziungane dhidi ya USA halafu ashinde! Never ever.
Wala haina haja ya nchi zote, ni IRAN, NORTH KOREA ,CHINA NA JAPAN tu. Hao wanatosha kuiweka USA mahali pake na akatulia kwa adabu zote.

Yani Marekani aje na vurugu zake zote without NUCLEAR BOMBS atapewa chai ya mapema sana bila vitafunwa.
 
akili zako ndogo sana , kwamba Urusi akiweka pemben nuke anaeza simama mbele ya NATO ? je tumuite Urusi mnyonge kisa anategemea NUKE ?
We kweli zwazwa!?
Sasa hivi kwani Russia hapigani na NATO!?
Askari wa UK na USA wapo Ukraine kama mercenaries lakini bado Russia anawachabanga.
 
U. S. A vs Russia
Himars vs Iskander M
F-22 Raptor vs Su-57
Patriot Air defence vs S-500
5500 Nuclear Warheads vs 6250
$29 Trillion Military Budget vs $2 Trillion

Haihitaji hata Rocket Science kujua nani Superpower japo pia Russia haichukiliwi kama nchi nyepesi nyepesi tu
mkuu dola trilion 29 ni bajet ya kijeshi ya US kwa miaka mingapi?
maana bajet yao nzima huwa haizidi tr 7
 
Back
Top Bottom