USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

mkuu dola trilion 29 ni bajet ya kijeshi ya US kwa miaka mingapi?
maana bajet yao nzima huwa haizidi tr 7
Sorry mkuu nilinote vibaya As of 2023 ni $840 billion hiyo source ya kwanza ilini mislead.... So tuseme huwa US anaspend trillion 2.19 za Kitanzania
 
Mleta uzi; twende taratibu usiwe na HARAKA. Tutajie vita walau 2 unazo zifahamu ambazo USA alipigana na akashinda akiwa pekee yake halafu sisi tutaku orodheshea idadi ya vita alizopigana akiwa kafanya collabo ya nchi hadi 29 kwa nchi moja.
 
Labda nikuulize mleta mada,unafikiri ni kwa nini dunia ya sasa mataifa yanatafuta allies (washirika) akiwemo huyo usa?
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Asante sana amiri jeshi msaidizi wa marekani kwa taarifa hii muhimu🤣🤣🤣
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Ward 41 you fucked Up
 
Watu wengine bwana, yaani wanawachukulia USA kama Miungu fulani hivi.
1. Israel na USA wana uhusiano wa karibu sana. Kwa nini mpaka leo Israel hajawamaliza Hamas?
2. Kwa nini mpaka leo hajafaulu kuwamaliza Wahouth, North Korea.
Kwa kifupi, USA si Miungu wala Mbinguni. Wanaweza kupigwa tena vizuri kabisa mpaka Dunia haiwezi kuamini.
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Hujui lolote,na hujui unachokiongea,zungumza Kwa takwimu unapoongea kikubwa sio porojo za kitoto
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Akili ya kuku
 
Mpùmbavu mmoja tu hyo ameletewa Sofia ya US na sĥemegi yake sasa anapanda kichwan mm nilipomuona mjinga pale alipo classify US kivita sijui kisilaha sijui kinini we mjinga tu
Mm nilipo fungua Uzi nikajua labda utatuelezea na kudadavua kinaga ubaga nguvu aliyo nayo USA kitakwimu mitambo aliyo nayo kama vile ndege za kivita, manoari, aircraCarriers compare to the rest of the world. Kumbe ni stori za kwenye vijiwe vya kahawa ?.
 
miaka 5 ijayo USA ataporomoka kiuchumi na nafasi yake itakuwa imechukuliwa na china
kuna pigo watalipata na ndio chanzo cha kuondoka katika kilele cha kiuchumi duniani..
haya ni mambo ya unabii tu, sio lazima ukubali
 
Wamarekani washenzi sana, wao ndio wenye dola wanachokifanya ni ku print hizo dola kisha mnapewa watanzania mnaambiwa msaada, mara dola hizohizo zaku print zinaenda Ukraine, mara zinaenda Israel, mara wapi sijui....
Kwani Tanzania si mna shilingi zenu? Kwani mmekatazwa ku print hela zenu? Si ni nyie huwa mnamuagiza vendor wenu ku print kulingana na mahitaji yenu?
Nigeria, Morocco, Kenya, Algeria, South Africa, Congo DRC, Egypt, Sudan, na Zimbabwe hawa wote zote wana print pesa zao wenyewe, unaziongeleaje?
Au wewe unafikiri China, India, German, na Urusi hela zao zina printiwa na US? Au mmekariri tu lakini somo hili kiukweli hamlijui wala hamliwezi?
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Usijitie unyonge, hawana lolote hao, Taliban waliwatimua wakaondoka bila kutazama nyumba. Vietnam ndio ilikua aibu walivyokua wanakimbia kutoka Saigon
Hata kiuchumi hawako imara, deni la serikali mpaka utosini, kila mwaka Kuna mjadala mkali wa kufungwa serikali sababu hakuna bajeti au waidhinishe wakope zaidi.
Raia waishiyo mtaani kwenye maboxi huwezi amini hii ni Amerika,
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Ajabu umepata likes hapo ndio napokubali watanzania kwa kupenda vituko
 
Ma brain washed Muslims ndio wanaongoza kumchukia MMAREKANI huku yana click nyuma ya Key board za MACK BOOK,Iphone na Samsung
Samsung mmarekani!?
Au siku hizi Korea imekua Marekani!?
Pia hiyo ni biashara hizo key board hatukupewa msaada kijana.
Hata huyo USA ana resources za waislam anazitumia ila amenunua mathalan mafuta ya petroli.
 
Kwani Tanzania si mna shilingi zenu? Kwani mmekatazwa ku print hela zenu? Si ni nyie huwa mnamuagiza vendor wenu ku print kulingana na mahitaji yenu?
Nigeria, Morocco, Kenya, Algeria, South Africa, Congo DRC, Egypt, Sudan, na Zimbabwe hawa wote zote wana print pesa zao wenyewe, unaziongeleaje?
Au wewe unafikiri China, India, German, na Urusi hela zao zina printiwa na US? Au mmekariri tu lakini somo hili kiukweli hamlijui wala hamliwezi?
Kujua kitu sio kufahamu kitu... Logically marekani ana matatizo kibao nchini kwake, homeless wa marekani ni wengi, marekani inapata wapi hela za bure zakusaidia taifa lingine, wakati wananchi wake wanashida? Kwanini hizo hela asigawe nazo free meal kwa homeless?
 
Marekani ina mashirika zaidi ya 10 ya Intellejensia, Wizara yao nishati yenyewe ina Shirika lake la Ujasusi.

Mtu anayedhani shit holes countries zinaweza kupigana na Marekani ni mjinga sana na hana strategic understanding ya mambo ya Dunia.

Hadi sasa only Russia na USA ndio wana Nuclear TRIAD, vita kubwa kuliko zote na ya hatari ni Marekani na Russia. Na hiyo vita atakaye pigwa in coventional war ni Russia.

Sababu kubwa Russia hataki Ukraine wawe NATO ni kuogopa Jeshi kubwa kama la Marekani liwe mpakani mwake
Ata Marekani hataki Russia awe na washirika karibu na mipaka yake na haya yalitokea mwaka 1962 baada ya USSR kuwa na mahusuano makubwa na Cuba kiasi cha kuweka siraha zake maribu.

Au jiulize unahisi kwanini mpaka leo Cuba kawekewa vikwaza kibao na Marekani?

 
Wamarekani washenzi sana, wao ndio wenye dola wanachokifanya ni ku print hizo dola kisha mnapewa watanzania mnaambiwa msaada, mara dola hizohizo zaku print zinaenda Ukraine, mara zinaenda Israel, mara wapi sijui....
Hapa umetumia kamasi kuwaza
 
Kwani ina maajabu gani hiyo cuba missiles crisis? Hivi unajuwa kwamba baada ya ile crisis ikaja kugundulika kwamba USA alishaweka kitambo makombora poland yakielekea moscow? Na moja ya makubaliano ilikuwa naye ayaondoe hayo makombora
Haikuwa Poland banah! 1962 Poland yenyewe ilikuwa sehemu ya USSR ila makombora ya Nuke ya US yalikuwa Itary na Ururuki.
 
Back
Top Bottom