Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,067
Mbwembwe TU...na utakuta anapeleka 20 TU na Askari 200 maaana wingi wa Askari wote hao bajeti yake kapewa na Nani....[emoji22]Sniper 200 wote wa kazi gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwembwe TU...na utakuta anapeleka 20 TU na Askari 200 maaana wingi wa Askari wote hao bajeti yake kapewa na Nani....[emoji22]Sniper 200 wote wa kazi gani
Nchi nyingi washirika wake ulaya wameonyeshwa kuchoshwa na tabia yake ya kutojali maslahi yao. Wanamuona marekani kuwa ni mbinafsi.
Lakini pia hakuna sababu za ukweli za Marwkani kuzishambulia nchi nyingine na kuzivurugaa zaidi ya kujenga maslahi yao. Ni mbaya kwa dunia pia
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Bible ipi?Japo sio wote mnao amini lakini no way out of this. Marekani ametabiriwa na Bible n hamna namna, tutaendelea kushuhudia ubabe wake m0aka pale muda uliowekwa utakapo isha
sf
Naomba nipe japo kidogo tu mkuibro pls try and understand the americans, it seems you know nothing abaut them bro
Shughuli imeanza! Kuna mtu anaenda kutiwa adabu soon. Kitendo cha Iran kutuma mamluki wake kwenda kushambulia ubalozi wa Marekani nchini Iraq ni kutangaza vita na Marekani ilikua haina namna zaidi ya kujibu mashambuliziSniper 200 wote wa kazi gani
Mkuu pole na msiba!Mbwembwe TU...na utakuta anapeleka 20 TU na Askari 200 maaana wingi wa Askari wote hao bajeti yake kapewa na Nani....[emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aende front mara ngapi wakati ameshaua kamanda mkuu wa Iran.Kama kweli US ni kidume aende front mwenyewe kwenye Saga hili kama ambavyo Russia hua anaingia front alone.
Dunia imeshamshtukia. Kifupi wamemechoka mmarekani na style zake.Nchi nyingi washirika wake ulaya wameonyeshwa kuchoshwa na tabia yake ya kutojali maslahi yao. Wanamuona marekani kuwa ni mbinafsi.
Lakini pia hakuna sababu za ukweli za Marwkani kuzishambulia nchi nyingine na kuzivurugaa zaidi ya kujenga maslahi yao. Ni mbaya kwa dunia pia
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Kamuua Akiwa Wapi [emoji23][emoji23][emoji23]?!Aende front mara ngapi wakati ameshaua kamanda mkuu wa Iran.
Bajeti anatoa Africa..kwenye madini na Asia kwenye mafuta!Mbwembwe TU...na utakuta anapeleka 20 TU na Askari 200 maaana wingi wa Askari wote hao bajeti yake kapewa na Nani....[emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu! Ila kamanda amekufa akiwa shahidi. Yupo peponi anafaidi mabikira 72 wenye macho kama vikombe
Dunia imeshamshtukia. Kifupi wamemechoka mmarekani na style zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulaya inategemea silaha za Mmarekani kujilinda, hawana choice inabidi wawe alongside USANchi nyingi washirika wake ulaya wameonyeshwa kuchoshwa na tabia yake ya kutojali maslahi yao. Wanamuona marekani kuwa ni mbinafsi.
Lakini pia hakuna sababu za ukweli za Marwkani kuzishambulia nchi nyingine na kuzivurugaa zaidi ya kujenga maslahi yao. Ni mbaya kwa dunia pia
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Biblia inasema kwamba mmarekani atapigwa na Korea kaskazini,Kisha Korea itaangamizwa na Irani
KabisaJapo sio wote mnao amini lakini no way out of this. Marekani ametabiriwa na Bible n hamna namna, tutaendelea kushuhudia ubabe wake m0aka pale muda uliowekwa utakapo isha
sf
Hahaha mnachekesha sana ni mstari gani wa bibliaBiblia inasema kwamba mmarekani atapigwa na Korea kaskazini,Kisha Korea itaangamizwa na Irani
Korea ya kaskazini na Irani Ni dola zinazoinuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sehemu gani ya biblia ndugu?Japo sio wote mnao amini lakini no way out of this. Marekani ametabiriwa na Bible n hamna namna, tutaendelea kushuhudia ubabe wake m0aka pale muda uliowekwa utakapo isha
sf