bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,443
- 9,854
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mwanapropaganda Muqawama Wa Ayatollah, Pole sana mkuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili taifa la mabavu halina maisha marefu.
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Na watoto ni weupeeeee hadi unaona mifupa kwa ndaniPole sana mkuu! Ila kamanda amekufa akiwa shahidi. Yupo peponi anafaidi mabikira 72 wenye macho kama vikombe
hicho kimeli hakiwezi kuzamishwaMimi naona Trump akianzisha ugomvi hamalizi .yupo tayari
russia anaingia wapi? vile vikoloni vyake vya zamani?Kama kweli US ni kidume aende front mwenyewe kwenye Saga hili kama ambavyo Russia hua anaingia front alone.
Theology inasema hivyo kasome kitabu cha Daniel na Ufunuo nimefupisha tu katika uandishi.Hahaha mnachekesha sana ni mstari gani wa biblia
Pamoja na yote Biblia kwangu ni kitabu ambacho kimefunua kweli ya yaliyopita na yatarajiwayo.Biblia inasema kwamba mmarekani atapigwa na Korea kaskazini,Kisha Korea itaangamizwa na Irani. Korea ya kaskazini na Irani Ni dola zinazoinuka.
Unajua imani ni kitu kibaya sana. kinaondoa hata uwezo wa mtu kufikiri na kuchambua mambo. Ila ni vizuri mtu kuamini hata kama inakuwa ni ndoto ya mchana lakini kwa vile unaamini wewe ni sawa tu. Hii haina tofauti na propaganda wanazotumia Kim Dynasty kuwaaminisha wananchi wake kuwa ukoo wake pekee ndo unawapenda na kuwatetea wakati siyo kweli
[emoji3][emoji3][emoji3]daahPole sana mkuu! Ila kamanda amekufa akiwa shahidi. Yupo peponi anafaidi mabikira 72 wenye macho kama vikombe
Kitabu cha Ufunuo vyema Kama utakisoma taratibu ,nimesahau sura ipi.
Russia ninayo ijua mimi iliyofurumshwa na Mujahideen kule Afrighanstan?,Kama kweli US ni kidume aende front mwenyewe kwenye Saga hili kama ambavyo Russia hua anaingia front alone.
Pole sana Mkuu.. upo katika kipindi kigumu ila ni cha mpito tu.
Pole sana mkuu! Ila kamanda amekufa akiwa shahidi. Yupo peponi anafaidi mabikira 72 wenye macho kama vikombe
North Korea Katajwa wapi? Wasabato mna matatizoTheology inasema hivyo kasome kitabu cha Daniel na Ufunuo nimefupisha tu katika uandishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sanaa...Pole sana mkuu! Ila kamanda amekufa akiwa shahidi. Yupo peponi anafaidi mabikira 72 wenye macho kama vikombe
Kama IRAN katangaza vita Mbna Mabomu Yanavurumishwa IRAQ !!?Style yao ipi hiyo?! kushambuliza balozi ya nchi yoyote ile ni kitendo cha kutangaza vita, Marekani ikabidi aingie mzigoni