cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
Hamna shida mzee endelea kukaa kwa mkurungwaYaah kwa mjuba aliyemuoa sister.. Kwani kuna shida mzee?
Sent from my iPhone 12 using Jamiiforums App
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna shida mzee endelea kukaa kwa mkurungwaYaah kwa mjuba aliyemuoa sister.. Kwani kuna shida mzee?
Sent from my iPhone 12 using Jamiiforums App
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Polisi Denmark walinimaindi kipindi flani cha nyuma. Nilikuwaga na stress nikaamua kupiga emergency number nakata napiga nakata napiga mara 89 huku naangua kicheko cha hatarii.
Wakanikamata nakunipeleka mental hospital eti nahitaji msaada mimi nikawaambia niko vizuri na wasiponiacha baada ya masaa mawili nitajiua yani walipanic. Nikaandika na wosia kabisa nikifa nitajizika mwenyewe kengeh yeyote asithubutu kugusa mwili wangu
Ilikuwa ishu ya custody mkuu. Pia humu jf nikishikwa na stress naingia humu jamvini member yeyote akianza matusi huyo huyo nakomaa naye yani hapo ndio nafurahi kichizi ila siku hizi wengi wananipuuza basi naumia Nimebakiza akina Mawaniza mbao, Beira Boy Ncha Kali yenyewe hata ukiingia anga zao hawajali.
Nilileta uzi wa ontario wa Uingereza October man akakurupuka kusikojulikana nakunishambulia nakuniita idiot yani nilifurahi nakurukaruka nikasema fursa. Jamaa nilimuandama sikuwa nampa nafas. Siku hizi kanipuuza
Nini kilimuua mkuu
Tupo pamojaWaziri wa Kaskazini,
Umeenda kusalimia mara umepata leseni unaendesha. It is a joke mkuu
Aiseee juzi polisi walifanya operesheni kabambe hapo nakukamata wengi sana. Wamewadeport wengi sana
DuhAiseee juzi polisi walifanya operesheni kabambe hapo nakukamata wengi sana. Wamewadeport wengi sana
In fact mjua ana mpunga aliye muoa sister huku hamna rushwa
Sent from my iPhone 12 using Jamiiforums App
Pole mkuu, ila haya majina ya kizungu jina sana. John Stephen is my dad's name.
[emoji23][emoji23][emoji23]ndege mjanja....Waziri wa Kaskazini,
Umeenda kusalimia mara umepata leseni unaendesha. It is a joke mkuu
Vibaya tuna zitumiaje? MzeeNinyi ni wendawazimu. Hivi Unajua hizo zebra cross mbazitumia vibaya?
God save us
Subiri bill ya ambulance. Utafurahi na roho yako
Marekani haiwezi kuifikia Tz kwa maisha bora hata siku mojaMambo yasiwe mengi, jana mida ya jioni nilisababisha ajali kwenye taa nyekundu hapa Minneapolis City in Minnesota.
Cha kushangaza zilikuja ambulance muda ule ule hata sekunde moja haijaisha yaani, nilipakiwa kwenye ambulance na kupelekwa hospitalini, yaani sikuumia hata kidogo.
Gari ya Hospitali imenirudisha hadi nyumbani kwa Shemeji nipo home, naletewa barua ya siku nayohitajika kwenda mahakamani.
Marekani ni Marekani tu wadau.
Sent from my iPhone 12 using Jamiiforums App
Marekani ndiyo maana wajuba wanazamia kwa njia yoyote ile ilimradi wakaishi stateMarekani haiwezi kuifikia Tz kwa maisha bora hata siku moja
Anaeza pigwa dola 400 asipokua makinSubiri bill ya ambulance. Utafurahi na roho yako
Jiandae kuletewa bill kubwa kulipia huduma zote hizo.Mambo yasiwe mengi, jana mida ya jioni nilisababisha ajali kwenye taa nyekundu hapa Minneapolis City in Minnesota.
Cha kushangaza zilikuja ambulance muda ule ule hata sekunde moja haijaisha yaani, nilipakiwa kwenye ambulance na kupelekwa hospitalini, yaani sikuumia hata kidogo.
Gari ya Hospitali imenirudisha hadi nyumbani kwa Shemeji nipo home, naletewa barua ya siku nayohitajika kwenda mahakamani.
Marekani ni Marekani tu wadau.
Sent from my iPhone 12 using Jamiiforums App
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Polisi Denmark walinimaindi kipindi flani cha nyuma. Nilikuwaga na stress nikaamua kupiga emergency number nakata napiga nakata napiga mara 89 hivii huku naangua kicheko cha hatarii.
Wakanikamata nakunipeleka mental hospital eti nahitaji msaada mimi nikawaambia niko vizuri na wasiponiacha baada ya masaa mawili nitajiua yani walipanic. Nikaandika na wosia kabisa nikifa nitajizika mwenyewe kengeh yeyote asithubutu kugusa mwili wangu