USA PROTESTERS: We don't need more Lockdowns its better to be contracted with SARS-CoV-2 than Lockdown

USA PROTESTERS: We don't need more Lockdowns its better to be contracted with SARS-CoV-2 than Lockdown

Huyu anayeuliza kwa kiingereza hata hataki kufuatilia habari za vyombo maarufu vya habari Duniani mshamba kweli hajui kwamba VoA ndio wameripoti

Kuna watu wamekariri hilo neno mradi tu waandike
Hivi unaona habari anashindwa kuangalia kama ni kweli au la [emoji37][emoji34]


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Tena wengine wametoka na bunduki kabisa liwalo na liwe
Lockdown kiboko ila sisi huku ni kuuchapa tu
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Huyu anayeuliza kwa kiingereza hata hataki kufuatilia habari za vyombo maarufu vya habari Duniani mshamba kweli hajui kwamba VoA ndio wameripoti
Kwa ustaarabu wa uandishi, kama wewe si mwandishi hiyo habari, unapoiwakilisha kwenye kadamnasi kama hii; “acknowledge” chanzo chako.
 
Halafu kuna wajinga bongo wanataka lockdown?
A growing number of protests are being staged across the U.S. to oppose stay-at-home orders amid the coronavirus pandemic. In places like Oklahoma, Texas and Virginia, small-government groups, supporters of President Donald Trump, anti-vaccine advocates and others have united behind a deep suspicion of efforts to shut down daily life to slow the spread of the coronavirus. As their frustration grows, they've started to openly defy the social distancing rules to put pressure on governors to ease them. Some of the protests have been small events, promoted via recently created Facebook groups. Others are backed by groups with ties to Trump.

While many Americans are filled with fear, Melissa Ackison says the coronavirus pandemic has filled her with anger. The stay-at home orders are government overreach, the conservative Ohio state Senate candidate says, and the labeling of some workers as “essential” arbitrary.

“It enrages something inside of you,” said Ackison, who was among those who protested Republican Gov. Mike DeWine's orders at the statehouse in Columbus with her 10-year-old son. She has “no fear whatsoever” of contracting the virus, she said Thursday, dismissing it as hype.

The Ohio protest was among a growing number staged outside governors' mansions and state Capitols across the country. In places like Oklahoma, Texas and Virginia, small-government groups, supporters of President Donald Trump, anti-vaccine advocates, gun rights backers and supporters of right-wing causes have united behind a deep suspicion of efforts to shut down daily life to slow the spread of the coronavirus. As their frustration with life under lockdown grows, they've started to openly defy the social distancing rules in an effort to put pressure on governors to ease them.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WEka Karantini hao jamaa..., alafu watu wanashangaa kwanini America maambukizi yanazidi kuwa Lukuki (jibu ni watu wenye akili za hivi ndio wamejaa huko)


Tatizo watu hao hawajazoea kubambikiziwa kesi na kuswekwa ndani kama wa TZ
 
Arrogance itaitekeza US. Utii unatoa matokeo Spain.
 
WEka Karantini hao jamaa..., alafu watu wanashangaa kwanini America maambukizi yanazidi kuwa Lukuki (jibu ni watu wenye akili za hivi ndio wamejaa huko)

Jamaa wamegoma tena ni wakali haswa
Kuna mama mmoja nimemahangaa sana anasema hajatengeneza nywele zake mawiki seriously [emoji19]
Sijui na wanawake huwa wanakwama wapi



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Ndiyo maana gonjwa hili limepamba moto sana Marekani.

Uvumilivu umewashinda wameamua kutoka kama nyoka aliemwagiwa mafuta kwenye shimo
Hawa jamaa wajinga sana na hapo ndio wanazidi kuambukizana


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
NILISEMA humu.
tusije kuiga vitu ambavyo hatuna uwezo navyo..
Kuweka watu ndani na kuwalisha SIO KAZI NDOGO.
Tena wengine wametoka na bunduki kabisa liwalo na liwe
Lockdown kiboko ila sisi huku ni kuuchapa tu View attachment 1423239


Sent from my iPhone using Tapatalk

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Back
Top Bottom