USA PROTESTERS: We don't need more Lockdowns its better to be contracted with SARS-CoV-2 than Lockdown

USA PROTESTERS: We don't need more Lockdowns its better to be contracted with SARS-CoV-2 than Lockdown

Sijui wanataka nini hawa watu[emoji1313][emoji1313]

Wamarekani waandamana baada ya kuchoshwa na kukaa majumbani
Apr 19, 2020 07:47 UTC
Mamia ya wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika miji na majimbo kadhaa kushinikiza kuondolewa kwa agizo la kuwataka wasalie majumbani mwao, kama njia ya kudhibiti maambukizi ya virusi vya Corona.
Mamia ya wananchi wa Marekani waliochoshwa na agizo hilo la kutotoka nje wameandamana katika mji wa Concord jimbo la New Hampshire, Annapolis, na Texas.
Maandamano kama haya ya kutaka kuondolewa vikwazo vya kutoka nje kwa ajili ya kuzuia maambukizo ya virusi vya Corona nchini Marekani yalishuhudiwa siku chache zilizopita pia katika majimbo ya Minnesota, Michigan na Virginia.
Duru za habari zinaarifu kuwa, akthari ya walioshiriki maandamano hayo baadhi yao wakiwa wamebeba silaha za moto ni wafuasi wa chama tawala cha Republican. Rais Donald Trump amekuwa akivutana na magavana wa majimbo ya Marekani kuhusu suala la kufungua uchumi na shughuli za kila siku za nchi hiyo.
Magavana na watalaamu wa afya wa Marekani wamekuwa wakipiga azma ya Trump ya kuondolewa haraka iwezekanavyo vizingiti vya kiuchumi na kijamii, akiwa na lengo la kufanya kampeni za kutaka kuchaguliwa tena katika uchaguzi mkuu wa Novemba mwaka huu.
Hii ni katika hali ambayo, idadi ya watu waliombukizwa virusi vya Corona nchini Marekani imepindukia 740,000 huku zaidi ya 38,000 wakiaga dunia kwa ugonjwa huo na kuifanya nchi hiyo kuwa ndio iliyoathiriwa zaidi na virusi hivyo duniani.
Maandamano mengine yameshuhudiwa mjini New York, ambapo waandamanaji wamemwaga mifuko ya plastiki ya kufunga maiti nje ya Hoteli ya Trump, kulalamikia namna serikali yake imeshughulikia vibaya janga la Corona.

My take:Hilo bango lina ujumbe fulani hivi ambao kama nimeulewa hivi[emoji1313]View attachment 1423717

Sent using Jamii Forums mobile app
Source:: jambo limezua jambo aisee
Huu ugonjwa kuidhibiti ilitakiwa kila nchi ifunge mipaka hapo awali.
 
Viongozi wa nchi wanatakiwa wajifunze kidunia sasa,mstakabari wa dunia yetu upo mikononi mwetu.
 
Sijui wanataka nini hawa watu[emoji1313][emoji1313]

Wamarekani waandamana baada ya kuchoshwa na kukaa majumbani
Apr 19, 2020 07:47 UTC
Mamia ya wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika miji na majimbo kadhaa kushinikiza kuondolewa kwa agizo la kuwataka wasalie majumbani mwao, kama njia ya kudhibiti maambukizi ya virusi vya Corona.
Mamia ya wananchi wa Marekani waliochoshwa na agizo hilo la kutotoka nje wameandamana katika mji wa Concord jimbo la New Hampshire, Annapolis, na Texas.
Maandamano kama haya ya kutaka kuondolewa vikwazo vya kutoka nje kwa ajili ya kuzuia maambukizo ya virusi vya Corona nchini Marekani yalishuhudiwa siku chache zilizopita pia katika majimbo ya Minnesota, Michigan na Virginia.
Duru za habari zinaarifu kuwa, akthari ya walioshiriki maandamano hayo baadhi yao wakiwa wamebeba silaha za moto ni wafuasi wa chama tawala cha Republican. Rais Donald Trump amekuwa akivutana na magavana wa majimbo ya Marekani kuhusu suala la kufungua uchumi na shughuli za kila siku za nchi hiyo.
Magavana na watalaamu wa afya wa Marekani wamekuwa wakipiga azma ya Trump ya kuondolewa haraka iwezekanavyo vizingiti vya kiuchumi na kijamii, akiwa na lengo la kufanya kampeni za kutaka kuchaguliwa tena katika uchaguzi mkuu wa Novemba mwaka huu.
Hii ni katika hali ambayo, idadi ya watu waliombukizwa virusi vya Corona nchini Marekani imepindukia 740,000 huku zaidi ya 38,000 wakiaga dunia kwa ugonjwa huo na kuifanya nchi hiyo kuwa ndio iliyoathiriwa zaidi na virusi hivyo duniani.
Maandamano mengine yameshuhudiwa mjini New York, ambapo waandamanaji wamemwaga mifuko ya plastiki ya kufunga maiti nje ya Hoteli ya Trump, kulalamikia namna serikali yake imeshughulikia vibaya janga la Corona.

My take:Hilo bango lina ujumbe fulani hivi ambao kama nimeulewa hivi[emoji1313]View attachment 1423717

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ni ultra religious na right wing fanatics wanaohamasishwa na wanaomshabikia Trump.

Hii itawapa wale wanaomshabikia Trump fursa mpya ya kumpima kama anafaa kwa nafasi ya uraisi wa nchi kama marekani. Ukizingatia kuwa tayari kwa kejeli zake na maamuzi ya kupuuzia ushauri wa wataalam ameliingiza taifa hilo kwenye maafa yasiyosahaulika.
 
Marekani imeanza kufunguka Jana,Trump anataka isiwepo lockdown,magavana wanakataa,so wamekubaliana kufungua kwa awamu,wao wanategemea peak ya ugonjwa itakuwa may Kisha curve itaanza kuwa flat au kushuka chini,kwa maana watu wengi watakuwa wamejenga immunity,
Kwa hiyo kwasasa wanategemea wimbi jipya la maambukizi juu ya kuwa wanasitisha lockdown,
Idadi ya vifo Sasa inapanda kasi Sana Hadi kufikia katikati ya wiki watagonga 50,000
 
Hao ni ultra religious na right wing fanatics wanaohamasishwa na wanaomshabikia Trump.

Hii itawapa wale wanaomshabikia Trump fursa mpya ya kumpima kama anafaa kwa nafasi ya uraisi wa nchi kama marekani. Ukizingatia kuwa tayari kwa kejeli zake na maamuzi ya kupuuzia ushauri wa wataalam ameliingiza taifa hilo kwenye maafa yasiyosahaulika.

That’s it. Trump baada ya kukubali hana mamlaka ya kikatiba kuzuia lockdown, ameamua kuwatumia manazi wake hamnazo waandamane kushinikiza magavana waruhusu shughuli ziendelee kama kawaida. Kanisa linatumika kikamilifu kuendeleza hoja ya COVID 19 kulinganishwa na “mpinga kristo”. Trump ana bahati sana kushabikiwa na wazungu wenye imani kali ya ukristo.

Inaelekea aliyeleta bandiko hili kwa raha zake hajui kuwa hao wanaoandamana mwafrika kwao ni nyani na wameshikamana na Trump katika harakati za kufuta nyayo za Obama na kuirejesha US kwa utawala wa weupe (MAGA).
 
Chanzo cha habari:
Anti-lockdown crowd in Texas chants 'fire Fauci' and rally organizer in New Jersey is ARRESTED for violating stay-at-home orders as thousands ignore social distancing to protest stay-at-home orders
  • Protestors chanted 'fire Fauci' at a coronavirus lockdown rally in Austin, Texas, on Saturday
  • They were referring to Dr. Anthony Fauci, the country's top immunologist and infectious disease expert
  • Kim Pagan, of Toms River, New Jersey, was arrested for organizing the anti-lockdown rally in Trenton
  • Gov. Phil Murphy first implemented the coronavirus emergency orders last month
  • Several COVID-19 anti-lockdown protests were held by upset citizens around the United States on Friday
  • Protests happened in places like New Hampshire, Maryland, Oregon and New Jersey
  • President Trump doubled down on his tweets to 'LIBERATE' Minnesota, Michigan and Virginia
  • He told reporters at Friday's White House briefing that the Democratic governors in those three states could have gotten the same result with less restrictions
  • Trump also said the protesters, many of whom were Trump supporters, were 'treated a little bit rou
View attachment 1423053
Protestors in Austin, Texas, screamed 'fire Fauci' in a targeted chant against Dr. Anthony Fauci, the country's top immunologist and infectious disease expert
Chanzo:
Tunataka lockdown hapa Tz. Tuataka lockdown.
Walisikika wale jamaa.
 
That’s it. Trump baada ya kukubali hana mamlaka ya kikatiba kuzuia lockdown, ameamua kuwatumia manazi wake hamnazo waandamane kushinikiza magavana waruhusu shughuli ziendelee kama kawaida. Kanisa linatumika kikamilifu kuendeleza hoja ya COVID 19 kulinganishwa na “mpinga kristo”. Trump ana bahati sana kushabikiwa na wazungu wenye imani kali ya ukristo.

Inaelekea aliyeleta bandiko hili kwa raha zake hajui kuwa hao wanaoandamana mwafrika kwao ni nyani na wameshikamana na Trump katika harakati za kufuta nyayo za Obama na kuirejesha US kwa utawala wa weupe (MAGA).
Umeandika ujinga mtupu.
 
Chanzo cha habari:
Anti-lockdown crowd in Texas chants 'fire Fauci' and rally organizer in New Jersey is ARRESTED for violating stay-at-home orders as thousands ignore social distancing to protest stay-at-home orders
  • Protestors chanted 'fire Fauci' at a coronavirus lockdown rally in Austin, Texas, on Saturday
  • They were referring to Dr. Anthony Fauci, the country's top immunologist and infectious disease expert
  • Kim Pagan, of Toms River, New Jersey, was arrested for organizing the anti-lockdown rally in Trenton
  • Gov. Phil Murphy first implemented the coronavirus emergency orders last month
  • Several COVID-19 anti-lockdown protests were held by upset citizens around the United States on Friday
  • Protests happened in places like New Hampshire, Maryland, Oregon and New Jersey
  • President Trump doubled down on his tweets to 'LIBERATE' Minnesota, Michigan and Virginia
  • He told reporters at Friday's White House briefing that the Democratic governors in those three states could have gotten the same result with less restrictions
  • Trump also said the protesters, many of whom were Trump supporters, were 'treated a little bit rou
View attachment 1423053
Protestors in Austin, Texas, screamed 'fire Fauci' in a targeted chant against Dr. Anthony Fauci, the country's top immunologist and infectious disease expert
Chanzo:

Ukizijua siasa za US huwezi kuhangaika na hii kitu. Halafu gazeti lenyewe Daily Mail la UK.
 
WEka Karantini hao jamaa..., alafu watu wanashangaa kwanini America maambukizi yanazidi kuwa Lukuki (jibu ni watu wenye akili za hivi ndio wamejaa huko)
Ila inayoongoza kwa maambukizi ni Nee York ikituatiwa na california. Michigan na texas hazina waathirika kama hao wa awali.
 
Back
Top Bottom