USA PROTESTERS: We don't need more Lockdowns its better to be contracted with SARS-CoV-2 than Lockdown

USA PROTESTERS: We don't need more Lockdowns its better to be contracted with SARS-CoV-2 than Lockdown

Sasa wewe utawaweka ndani watu milioni 300+ wamarekani ndani UTAWALISHA NINI?.
na hapo kaa ukijua lockdown sio dawa ya corona..
Lock down ni mateso ZAIDI YA CORONA YENYEWE.
WEka Karantini hao jamaa..., alafu watu wanashangaa kwanini America maambukizi yanazidi kuwa Lukuki (jibu ni watu wenye akili za hivi ndio wamejaa huko)

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Sasa wewe utawaweka ndani watu milioni 300+ wamarekani ndani UTAWALISHA NINI?.
na hapo kaa ukijua lockdown sio dawa ya corona..
Lock down ni mateso ZAIDI YA CORONA YENYEWE.

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Duh kuweni mnafuatilia habari unadhani hao wanalalamika sababu wamekosa chakula au sababu ya kuwa bored na kukosa uhuru wao ?, little do they know kufanya kwao hivyo kunaweza kuleta wave nyingine ya maambukizi ambayo yatafanya muda wa kukaa ndani kuongezwa..., Lockdown inapunguza maambukizi kwa watu wengi kwa wakati mmoja hivyo kupelekea taasisi kushindwa kuhimili
 
NILISEMA humu.
tusije kuiga vitu ambavyo hatuna uwezo navyo..
Kuweka watu ndani na kuwalisha SIO KAZI NDOGO.

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"

Zipo njia nyingi za kuanza nazo ila kuwafungia kabisa wengi watakufa kwa njaa
USA na Italy wengi sana wamekufa kwa njaa wakiwa wanaugua ndani huo ni ukweli
Lakini lockdowns imepunguza vifo kiasi na social distancing inasaidia sana
Kwa kuwa hili gonjwa ni jipya kuiga baadhi ya mambo na kuangalia wenzetu wamefanikiwa wapi na wamekosea wapi ni muhimu
Kuwafungia watu bila malipo ni ngumu sana hata kama ni mwezi mmoja tu
Professor wa masuala ya Afya duniani kutoka Imperial college msome hapa
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Duh kuweni mnafuatilia habari unadhani hao wanalalamika sababu wamekosa chakula au sababu ya kuwa bored na kukosa uhuru wao ?, little do they know kufanya kwao hivyo kunaweza kuleta wave nyingine ya maambukizi ambayo yatafanya muda wa kukaa ndani kuongezwa..., Lockdown inapunguza maambukizi kwa watu wengi kwa wakati mmoja hivyo kupelekea taasisi kushindwa kuhimili
Lockdown inakuja na vyote hivyo kukosa uhuru na NJAA PIA

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Kila nchi inatakiwa ipambane kadri inavyoona inafaa.KUIGA NI KUBAYA..
sisi tumeamua hakuna lock down NA ni wazi raia wengi WASINGE PENDA KUWEKWA LOCKDOWN NA WANAOMBA WASIJE WAKAWEKWA.
Watanzania wengi kazi zao ni za kijungu jiko.
Kuna wa machinga, bodaboda, madereva wa baajaji,vibarua, mama ntilie mabaamedi n.k.
Hawa wote wanategemea wafanye kazi leo ndo wapate kula yao.
Unadhani wakikaa ndani nani atawalisha?
Zipo njia nyingi za kuanza nazo ila kuwafungia kabisa wengi watakufa kwa njaa
USA na Italy wengi sana wamekufa kwa njaa wakiwa wanaugua ndani huo ni ukweli
Lakini lockdowns imepunguza vifo kiasi na social distancing inasaidia sana
Kwa kuwa hili gonjwa ni jipya kuiga baadhi ya mambo na kuangalia wenzetu wamefanikiwa wapi na wamekosea wapi ni muhimu
Kuwafungia watu bila malipo ni ngumu sana hata kama ni mwezi mmoja tu
Professor wa masuala ya Afya duniani kutoka Imperial college msome hapa View attachment 1423386


Sent from my iPhone using Tapatalk

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Hivi unajua lockdown haina MWISHO..
maana kama corona itaendelea hata mwaka mzima Ina maana HAO WATU WATAENDELEA KUKAA NDANI MWAKA WOTE nani anaweza?.
SULUHISHO WATAFUTE DAWA NA CHANJO.
Lakini lockdown sio dawa
Duh kuweni mnafuatilia habari unadhani hao wanalalamika sababu wamekosa chakula au sababu ya kuwa bored na kukosa uhuru wao ?, little do they know kufanya kwao hivyo kunaweza kuleta wave nyingine ya maambukizi ambayo yatafanya muda wa kukaa ndani kuongezwa..., Lockdown inapunguza maambukizi kwa watu wengi kwa wakati mmoja hivyo kupelekea taasisi kushindwa kuhimili

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Hivi unajua lockdown haina MWISHO..
maana kama corona itaendelea hata mwaka mzima Ina maana HAO WATU WATAENDELEA KUKAA NDANI MWAKA WOTE nani anaweza?.
SULUHISHO WATAFUTE DAWA NA CHANJO.
Lakini lockdown sio dawa

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"

Huu ugonjwa au virus [emoji3083] hivi vitakuwepo kwa muda mrefu sana na hakuna guaranteed ya chanjo kusaidia bali tunaambiwa miili yetu itapambana tu
Lockdown ni ngumu sana asikuambie mtu
Huku nilipo kuna lockdown lakini chakula kipo kama kawaida mtu unatoka kwenda kununua na kurudi
Ila serikali inatoa hela inaitwa furlough pay kwa kulala na kulipwa
Huko haiwezekani
Chukueni tahadhari sana


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Pasi na chembe ya shaka Covid-19 ni ugonjwa hatari ila, kwa mawazo yangu, dunia nzima ime overact na jinsi ya kukabiliana na huu mlipuko.
Tatizo ni kuwa Covid-19 ni ziada ya magojwa mengine yanayo mpeleka mtu hospitalini. Mwaka jana mwezi huu hatukuwa na janga hili. Sasa japokuwa wagonjwa wa Covid-19 sio wengi kama wagonjwa wengine bado ni nyongeza.

Wanachoogopa ni ugonjwa huu kusambaa na kusababisha vituo vya afya kuzidiwa. Na hii itasababisha wagonjwa wengine (wa kupigwa risasi, TB, kujifungua, moyo n.k) kushindwa kupata huduma na hivyo kuweza kufa, kimasihara.
 
Dah!...wabishi hawakosekani popote pale.
 
Tatizo ni kuwa Covid-19 ni ziada ya magojwa mengine yanayo mpeleka mtu hospitalini. Mwaka jana mwezi huu hatukuwa na janga hili. Sasa japokuwa wagonjwa wa Covid-19 sio wengi kama wagonjwa wengine bado ni nyongeza.

Wanachoogopa ni ugonjwa huu kusambaa na kusababisha vituo vya afya kuzidiwa. Na hii itasababisha wagonjwa wengine (wa kupigwa risasi, TB, kujifungua, moyo n.k) kushindwa kupata huduma na hivyo kuweza kufa, kimasihara.

Wekeza nguvu kwenye hayo magonjwa mengine na huduma zingine. Kinachoendelea sasa ni kana kwamba ugonjwa ni corona tu mengine yote hayapo na as though watu walikuahawafariki kabla ya hapo
 
Wekeza nguvu kwenye hayo magonjwa mengine na huduma zingine. Kinachoendelea sasa ni kana kwamba ugonjwa ni corona tu mengine yote hayapo na as though watu walikuahawafariki kabla ya hapo
Hayo magonjwa mengine teyari yanatiba, hili bado halijulikana vizuri.
 
Kwa hili la lockdown JPM nampongeza dunia yote wanarudi kwenye mawazo yake ya kuto fanya hilo la lock down.

Tumeshuhudia mengi sana kwenye nchibwazilo iga lockdown wanavyotapa tapa.

HONGERA SANA RAIS WANGU,HONGERA SANA WASHAURI ILA KWENYE KUFICHA KIWANGO CHA maambukizi haisaidii kitu kwani utalii dunia nzima umesimama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao jamaa wanaandamana na mitutu mabegani,kweli lockdown si mchezo!
 
Coronavirus is a passing cloud it will vanish the way it emerged. Historically, the pandemics don't linger for much longer.

Since the virus started operating late last year it's certain that most people have developed some immunity and that's why the fatality rate is far much lower than the survival and infection rate respectively.

After six months of the pandemic being reported in Wuhan, China the infection intensity is more likely to subside if not to vanish as the global climate patterns shift to the adverse disadvantage of the virus. Let us keep wait to see the development in the next few months.
 
Back
Top Bottom