USA PROTESTERS: We don't need more Lockdowns its better to be contracted with SARS-CoV-2 than Lockdown

Hili limeripotiwa kutokea huko nchini marekani, inadaiwa Waandamanaji wamejitokeza kupinga vikali hatua ya serikali kupiga marufuku raia wake kutoka nje ya nyumba zao katika kipindi hiki ili kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya Covid-19.

Waandamanaji hao wanadai kuwa kufungiwa ndani (Lockdown) ni tishio kwa Uchumi wao Imara na kwamba inaweza kuwa sababu ya kupelekea anguko lingine la Uchumi, hivyo wanaitaka serikali kuachana na mpango huo haraka na kutengua uamuzi huo ili kunusuru Uchumi wa taifa hilo.

Ni nini maoni yako kwa hatua hii inayo chukuliwa na wamarekani?Je nchi zetu za kiafrica zipo tayari kupambana na madhara ya kiuchumi yatakayo tokea baada ya Total Lockdown?

Chanzo; BBC Swahili.
 
Leta picha tujionee wenyewe acha mambo ya oral traditions wakati huu wa advanced technology
 
Ni nini maoni yako kwa hatua hii inayo chukuliwa na wamarekani?Je nchi zetu za kiafrica zipo tayari kupambana na madhara ya kiuchumi yatakayo tokea baada ya Total Lockdown?
Fuatilia uone ni Wamarekani wa aina gani, na baada ya muda mfupi utagundua ni Wamarekani ambao kwa Tanzania ni kama misukule ya Lumumba ambayo ipo tayari kuunga mkono kila kitu kutoka Lumumba na Magogoni!!
 
Fuatilia uone ni Wamarekani wa aina gani, na baada ya muda mfupi utagundua ni Wamarekani ambao kwa Tanzania ni kama misukule ya Lumumba ambayo ipo tayari kuunga mkono kila kitu kutoka Lumumba na Magogoni!!
Mkuu samahani, naona umeathiliwa sana na huo Ulumumba na Ubavicha mkuu.
 
Mkuu samahani, naona umeathiliwa sana na huo Ulumumba na Ubavicha mkuu.
Look at you... nimekuambia fuatilia uone ni nani wanaotaka iondolewe hiyo lockdown!!

Kwa mfano, jana tu hapa Wall Street Journal na NBC wametoa matokeo ya polls ambayo heading inasema:-

More Americans Fear Lifting Coronavirus Restrictions Too Soon, WSJ/NBC Poll Says

Nearly 60% of respondents worry that lifting stay-at-home orders quickly will fuel the pandemic



Na hapo juu unaona mwenyewe... wakati karibu 60% ya Dems na Independent wana hofu restrictions kuondolewa mapema, ni less than 50% ya Reps ndio wenye hiyo hofu!!!

The question is: Hawana hofu au kwa sababu Trump ndie anapigia chapuo suala la stay at home kuondolewa?!
 

Hawa watu wakati mwingine akili zao matope kabisa, wengi wana adamana wameshikilia mitutu ya bunduki eansdahau kabida kuvaa face masks ambazo zina uwezo mkubwa wa kunusuru/linda maisha yao - kazi kuwaza vita masaa yote - we unafikiri siku hiyo ni Wamerika wangapi wali hambukizwa corona kwenye maadamano kama hayo pichani
 
Kwani wahuni wa ufipa wanasemaje kuhusu hili
 
SI MLIKUWA MKIWASIFIA WADHUNGU KWAMBA NI WATU WAELEWA SANA? ANGALIENI HIYO NYOMI BILA KUJALI SOSHO SISTENSI HAHAHAHAHAHA. NA NDIO UNAAMBIWA HAO NDIO BINADABU WALIOTESWA SAID NA VIFO VYA KORONA LAKN BADO WANAKUSANYIKA NA KILA MTU KUTOA KELELE WAKAT UNAAMBIA KUONGEA KWA SAUT KUBWA TU KUNATOKA KURUSHA HEWANI VIJIDUDU VYA BWANA KOVID !!
 
Aisee... Hivi akili zenu mmepeleka wapi?

Yani ili tu lengo lako la hoja ya lock down kwa tz lionekane lina maana?
Fuatilia uone ni Wamarekani wa aina gani, na baada ya muda mfupi utagundua ni Wamarekani ambao kwa Tanzania ni kama misukule ya Lumumba ambayo ipo tayari kuunga mkono kila kitu kutoka Lumumba na Magogoni!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni magazeti mengi tu yameripoti kuhusu hayo maandamano. Usijifanye mjuaji sana. Kwa kifupi huna lolote ulijualo.

Nimeishi UK miaka mingi na ni mwenyeji sana wa siasa zake na media zake. US vile vile. Mimi sio kijana btw. Sio kila unayempayukia hapa ni mwenzako.
 
Nimeishi UK miaka mingi na ni mwenyeji sana wa siasa zake na media zake. US vile vile. Mimi sio kijana btw. Sio kila unayempayukia hapa ni mwenzako.
Sasa yaani wewe limbukeni kuishi UK ndio nini. Unataka kumtambia nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…