Hujaelewa lengo la Aircraft carrier, we ni umeshiba ugaliAircraft carrier is useless now days. Or it's depends you are engege war with who otherwise useless. Aircraft carrier only works in very poor countries
Now if you have got missile capability, you have got everything
Nipo kwenye madaJikite kwenye mada husika
Mbona Urusi hayatumii Ukraine?bado hakuna measures za kuzuia hypersonic missile...............ndo maana nikasema hilo dude inategemea unaenda kupigana na nani,,,,,,,.......ukienda kwa mchina au mrusi wanaweza kulizamisha
Makombora ya chini ya maji kushambulia manowari za kubebea ndege inakua ngumu sababu manowari za kubebea ndege zinatembea na groups combination za nyambizi na manowari ndogo ndogo na zote zinabeba mabomu ya hypersonic na nyukilia....especially nyambizi za USSR USA na NATO!!!!!Hayo madude Inategemea nchi unayopigana nayo.... Wao wenyewe wameshajua hizo zinakua ni easy targets na hasara inakua kubwa kama unapigana na mtu mwenye makombora ya hypersonic...... Mchina katengeneza kamikaze drone la chini ya maji kwa ajili ya hayo madude
Na ndio huja yangu iko hapo mzee yaani kila mtu aliona athari ya kuekwa nyuklia ndio maana wakakubalianaNakusoma Mkuu ila Kwa hii hoja naona kama unafeli. Wewe wazijua nuclear weapons na madhara yake. Na hakuna taifa linataka liyapate na hiyo yaweza kuwa ni Moja ya sababu urusi inapigana pale Ukraine.
Pale Cuba kama lingekuwa ni suala la kushinda vita basi marekani wange sacrifice raia wake katika miji Ile iliyokuwa target halafu wangeshambulia Cuba with no mercy na kushinda.
Halafu pia hata ussr isingekuwa salama na nuclear missiles za pale ulaya.
Kama unasema angeruhusu Cuba awe nazo nuclear ili aoneshe u superpower wake,unadhani Kwa nini urusi aliziondoa pale Ukrain baada ya ussr kuvunjika???
Hivyo kuhusu hapo cuba,naweza sema walichagua amani dhidi ya madhara ya silaha za nuclear ambayo wangepata hata kama wangeshinda.
Kwahio israhell anasilaha ama anaigiza????Wote wanaoshabikia urusi, China , Iran , sjui North Korea , mostly they know nothing about war , huwa ni ushabiki wa kusoma silaha zilizoainishwa sifa zake na kuwekwa gharani , basi ndo huwa wanatamba nazo , Vita inatakiwa uingie front ndo ujue Una silaha au unajidanganya, Vita sio mchezo wa kuingiza
Nieleweshe basi kama wewe umeelewa lengoHujaelewa lengo la Aircraft carrier, we ni umeshiba ugali
Ni rahisi sana kuongea mkuuWatu wanachukulia US wajinga kumiliki hizo mashine.
Upuuzi! Unavyoona dunia ni sehemu salama?Sio rahisi.....
USA amewekeza sana vichwani...kuna watu hawakali ili dunia iwe salama..
Mkuu kweli unaita aircrafts career mitumbwi???Subs zipo secured sana sio kama hio mitumbwi
Na hata hizo sub zenyewe kwa vita yakisasa navyo hatari pia
Maana ije ipigwe chuma huko chini izamishwe sub yenye watu zaidi ya mia tano kwakwel ni msiba mkubwa
Hayo mameli yana maana sana ukipigana ama ukiwa unawapiga watoto ila watu wazima bora utulie kwako kume mwapigana tu kwa ma ICBM
Mie hata kutengeneza manati siwezi hizo drone nimetengeza mie nanani kijanaWe endelea kupiga Domo hapo wakati vidrone na ant ship zenu zikishushwa na Superpower.
View: https://youtu.be/y46qbLFAlVY?si=-frIefGkNc5uAMF7
Umeongeza uongo....weka details na aina za kombora....Kwenye military Urusi ni kiboko amerusha kombora/drone limeenda hadi poland kwenye Kambi za Jeshi za NATO, Air Defense za NATO zikashindwa kutambua na kuidungua vilevile, halafu likageuza safari kurudi kushambulia Ukraine. Hiyo cha Mtoto; nyingine kapeleka drones Ujerumani zinazunguka kwenye anga la Kambi za Jeshi za Mafunzo ya Wanajeshi wa Ukraine huko Ujerumani. Wakitaka kuzitungua wanashindwa. Mpaka sasa Wajerumani wamechanganyiwa namna ya kudeal na hizo drones.
Kwanini usiwaambie ujerumani warushe jiwe pale kaliningrad😀Ndugu zako mpaka Leo bado wanaiota Alaska. Wajaribu kurusha hata Kokoto waone cha mtema kuni
View: https://youtu.be/XF5PCtM7b2E?si=Ic2vl-6-vtvzQ74X
Nlijua za Russia kumbe za houthi 😀Kwahiyo ww una akili kuliko China, US, India na Russia wanaotengeneza hizo carrier?!
Carrier kazi yake ni kubeba ndege ulinzi ni kazi ya destroyers, Cruisers, sub na fighter jets.
View: https://youtu.be/y46qbLFAlVY?si=WyCS2RoKf1Uge6sTLeo hii drone 18 na Ant ship ballistic missiles za Houthi zimeshushwa na US Navy.
Kuungwa mkono ndio nini kama kuungwa mkono hata israhell inaungwa mkono na marekani na wanatengeneza silaha wenyeweWe jamaa kweli hamnazo, unauliza kabisa Houthi wana silaha gani?!
Houthi inaungwa mkono na Iran na Ina kila aina ya silaha kuanzia long range Ballistic missiles, cruise missiles,air defenses mpaka fighter jets.
Angalia military parade Yao hapo chini
View: https://youtu.be/emZffRVU5PY?si=XE4s-2N7d0za7OKu
Unadhani Houthi ni Hamas au Hezbollah?!
View: https://youtu.be/6E7wuKs7bVU?si=xHcSxyxSIhdmJaml
Mkuu hv unadhani wewe unajua kuliko mainjinia wa kirusi na kimarekani na kichina...na kijapani????bado hakuna measures za kuzuia hypersonic missile...............ndo maana nikasema hilo dude inategemea unaenda kupigana na nani,,,,,,,.......ukienda kwa mchina au mrusi wanaweza kulizamisha
Dogo mambo yanabadilika sana, acha tabia ya kukaririri, aircraft carrier zilikuwa dili zamani za kale. Watu sasahivi wanawekeza ktk technology ya missiles kwani ndiko kwenye mshono. Achana na zilipendwaMkuu kweli unaita aircrafts career mitumbwi???
Na unajua ocean fleet zake mpangilio upoje na ni combination ya vitu vipi na vipi?????
KAMA HUJUI OMBA WAJUZI WA MAMBO YA KIJESHI WAKUELEWESHE.......UTACHEKWA NA KUONEKANA KITUKO
Sasa hilo swali waulize washirika wa Putin wanaotaka Russia iirudishe, Marekani hana anachokitaka toka Urusi.
Hashangai hata kamikaze zimekua mali sanaDogo mambo yanabadilika sana, acha tabia ya kukaririri, aircraft carrier zilikuwa dili zamani za kale. Watu sasahivi wanawekeza ktk technology ya missiles kwani ndiko kwenye mshono. Achana na zilipendwa
Kwahiyo wewe unajua kuliko mainjinia wa urusi na wamarekani ambao wana mifumo mipya ya ocean fleet's.Dogo mambo yanabadilika sana, acha tabia ya kukaririri, aircraft carrier zilikuwa dili zamani za kale. Watu sasahivi wanawekeza ktk technology ya missiles kwani ndiko kwenye mshono. Achana na zilipendwa