USA vs China Aircraft carrier

USA vs China Aircraft carrier

Hashangai hata kamikaze zimekua mali sana
Yaani mzigo wa dola 200 unaharibu mzigo wa dila billion nyingi na roho za watu telee
Hv wakuu mnajua mfumo wa ocean fleet's na mpangilio wake wa manowari za kubeba ndege mpaka visindikizi vyake????
Au nyinyi mnajua zaidi kuliko mainjinia wa kirusi na kimarekani waliozindua manowari mpya mwaka jana???.
TATIZO LENU MNAONGEA KISHABIKI ILA SIO KITAALAMU.
 
Kwahiyo wewe unajua kuliko mainjinia wa urusi na wamarekani ambao wana mifumo mipya ya ocean fleet's.
Na wachina wanaokopi kila siku.
NB: AU WEWE UNAONA WAJINGA URUSI NA MAREKANI NA CHINA KUZINDUA AIRCRAFT CARRIER MPYA MWAKA JANA..
AFU MKUU UTACHEKWA HV HUJUI MISSILE'S ZINABEBWA NDANI MFUMO WA OCEAN FLEET'S KWA AJILI YA AIR TO AIR....AIR TO GROUND.....OCEAN TO AIR.....OCEAN TO DEEP WATERS....OCEAN TO GROUND ATTACKS?????
AU HUJUI OCEAN FLEET'S NI NINI KIJESHI???
Acha ujinga. Aircrafts zinakuwa easily targeted unapokutana na jeshi bora. Ujiulizi kwanini USA hakuzipeleka Ukraine lakini faster faster akazipeleka Gaza?
 
AFU MKUU UTACHEKWA HV HUJUI MISSILE'S ZINABEBWA NDANI MFUMO WA OCEAN FLEET'S KWA AJILI YA AIR TO AIR....AIR TO GROUND.....OCEAN TO AIR.....OCEAN TO DEEP WATERS....OCEAN TO GROUND ATTACKS?????
Hayo unayoyaeleza inakuwa safe yakifanyika kwenye submarine kuliko kwenye aircraft
 
Marekani hajawahi kupigana vita na taifa kubwa tofauti na japan kwahiyo hakuna kipimo Cha usupa power, Nchi pekee iliyopimwa Kwa nguvu za kijeshi na teknolijia ni Urusi ambaye amesimama mbele ya NATO. hayo ma meli ni mazuri kumtishia mwarabu. Kule bahari ya china hapawezi , wachina wanakuja juu Kwa kasi ya ajabu.
Kikubwa hayo mameli yanatumika zaidi Kwa vita vya mbali kwaajili ya usafiri wa ndege vita
Umeongea kishabiki sababu una hisia negative na NATO......Sio kitaalamu.....
Unajua maana kwanza ya ocean fleet's na kombainia zake za kijeeshi baharini..zinazozinduliwa kila siku na warusi na wamarekani???
NB: USSSR NA USA ZOTE ZIPO JUU KWA TECHNOLOGY YA KIJESHI....NA HAZIJAWAHI KUPIGANA MOJA KWA MOJA EVEN NATO
NA LINI USSR IMEPIGANA KIJESHI NA NCHI NYINGINE ZAIDI YA JAPAN NA GERMANY NA GEORGIA NA AFGHANISTAN NA UKRAINE KWA UCHACHE......???
MAREKANI ILIPOKUA KWENYE VITA URUSI ILITOA MISAADA KWA WAPINZANI.
URUSI ILIPOKUA KWENYE VITA MAREKANI IKITOA MISAADA KWA WAPINZANI.
 
Acha ujinga. Aircrafts zinakuwa easily targeted unapokutana na jeshi bora. Ujiulizi kwanini USA hakuzipeleka Ukraine lakini faster faster akazipeleka Gaza?
UNAJUA MAANA YA OCEAN FLEET'S NA UMUHIMU WAKE AU UNAONGEA TU???
KAMA HUJUI WAULIZE WACHINA NA WARUSI NA WAMAREKANI....AMBAO NDIO MAJESHI BORA NA WANAZIZINDUA KILA SIKU???
 
Hayo unayoyaeleza inakuwa safe yakifanyika kwenye submarine kuliko kwenye aircraft
MKUU NIMEKUULIZA UNAJUA KOMBAINIA YA OCEAN FLEET'S AMBAYO KWA KAWAIDA INAONGOZWA NA AIRCRAFT CARRIER???
NA UNAJUA ROLE'S ZAKE NA TODAY ADVANCE HYPERSONIC MISSILES ZAKE????
WAULIZE WARUSI WACHINA NA WAMAREKANI...
 
China hajawahi kuacha kelele kule hizo porojo zako tu

Uchina kabeba maeneo ya bahari ya kila jirani yake kule baharini na hakuna meli ya Americant ilomfanya lolote lile

Sasa Americant c aondoe hizo ngarawa zake maana zimeshindwa kumlinda hata mshirika wake Philippines [emoji1198]
Unaongea kishabiki sababu ya chuki za USA ila hujui chochote kuhusu navy🤣🤣🤣
Unaita ocean fleet ngarawa 🤣🤣🤣🤣
 
Naona kaswali haka umekang'ang'ania sana. Haya mtaalam tueleze ocean fleets ni nini?
UKIWA NAVY SOLDIER UNAKUA UNAJUA UMUHIMU WA AIRCRAFT CARRIER NA MFUMO MZIMA WA OCEAN FLEET'S NA HUWEZI KUWABEZA WARUSI NA WAMAREKANI NA WACHINA......NA HIZO AIRCRAFT CARRIER ZAO WALIZOZINDUA MWAKA JANA....!!!
 
Hapana sijawakuza wala nini nimeongea ukweli pinga kwa hoja
Us alianzisha muungano wakukabiliana na houthi vipi muungano una maendeleo gani nipe mregesho wake unaendeleaje ama uliishia wapi
Mimi Nimekupa hoja us alivyoona houthi hawajaogopa maneno yake aliondoa meli zake huko ama hakuondoa
Nibishie kwa hoja kama mie nlivyokubishia kwahoja
Us alikua super power kwanza super power anatakiwa awe anajitosheleza sasa usuper power wa us una mashaka sana kwanza bila ya alliance hua hatoboi kama kuna sehem akiwahi pigana us kama super power mwenyewe akafikia lengo nitajie nitaleft jf kwa muda
Us kawakimbia houthi bisha kwa hoja ama houthi hawapo ama hawateki tena meli sasa bisha kama us hajawakimbia ama hawaogopi
Kwan Toka US atangaze kuunda muungano hivyo bikamanda uchwara vya Houth bimeteka au kulipua meli ngapi?
 
Back
Top Bottom