USA vs China Aircraft carrier

USA vs China Aircraft carrier

Aircraft carrier is useless now days. Or it's depends you are engege war with who otherwise useless. Aircraft carrier only works in very poor countries

Now if you have got missile capability, you have got everything
Hujaelewa lengo la Aircraft carrier, we ni umeshiba ugali
 
bado hakuna measures za kuzuia hypersonic missile...............ndo maana nikasema hilo dude inategemea unaenda kupigana na nani,,,,,,,.......ukienda kwa mchina au mrusi wanaweza kulizamisha
Mbona Urusi hayatumii Ukraine?
 
Hayo madude Inategemea nchi unayopigana nayo.... Wao wenyewe wameshajua hizo zinakua ni easy targets na hasara inakua kubwa kama unapigana na mtu mwenye makombora ya hypersonic...... Mchina katengeneza kamikaze drone la chini ya maji kwa ajili ya hayo madude
Makombora ya chini ya maji kushambulia manowari za kubebea ndege inakua ngumu sababu manowari za kubebea ndege zinatembea na groups combination za nyambizi na manowari ndogo ndogo na zote zinabeba mabomu ya hypersonic na nyukilia....especially nyambizi za USSR USA na NATO!!!!!
NDIO MAANA ZINAITWA FLEET'S SO NI NGUMU KUZISHAMBULIA LABDA MFUMO WA RADA UFE AU UIBWE NA ADUI....
NA ZINA RANGE YA KUKAA TOKA ILIPO POSITION YA ADUI....ILI ZITUMIKE KAMA VIWANJA VYA NDEGE BAHARINI NA MJI INAYOELEA.
 
Nakusoma Mkuu ila Kwa hii hoja naona kama unafeli. Wewe wazijua nuclear weapons na madhara yake. Na hakuna taifa linataka liyapate na hiyo yaweza kuwa ni Moja ya sababu urusi inapigana pale Ukraine.

Pale Cuba kama lingekuwa ni suala la kushinda vita basi marekani wange sacrifice raia wake katika miji Ile iliyokuwa target halafu wangeshambulia Cuba with no mercy na kushinda.

Halafu pia hata ussr isingekuwa salama na nuclear missiles za pale ulaya.

Kama unasema angeruhusu Cuba awe nazo nuclear ili aoneshe u superpower wake,unadhani Kwa nini urusi aliziondoa pale Ukrain baada ya ussr kuvunjika???

Hivyo kuhusu hapo cuba,naweza sema walichagua amani dhidi ya madhara ya silaha za nuclear ambayo wangepata hata kama wangeshinda.
Na ndio huja yangu iko hapo mzee yaani kila mtu aliona athari ya kuekwa nyuklia ndio maana wakakubaliana

Sababu hata ussr walokua wanakikataa nikama alokikataa us

Ishu hapa ilikua win win situation nisome tena utanielewa hoja yangu

Ishu inayoendelea ukraine nikama ilioepukwa na us pale cuba

Yaani us ingebidi baadae aje atumie gharama na nguvu kubwa dhidi ya cuba kama anavyozitumia sasa Russia dhidi ya ukraine

Na kama Cuba angepewa nyuklia angekaa kwa amani maana us asingethubutu kutia mguu kama anavyoruka kimanga pale korea kaskazini

Hata Russia anakifanya anachokifanya hapo ukraine kwasababu anajua nyuklia hazipo

Dunia hii yasasa ukiwa na kanyuklia chako hata kamoja kadogo kadogo wanaoweza kukumaliza niraia wako pekee ila nguvu kutoka nje hazithubutu

Nandio maana Belarus alipoeka tactical nyuklia pale kwake kwasasa anavimba tu anajua yupo salama kutoka nje labda raia wake pekeee
 
Wote wanaoshabikia urusi, China , Iran , sjui North Korea , mostly they know nothing about war , huwa ni ushabiki wa kusoma silaha zilizoainishwa sifa zake na kuwekwa gharani , basi ndo huwa wanatamba nazo , Vita inatakiwa uingie front ndo ujue Una silaha au unajidanganya, Vita sio mchezo wa kuingiza
Kwahio israhell anasilaha ama anaigiza????

Pia vita ina uwanja mpana sasa zaidi ya hio unayosema wewe

Unaweza kuingia front na iraq ukajiona una maguvu ila ukaja kuingia front na korea ukajiona kama hujui

Wewe kama huna ushabiki hongera mzee sababu hua husifii silaha kwa sababu zote ushaziona zikiwa field zio kuandikwa andikwa tuuuu
 
Subs zipo secured sana sio kama hio mitumbwi

Na hata hizo sub zenyewe kwa vita yakisasa navyo hatari pia

Maana ije ipigwe chuma huko chini izamishwe sub yenye watu zaidi ya mia tano kwakwel ni msiba mkubwa

Hayo mameli yana maana sana ukipigana ama ukiwa unawapiga watoto ila watu wazima bora utulie kwako kume mwapigana tu kwa ma ICBM
Mkuu kweli unaita aircrafts career mitumbwi???
Na unajua ocean fleet zake mpangilio upoje na ni combination ya vitu vipi na vipi?????
KAMA HUJUI OMBA WAJUZI WA MAMBO YA KIJESHI WAKUELEWESHE.......UTACHEKWA NA KUONEKANA KITUKO
 
Kwenye military Urusi ni kiboko amerusha kombora/drone limeenda hadi poland kwenye Kambi za Jeshi za NATO, Air Defense za NATO zikashindwa kutambua na kuidungua vilevile, halafu likageuza safari kurudi kushambulia Ukraine. Hiyo cha Mtoto; nyingine kapeleka drones Ujerumani zinazunguka kwenye anga la Kambi za Jeshi za Mafunzo ya Wanajeshi wa Ukraine huko Ujerumani. Wakitaka kuzitungua wanashindwa. Mpaka sasa Wajerumani wamechanganyiwa namna ya kudeal na hizo drones.
Umeongeza uongo....weka details na aina za kombora....
Na ulete maoni ya makamanda wa NATO waliokuwepo Poland...
Na ulete maoni ya brigade ya Urusi waliorusha hilo kombora...tuchambue kitaalamu hali halisi
 
We jamaa kweli hamnazo, unauliza kabisa Houthi wana silaha gani?!
Houthi inaungwa mkono na Iran na Ina kila aina ya silaha kuanzia long range Ballistic missiles, cruise missiles,air defenses mpaka fighter jets.

Angalia military parade Yao hapo chini

View: https://youtu.be/emZffRVU5PY?si=XE4s-2N7d0za7OKu

Unadhani Houthi ni Hamas au Hezbollah?!

View: https://youtu.be/6E7wuKs7bVU?si=xHcSxyxSIhdmJaml

Kuungwa mkono ndio nini kama kuungwa mkono hata israhell inaungwa mkono na marekani na wanatengeneza silaha wenyewe

Ila tunaona wanavyohenyeshwa na hao hamas
 
bado hakuna measures za kuzuia hypersonic missile...............ndo maana nikasema hilo dude inategemea unaenda kupigana na nani,,,,,,,.......ukienda kwa mchina au mrusi wanaweza kulizamisha
Mkuu hv unadhani wewe unajua kuliko mainjinia wa kirusi na kimarekani na kichina...na kijapani????
Hyperson missiles zinazuirika kabisa kupitia anti hypersonic missile....hasa hasa zinazotengenezwa urusi na marekani!!!
Hv kweli inaingia akilini kuita manowari za kubebea ndege baharinj DUDE......
AU HAMJUI MAANA YA OCEAN FLEET'S
 
Mkuu kweli unaita aircrafts career mitumbwi???
Na unajua ocean fleet zake mpangilio upoje na ni combination ya vitu vipi na vipi?????
KAMA HUJUI OMBA WAJUZI WA MAMBO YA KIJESHI WAKUELEWESHE.......UTACHEKWA NA KUONEKANA KITUKO
Dogo mambo yanabadilika sana, acha tabia ya kukaririri, aircraft carrier zilikuwa dili zamani za kale. Watu sasahivi wanawekeza ktk technology ya missiles kwani ndiko kwenye mshono. Achana na zilipendwa
 
TATIZO WENGI MNALETA USHABIKI NA HAMJUI LOLOTE KUHUSU MFUMO WA OCEAN FLEET'S MNADHANI WARUSI NA WAMAREKANI NA WACHINA NI WAJINGA KUA NA HIZO OCEAN FLEET'S...
NB: HV KWELI UNAITA AIRCRAFT CARRIER""DUDE""????
 
Sasa hilo swali waulize washirika wa Putin wanaotaka Russia iirudishe, Marekani hana anachokitaka toka Urusi.
Dogo mambo yanabadilika sana, acha tabia ya kukaririri, aircraft carrier zilikuwa dili zamani za kale. Watu sasahivi wanawekeza ktk technology ya missiles kwani ndiko kwenye mshono. Achana na zilipendwa
Hashangai hata kamikaze zimekua mali sana
Yaani mzigo wa dola 200 unaharibu mzigo wa dila billion nyingi na roho za watu telee
 
Dogo mambo yanabadilika sana, acha tabia ya kukaririri, aircraft carrier zilikuwa dili zamani za kale. Watu sasahivi wanawekeza ktk technology ya missiles kwani ndiko kwenye mshono. Achana na zilipendwa
Kwahiyo wewe unajua kuliko mainjinia wa urusi na wamarekani ambao wana mifumo mipya ya ocean fleet's.
Na wachina wanaokopi kila siku.
NB: AU WEWE UNAONA WAJINGA URUSI NA MAREKANI NA CHINA KUZINDUA AIRCRAFT CARRIER MPYA MWAKA JANA..
AFU MKUU UTACHEKWA HV HUJUI MISSILE'S ZINABEBWA NDANI MFUMO WA OCEAN FLEET'S KWA AJILI YA AIR TO AIR....AIR TO GROUND.....OCEAN TO AIR.....OCEAN TO DEEP WATERS....OCEAN TO GROUND ATTACKS?????
AU HUJUI OCEAN FLEET'S NI NINI KIJESHI???
 
Back
Top Bottom