Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Hv wakuu mnajua mfumo wa ocean fleet's na mpangilio wake wa manowari za kubeba ndege mpaka visindikizi vyake????Hashangai hata kamikaze zimekua mali sana
Yaani mzigo wa dola 200 unaharibu mzigo wa dila billion nyingi na roho za watu telee
Acha ujinga. Aircrafts zinakuwa easily targeted unapokutana na jeshi bora. Ujiulizi kwanini USA hakuzipeleka Ukraine lakini faster faster akazipeleka Gaza?Kwahiyo wewe unajua kuliko mainjinia wa urusi na wamarekani ambao wana mifumo mipya ya ocean fleet's.
Na wachina wanaokopi kila siku.
NB: AU WEWE UNAONA WAJINGA URUSI NA MAREKANI NA CHINA KUZINDUA AIRCRAFT CARRIER MPYA MWAKA JANA..
AFU MKUU UTACHEKWA HV HUJUI MISSILE'S ZINABEBWA NDANI MFUMO WA OCEAN FLEET'S KWA AJILI YA AIR TO AIR....AIR TO GROUND.....OCEAN TO AIR.....OCEAN TO DEEP WATERS....OCEAN TO GROUND ATTACKS?????
AU HUJUI OCEAN FLEET'S NI NINI KIJESHI???
Hayo unayoyaeleza inakuwa safe yakifanyika kwenye submarine kuliko kwenye aircraftAFU MKUU UTACHEKWA HV HUJUI MISSILE'S ZINABEBWA NDANI MFUMO WA OCEAN FLEET'S KWA AJILI YA AIR TO AIR....AIR TO GROUND.....OCEAN TO AIR.....OCEAN TO DEEP WATERS....OCEAN TO GROUND ATTACKS?????
Umeongea kishabiki sababu una hisia negative na NATO......Sio kitaalamu.....Marekani hajawahi kupigana vita na taifa kubwa tofauti na japan kwahiyo hakuna kipimo Cha usupa power, Nchi pekee iliyopimwa Kwa nguvu za kijeshi na teknolijia ni Urusi ambaye amesimama mbele ya NATO. hayo ma meli ni mazuri kumtishia mwarabu. Kule bahari ya china hapawezi , wachina wanakuja juu Kwa kasi ya ajabu.
Kikubwa hayo mameli yanatumika zaidi Kwa vita vya mbali kwaajili ya usafiri wa ndege vita
UNAJUA MAANA YA OCEAN FLEET'S NA UMUHIMU WAKE AU UNAONGEA TU???Acha ujinga. Aircrafts zinakuwa easily targeted unapokutana na jeshi bora. Ujiulizi kwanini USA hakuzipeleka Ukraine lakini faster faster akazipeleka Gaza?
Naona kaswali haka umekang'ang'ania sana. Haya mtaalam tueleze ocean fleets ni nini?AU HUJUI OCEAN FLEET'S NI NINI KIJESHI
MKUU NIMEKUULIZA UNAJUA KOMBAINIA YA OCEAN FLEET'S AMBAYO KWA KAWAIDA INAONGOZWA NA AIRCRAFT CARRIER???Hayo unayoyaeleza inakuwa safe yakifanyika kwenye submarine kuliko kwenye aircraft
TATIZO WEWE NI SHABIKI TU HUJUI MAMBO YA NAVY NA KOMBAINIA ZAKE BAHARINI......JIFUNZE KWANZA KUHUSU OCEAN FLEET'S SIO USHABIKI WA KITOTO.Naona kaswali haka umekang'ang'ania sana. Haya mtaalam tueleze ocean fleets ni nini?
Unaongea kishabiki sababu ya chuki za USA ila hujui chochote kuhusu navy🤣🤣🤣China hajawahi kuacha kelele kule hizo porojo zako tu
Uchina kabeba maeneo ya bahari ya kila jirani yake kule baharini na hakuna meli ya Americant ilomfanya lolote lile
Sasa Americant c aondoe hizo ngarawa zake maana zimeshindwa kumlinda hata mshirika wake Philippines [emoji1198]
UKIWA NAVY SOLDIER UNAKUA UNAJUA UMUHIMU WA AIRCRAFT CARRIER NA MFUMO MZIMA WA OCEAN FLEET'S NA HUWEZI KUWABEZA WARUSI NA WAMAREKANI NA WACHINA......NA HIZO AIRCRAFT CARRIER ZAO WALIZOZINDUA MWAKA JANA....!!!Naona kaswali haka umekang'ang'ania sana. Haya mtaalam tueleze ocean fleets ni nini?
Ni salama...Upuuzi! Unavyoona dunia ni sehemu salama?
Na leo mkuu wahouth wameshawapa doziHahahahaha hii Kali.... Fake drone tena?!
Kama hana anachofanya uliza nini kiliwakuta Houthi na viboti vyao walivyotaka kushambulia meli ya Marekani!!!
Kwan Toka US atangaze kuunda muungano hivyo bikamanda uchwara vya Houth bimeteka au kulipua meli ngapi?Hapana sijawakuza wala nini nimeongea ukweli pinga kwa hoja
Us alianzisha muungano wakukabiliana na houthi vipi muungano una maendeleo gani nipe mregesho wake unaendeleaje ama uliishia wapi
Mimi Nimekupa hoja us alivyoona houthi hawajaogopa maneno yake aliondoa meli zake huko ama hakuondoa
Nibishie kwa hoja kama mie nlivyokubishia kwahoja
Us alikua super power kwanza super power anatakiwa awe anajitosheleza sasa usuper power wa us una mashaka sana kwanza bila ya alliance hua hatoboi kama kuna sehem akiwahi pigana us kama super power mwenyewe akafikia lengo nitajie nitaleft jf kwa muda
Us kawakimbia houthi bisha kwa hoja ama houthi hawapo ama hawateki tena meli sasa bisha kama us hajawakimbia ama hawaogopi
🤣🤣 Hacha kujifanya unajua wakati huna ulijualo. Wajuvi huwa wanatoa darasa. Huwa hawajifichi jifichi kama viazi mbatataTATIZO WEWE NI SHABIKI TU HUJUI MAMBO YA NAVY NA KOMBAINIA ZAKE BAHARINI......JIFUNZE KWANZA KUHUSU OCEAN FLEET'S SIO USHABIKI WA KITOTO.
Kilaza mwingine. Historia gani unayoijua wewe mpaka kufikili dunia jinsi inavyoendeshwa tuna uhakika wa kuwa sehemu salama?Ni salama...
Labda kama hujui historia..
Kamanda ume karirishwa FLEET'S kama zombie ? We ni mweupe sanaMKUU NIMEKUULIZA UNAJUA KOMBAINIA YA OCEAN FLEET'S AMBAYO KWA KAWAIDA INAONGOZWA NA AIRCRAFT CARRIER???
NA UNAJUA ROLE'S ZAKE NA TODAY ADVANCE HYPERSONIC MISSILES ZAKE????
WAULIZE WARUSI WACHINA NA WAMAREKANI...
Faida ya hayo madubwasha ni nini kwa human being?View attachment 2865909
China vs USA aircraft Carriers
Tuwe wa kweli China bado safari ndefu
Angalia DUDE la Chini hilo. Kweli China atamuweza USA🇺🇸
Jamani tuache masihara.
SASA UNGEOMBA DARASA NA SIO KUPOTOSHA UMMA KUHUSU NAVY🤣🤣 Hacha kujifanya unajua wakati huna ulijualo. Wajuvi huwa wanatoa darasa. Huwa hawajifichi jifichi kama viazi mbatata
UKIWA SPECIAL TASK NAVY FORCE OR ELITE NAVY MARINE PERSONAL...UTAELEWA UMUHIMU WA AIRCRAFT CARRIER KWA HUMAN BEING.....Faida ya hayo madubwasha ni nini kwa human being?