ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,417
- 9,604
Humu ndani kuna watu wanajifanya wana akili kushinda Marekani na China wakati hata penseli mnaagiza kwao.
China na Marekani wako na mipango ya kuongeza aircraft carrier kadhaa zikiwemo pia nchi nyingine kama vile India halafu mtu kashiba zake kande anakwambia AC ni obsolete. Kwahiyo wewe una akili kushinda US au China?!
China na Marekani wako na mipango ya kuongeza aircraft carrier kadhaa zikiwemo pia nchi nyingine kama vile India halafu mtu kashiba zake kande anakwambia AC ni obsolete. Kwahiyo wewe una akili kushinda US au China?!