babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
We ushajiita mtoa utamu usibishane na walume wanaokukalisha mjiniNawewe kopi yakwako walau uwe unachezea tu kama rahisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ushajiita mtoa utamu usibishane na walume wanaokukalisha mjiniNawewe kopi yakwako walau uwe unachezea tu kama rahisi
Kwenye military Urusi ni kiboko amerusha kombora/drone limeenda hadi poland kwenye Kambi za Jeshi za NATO, Air Defense za NATO zikashindwa kutambua na kuidungua vilevile, halafu likageuza safari kurudi kushambulia Ukraine. Hiyo cha Mtoto; nyingine kapeleka drones Ujerumani zinazunguka kwenye anga la Kambi za Jeshi za Mafunzo ya Wanajeshi wa Ukraine huko Ujerumani. Wakitaka kuzitungua wanashindwa. Mpaka sasa Wajerumani wamechanganyiwa namna ya kudeal na hizo drones.Sio kwenye military mkuu, ingawa anasogea.
Tunakataa uwezi pokea zawadi ya maitiIkatokea tumepewa zawadi tutapokea au ?
acheni kuwapa ukubwa wasiokua nao mkuu yaan uss Enterprise ikimbie kikundi cha wavuta bange huo usuper power anakua kaupataje sasa maana anawindwa na ma giants ambao anashabihiana nao sana kuliko hao starved rebelsImepunguzwa au haina
Maana huko beto alipoenda United Shits Of Americant na hizo ngarawa zake alipigana nanani
Maana tumeona pale houthi tu kaunda muungano halafu kakimbia zake
Hizo ngarawa zingezamishwa kama vidagaa ila kastuka
Mkuu, sasa hivi yameboreshwa zaidi, yamekuwa equipped na defensive measures.Hayo madude Inategemea nchi unayopigana nayo.... Wao wenyewe wameshajua hizo zinakua ni easy targets na hasara inakua kubwa kama unapigana na mtu mwenye makombora ya hypersonic...... Mchina katengeneza kamikaze drone la chini ya maji kwa ajili ya hayo madude
bado hakuna measures za kuzuia hypersonic missile...............ndo maana nikasema hilo dude inategemea unaenda kupigana na nani,,,,,,,.......ukienda kwa mchina au mrusi wanaweza kulizamishaMkuu, sasa hivi yameboreshwa zaidi, yamekuwa equipped na defensive measures.
Umetumia kigenzo ganiView attachment 2865909
China vs USA aircraft Carriers
Tuwe wa kweli China bado safari ndefu
Angalia DUDE la Chini hilo. Kweli China atamuweza USA[emoji631]
Jamani tuache masihara.
Ungeweka na specification zake mfano ukubwa, aina ya rada ..defensive mechanismView attachment 2865909
China vs USA aircraft Carriers
Tuwe wa kweli China bado safari ndefu
Angalia DUDE la Chini hilo. Kweli China atamuweza USA[emoji631]
Jamani tuache masihara.
Reverse naweweReverse engineering?
Mbona povu kijana walume hua tunapangua hoja hatuimbi taarabu kama weweWe ushajiita mtoa utamu usibishane na walume wanaokukalisha mjini
Hapana sijawakuza wala nini nimeongea ukweli pinga kwa hojaacheni kuwapa ukubwa wasiokua nao mkuu yaan uss Enterprise ikimbie kikundi cha wavuta bange huo usuper power anakua kaupataje sasa maana anawindwa na ma giants ambao anashabihiana nao sana kuliko hao starved rebels
Hata kiev ina defensive measures zakumwaga ila Russia anapiga kila anapopataka ama anapojisikiaMkuu, sasa hivi yameboreshwa zaidi, yamekuwa equipped na defensive measures.
Hiyo Mchina unayesema yeye mwenyewe yuko anaunda aircraft carrier nyingine. Yani wewe ujue kuhusu hatari ya makombora alafu walioyagundua wasijue hatari yake?Hayo madude Inategemea nchi unayopigana nayo.... Wao wenyewe wameshajua hizo zinakua ni easy targets na hasara inakua kubwa kama unapigana na mtu mwenye makombora ya hypersonic...... Mchina katengeneza kamikaze drone la chini ya maji kwa ajili ya hayo madude
Niongezee na kashata mkuu😄😄😄Kwenye military Urusi ni kiboko amerusha kombora/drone limeenda hadi poland kwenye Kambi za Jeshi za NATO, Air Defense za NATO zikashindwa kutambua na kuidungua vilevile, halafu likageuza safari kurudi kushambulia Ukraine. Hiyo cha Mtoto; nyingine kapeleka drones Ujerumani zinazunguka kwenye anga la Kambi za Jeshi za Mafunzo ya Wanajeshi wa Ukraine huko Ujerumani. Wakitaka kuzitungua wanashindwa. Mpaka sasa Wajerumani wamechanganyiwa namna ya kudeal na hizo drones.
Kila nchi yenye teknolojia kubwa duniani inazo aircraft carriers.Lame ducks! Hazina nafasi kwenye vita za kisasa zenye high intensity na precision weapons. Hizo zinafaa kupigana na magaidi na nchi zisizo na technology kubwa ya vifaa vya vita!
Nikusahihishe mkuu, kukopi design haihusiani na kitu kuwa fake. Unaiona AK 47 ya mchina ilivyo. Nikiomba unipe ufake wake hutapata majibu na ndizo zipo supplied Kwa majeshi mengi sana dunianiHilo la Mchina km kawaida yake kacopy na kupaste.
Ni Fake fake tu kila kitu
Hypersonic missile unaicounter na defensive measures zipi?Mkuu, sasa hivi yameboreshwa zaidi, yamekuwa equipped na defensive measures.
Ungeweka angalau Nimitz class, au mpya kabisa USS Gerald Ford.