Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu lini vita kaianza????Yale machuma chuma yameshindwa kuilinda ukraine
Russia anabonda anapojisikia kuanzia liviv kule mpakani kwa nato memba mpaka kiev hadi kramatosk
Gaza na Israel sio majirani? Mbona faster faster marekani kapeleka aircrafts carrier? Tena sio mojaRussia unapigana na Ukraine ambao ni majirani, hakuna haja ya aircraft carrier kwa jirani. Russia ikitaka kupigana na mfano Brazil ndio utaona umuhimu wa carrier. Russia inapigana na majirani wake wanyonge ndugu zake, ingekuwa inapigana na mataifa makubwa ya mbali ndipo ungejua kwanini carrie
Kiongozi wa NATO amesikika mara nyingi tu akisisitiza kushindwa vita kwa Ukraine ni kushindwa kwa NATONATO haiko vitani na Russia, bali Russia iko vitani na vimichango vya wanachama wa NATO, independently. Mfano Marekani imetoa kitu kama 5% ya bajeti yake ya kijeshi kwa mwaka kwenda Ukraine na hiyo ndiyo unafanya Urusi walie na kusaga meno.
Tena kama unataka kulipiga, unaanza ku destroy runaway ili kuzifanya ndege zishindwe kuruka.Hayana faida zaidi ya kubeba ndege za kivita!
la mchina in kama pantoni tu 🤣🤣🤣Hilo la Mchina km kawaida yake kacopy na kupaste.
Ni Fake fake tu kila kitu
Hayo machuma chuma yamesababisha super pawa wa mchongo ashindwe kuichukua kyiv ndani ya masaa 72Acha kuruka ruka kijana
Machuma chuma yao kule Ukraine yameshindwa kuleta natija yeyote itakua huko kwao
Yani we jamaa sijui unaongea mavitu gani!!!!? Sasa kama hazina umuhimu kwanini hayo mataifa bado wanahangaika kuzitengeneza ikiwemo hiyo Urusi yako.?!Wewe ndio hutaki kuelewana na watu ama hutaki kuwaelewa watu kwamakusudi kabisa ama kwa bahati mbaya
Sababu watu wamekupa sababu moja ama zaidi ya moja kuhusiana na hizo ngarawa
Wengine wameitolea mfano Russia wamesema kwasasa hauihitaji ngarawa lazima yaani sio lazima ue na ngarawa ili kuifata target ukaichape (ila pia hawakusema kama ngarawa haifai)
Wengine wakasema kwamba katika vita zakisasa ngarawa ina hasara pindi inapotokea unapigana na taifa lenye uwezo achana na libya iraq na Afghanistan tuseme unapigana leo na Russia China Iran au korea North hizi ngarawa zinakua na risk kubwa
Sababu ya mwisho watu wakakwambia kama unapigana na taifa lakawaida basi carrie au ngarawa inafaa sana sababu opponents hana uwezo wakuifikia tumeona mfano kwa libya
Yaani umbali aliokua anapigwa libya nayale ma tomahawk ni umbali ambao range za makombora kutokea uchina iran Russia Korea North sio yanafika yaani yanapita kabisa kiasi kwamba unaweka sailors kwenye njia panda
Sasa unapigana na libya haina hata kombora lakutoka mwanzo wa libya mpaka mwisho wa libya au haina ICBM unategemea maajabu gani
Mwisho ngarawa hazitaisha umuhimu mpaka dunia inaisha ila umuhimu wake utategemea tu unapigana nanani
Maana hata No fly zone ina umuhimu ukipigana na dogo ila ukipigana na mkubwa hua haina maana sababu unashindwa kuieka nandio maana ukraine aliwaomba nato waieke pale Ukraine ili ndege za Russia zisiruke nato wakaruka kimanga!
Kama yeye anavyopigwa panapofaa zile mbwembwe za kusifu Air defenses za Urusi hatuzisikii tena. Imagine kambi ya jeshi tena makao makuu ya fleet (pale Crimea) inayolindwa na kila aina ya SAM (S-400, nk) ilibutuliwa kwa makombora matatu ya Storm shadow ambayo ni teknolojia ya miaka ya 1990s.Kwanini hakuzivamia nato ambazo zinapakana nae
Russia ilikua kaitengenezea mazingira ukraine aichape na ndio anaichapa
Mfupa kwako kwa Russia ni yakawaida sana nandio maana anapiga anapoona panafaa yaani
Kama Marekani si lolote si chochote waambie China wavamie Taiwan au Urusi ajaribu kuichukua tena Alaska kama alivyojitapa kuichukua Crimea.Watu wamedanganywa sana na sinema na iule utamaduni wao waliotengeneza kupitia sinema kuwa marekani lazima waibuke kidedea.
Marekani ni sawa na Mandonga tu, maneno mengi lakini kiuwalisia hakuna kitu. USA akikutana na kibonde ni fully kujimwambafai lakini akikutana na mbabe anaishia kubwekabweka tu.
Kilichoibeba marekani ni kuwa na hichi kitu kinachoitwa UN ya kimichongo na pesa yake kuwa na pawa.
Kwasasa dunia imeamka na kuamka kwa dunia ndio anguko la marekani. Watu wanaweza wasione huu ukweli kwasababu ya kufikiia marekani ataanguka gafla. Anguko na marekani ni la taratibu kama vile kansa inavyommaliza taratibu
Unaingelea hii ya usa inayopigwa na vi drone vya dolar 500 vya kutengeneza chini ya mtiView attachment 2865909
China vs USA aircraft Carriers
Tuwe wa kweli China bado safari ndefu
Angalia DUDE la Chini hilo. Kweli China atamuweza USA[emoji631]
Jamani tuache masihara.
Kwa hiyo kasimika serikali yake? Dakika chache zilizopita nimegoogle nikakuta rais wa Ukraine ni yuleyule zeleYale machuma chuma yameshindwa kuilinda ukraine
Russia anabonda anapojisikia kuanzia liviv kule mpakani kwa nato memba mpaka kiev hadi kramatosk
Asante sheikh yahaya ....Watu wamedanganywa sana na sinema na iule utamaduni wao waliotengeneza kupitia sinema kuwa marekani lazima waibuke kidedea.
Marekani ni sawa na Mandonga tu, maneno mengi lakini kiuwalisia hakuna kitu. USA akikutana na kibonde ni fully kujimwambafai lakini akikutana na mbabe anaishia kubwekabweka tu.
Kilichoibeba marekani ni kuwa na hichi kitu kinachoitwa UN ya kimichongo na pesa yake kuwa na pawa.
Kwasasa dunia imeamka na kuamka kwa dunia ndio anguko la marekani. Watu wanaweza wasione huu ukweli kwasababu ya kufikiia marekani ataanguka gafla. Anguko na marekani ni la taratibu kama vile kansa inavyommaliza taratibu
Hapo red sea marekani huwa inachezewa mchezo mchafu na waasi wa houth .waasi huwa wanarusha fake drone ili kuzidanganya Air defense za marekani sasa wakati melivita za marekani zinakuwa bize kutungua hizo fake drone za wahouthYani we jamaa sijui unaongea mavitu gani!!!!? Sasa kama hazina umuhimu kwanini hayo mataifa bado wanahangaika kuzitengeneza ikiwemo hiyo Urusi yako.?!
Urusi wanayo Yao ile mbovu ingekua hawaihitaji si washaiharibu lakini ipo kwenye karakana inafanyiwa matengenezo irudi kazini.
Halafu kwa akili yako unadhani Aircraft carrier inasafiri yenyewe!!? Unajua kitu kinaitwa Carrier Strike Group?! Hiyo inakua convoy kamili yenye Destroyer ambazo Zina powerful air defense, frigate, cruiser bila kusahau submarines. Carrier yenyewe inabeba ndege maalum zenye early warning radars ku detect targets zikiwa mbali kabisa. Au huoni hapo Red Sea Ant ship ballistic missiles za Houthi (wanazopewa na Iran) zinavyoshushwa na Arleigh Burke destroyers?!
Mnaongea kirahisi sana yaani USA wafanye tafiti ya kutosha na waje na majibu wewe ndugu yangu uje uwakosoe huku maji ya kumwaga ila hakuna bomba linatoa maji wala hatuna umeme tufiri zaidi ya hapa tutapa majibu sio maswali magumu unatoa tu jibu eti useless daah..Aircraft carrier is useless now days. Or it's depends you are engege war with who otherwise useless. Aircraft carrier only works in very poor countries
Now if you have got missile capability, you have got everything
Serikali gani ya China iichukue Taiwan ? PRC au ROC ?Kama Marekani si lolote si chochote waambie China wavamie Taiwan au Urusi ajaribu kuichukua tena Alaska kama alivyojitapa kuichukua Crimea.
Hahahahaha hii Kali.... Fake drone tena?!Hapo red sea marekani huwa inachezewa mchezo mchafu na waasi wa houth .waasi huwa wanarusha fake drone ili kuzidanganya Air defense za marekani sasa wakati melivita za marekani zinakuwa bize kutungua hizo fake drone za wahouth
Basi wahouth hutumia muda huo kuzishambulia meli za mizigo kwa kutumia drone original. Ndo maana kila siku utasikia meli zimewaka moto hapo.
Kiufupi hapo red sea marekani Hana anacho kifanya
Maskini ipi ile iliokewa vikwazo vya kila rangi na wanaojiita matajiri ili isiweze kuendelea na SMO yake ila mpaka sasa bado inakiwashaMnaongea kimaskini, ushauri wenu ni wa nchi za kimaskini kama Urusi.
Russia unapigana na Ukraine ambao ni majirani, hakuna haja ya aircraft carrier kwa jirani. Russia ikitaka kupigana na mfano Brazil ndio utaona umuhimu wa carrier. Russia inapigana na majirani wake wanyonge ndugu zake, ingekuwa inapigana na mataifa makubwa ya mbali ndipo ungejua kwanini carrier ni muhimu.
China na Russia zina aircraft carriers. Kama ni risk kwanini wasiachane nazo. Alafu taja ni silaha gani vitani haina risk?
Iran na North Korea hawana sababu ni njaa na hawana teknolojia. North Korea haohao huwa wanalialia carrier ya Marekani ikiwasogelea.
Ni superpower gani hana aircraft carrier. Libya sio superpower.
Nani kakwambia ICBM ndio makombora pekee 0ekee ya kutumia vitani. Nitajie vita gani ambayo ICBM iliwahi tumika.
Kama makombora ya ardhini pekee yanatosha, mbona Russia inaendelea kutengeneza air launched missiles kama Kinzhal, anatengeneza smart bombs.
Kama makombora pekee (ballistic or cruise) yanatosha, mbona Russia anatumia air launched cruise missiles kwa kutumia fighter bombers kama Su-34. Endapo ataenda kupigana vita mbali ambapo fighters hazifiki atatumia ungo?
Kwanini Russia ana aircraft carrier ile nzee?
Bado zinatengenezwa na wenye hela. Kwenye miaka hii ya 2020s Marekani, China, South Korea na Japan zimeunda au kuzindua carriers. Zote hizo zinaizidi uchumi Urusi.
NATO haiko vitani na Russia, bali Russia iko vitani na vimichango vya wanachama wa NATO, independently. Mfano Marekani imetoa kitu kama 5% ya bajeti yake ya kijeshi kwa mwaka kwenda Ukraine na hiyo ndiyo unafanya Urusi walie na kusaga meno.
Hata Iran yako hiyo imegeuza meli ya mizigo kuwa aircraft carrier ya kienyeji. Hata Uturuki inayo Anadolu. Wewe uko hapo unatetema maskini na wazembe wa teknolojia.
Suala la kuimaliza alisema mwenyewe ni long term processTangu lini vita kaianza????
Anaimaliza lini????