USA vs China Aircraft carrier

USA vs China Aircraft carrier

Kamanda ume karirishwa FLEET'S kama zombie ? We ni mweupe sana
SAWA MM MWEUPE ELEZEA WEWE KAMANDA......🤣🤣🤣🤣
Mimi nimekaririshwa elezea wewe kama navy personal au special elite navy force.TATIZO MNADHANI MNAJUA KUMBE HAMJUI LOLOTE KUHUSU AIRCRAFT CARRIER NA ROLE ZAKE.....MNAKIFANYA WAJUAJI KULIKO MAINJINIA WA KIJESHI WA URUSI,NATO NA CHINA.
NB: AU NA WEWE UNAZIITA AIRCRAFT CARRIER MADUDE🤣🤣🤣🤣
 
Kwenye military Urusi ni kiboko amerusha kombora/drone limeenda hadi poland kwenye Kambi za Jeshi za NATO, Air Defense za NATO zikashindwa kutambua na kuidungua vilevile, halafu likageuza safari kurudi kushambulia Ukraine. Hiyo cha Mtoto; nyingine kapeleka drones Ujerumani zinazunguka kwenye anga la Kambi za Jeshi za Mafunzo ya Wanajeshi wa Ukraine huko Ujerumani. Wakitaka kuzitungua wanashindwa. Mpaka sasa Wajerumani wamechanganyiwa namna ya kudeal na hizo drones.
Hii umetia chumvi nyingi, yale mapipa yake ya modern air defense systems s400 si ndio yanapigwa na drones za kienyeji hapo Ukraine ?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
UKIWA SPECIAL TASK NAVY FORCE OR ELITE NAVY MARINE PERSONAL...UTAELEWA UMUHIMU WA AIRCRAFT CARRIER KWA HUMAN BEING.....
ILA KAMA SIO SECURITY ANALYSIS HUWEZI KUELEWA CHOCHOTE
Those you mentioned are well trained to chop lives of humanbeings.

They think is legal and fair.

We dont need killing machines in order to attain developments....

I dispise the idea
 
Those you mentioned are well trained to chop lives of humanbeings.

They think is legal and fair.

We dont need killing machines in order to attain developments....

I dispise the idea
We need killing machine to protect our territory and development!!!!
Against hooligan human being.
YOU DESPISE IDEA SABABU WEWE HUNA DHAMANA YA ULINZI WA JAMII YAKO
 
We need killing machine to protect our territory and development!!!!
Against hooligan human being.
YOU DESPISE IDEA SABABU WEWE HUNA DHAMANA YA ULINZI WA JAMII YAKO
You judge me because you dont know me and you even less underatand my stance.

Jamii inaanzia wale unaoishi nao na kupanda juu hadi nation level. Nimefanya tryouts kadhaa na 70% nimefanikiwa kupunguza threats za kiusalama huku ninapoishi. Na mimi siyo kiongozi wa kijamii.

Nina hakika kwamba mipaka italindwa vyema kwa nia ya kuhifadhi uhuru wa taifa. Lakini malice minds hutengeneza silaha za maangamizi na siyo za ulinzi. That's my concept
 
Hapa inategemea ni nani anayempiga!
Hauwezi kumpiga kwenzi mtoto mdogo ukategemea akurudishie!
Marekani amepigana vita na mataifa mengi, ukiachana na Japan mwaka 1941 hakuna nchi ambayo imevamia au kushambulia ardhi, anga au maji yake. Tangu Marekani iwe huru hakuna mwanajeshi wa nchi adui aliwahi tia mguu ardhi ya Marekani.

Marekani anapiga vita kwa kukufuata ulipo, bila carriers hawezi fanya hivyo.
 
bado hakuna measures za kuzuia hypersonic missile...............ndo maana nikasema hilo dude inategemea unaenda kupigana na nani,,,,,,,.......ukienda kwa mchina au mrusi wanaweza kulizamisha
Niliwauliza swali mkakimbia hamjajibu mpaka sasa. Hiyo hypersonic missile inayopiga a fast moving target isiyoenda kwenye uelekeo unaojulikana ni ipi?

Hilo kombora ya hypersonic linaloweza kupiga carrier linaitwaje na ni la nchi gani?
 
Alilia lia sababu hata yeye alikubali matakwa ya ussr kama asingekubali matakwa ya ussr angepinga matakwa yao yakutaka silaha za masafa ya kati za nyuklia kuekwa ulaya (shida unadhani historia unafatilia pekeako)

Hata wewe unaweza ukanifundisha au wewe sio mtu?

Hamna ubishi wa kijinga us angekubali kuba akawa na silaha alizotaka kua nazo ili aje atudhihirishie usupa power wake

Sasa unataka utuaminishe kua wewe super power wakat haitaki majirani zake nanguvu ya kupambana nae

Hoja unataka ujibiwe kama unavyotaka wewe nahapa utakua unafail kila siku mzee mwenzangu
US aliiwekea USSR ukaguzi pale Cuba. Unajua maana ya naval kuwekwa karantini ni dharau iliyoje superpower USSR kuwekewa na kupewa masharti kwamba hapa hufanyi hiki na hapa hupeleki silaha bali utazitoa.

Meli za Marekani zilizuia za USSR, zikakagua kama kuna silaha hakuna kwenda na kama hakuna silaha basi ruksa. Marekani ilitaka kuishambulia Cuba pamoja na uwepo wa majeshi ya USSR. Ndipo USSR ikakubali kutoa silaha zao pale.

Hapo unasemaje Marekani alilialia? Badala yake USSR ndio ililialia kama inatoa silaha Cuba basi na Marekani itoe makombora Uturuki ili angalau serikali ya Soviet ipate pa kuficha uso wake isionekane imenyanyaswa. Na Marekani ni wanadiplomasia, wakakubali.
 
Marekani amepigana vita na mataifa mengi, ukiachana na Japan mwaka 1941 hakuna nchi ambayo imevamia au kushambulia ardhi, anga au maji yake. Tangu Marekani iwe huru hakuna mwanajeshi wa nchi adui aliwahi tia mguu ardhi ya Marekani.

Marekani anapiga vita kwa kukufuata ulipo, bila carriers hawezi fanya hivyo.
Yote haya unayoyasema sijabisha mkongwe, ndio maana nikakujibu hii hali ya Marekani kuibuka kidedea wakati wote anapokuwa katika vita, na ardhi yake kutoguswa kijeshi kama unavyosema imechangiwa na aina na hali ya wapinzani wake. Kuna nchi akiziletea ubabe wa kivita hiyo ardhi tukufu ya Marekani haiwezi kubaki salama.
Hata hayo machuma(carriers) yake hayawezi kumsaidia akiingia vitani na nchi inayojitambua.
 
You judge me because you dont know me and you even less underatand my stance.

Jamii inaanzia wale unaoishi nao na kupanda juu hadi nation level. Nimefanya tryouts kadhaa na 70% nimefanikiwa kupunguza threats za kiusalama huku ninapoishi. Na mimi siyo kiongozi wa kijamii.

Nina hakika kwamba mipaka italindwa vyema kwa nia ya kuhifadhi uhuru wa taifa. Lakini malice minds hutengeneza silaha za maangamizi na siyo za ulinzi. That's my concept
Hujamwelewa huyo kwa hiyo mfano hayo masiraha ya warussi yanawaua warussi? Au ya wamarekani yanawaua wamarekani? Wanajitengezea ili kulinda maslahi yao ....
Ambapo siyo kosa
 
Badala yake USSR ndio ililialia kama inatoa silaha Cuba basi na Marekani itoe makombora Uturuki ili angalau serikali ya Soviet ipate pa kuficha uso wake isionekane imenyanyaswa. Na Marekani ni wanadiplomasia, wakakubali.
😂😂😂😂
 
Imepunguzwa au haina

Maana huko beto alipoenda United Shits Of Americant na hizo ngarawa zake alipigana nanani

Maana tumeona pale houthi tu kaunda muungano halafu kakimbia zake

Hizo ngarawa zingezamishwa kama vidagaa ila kastuka
Upo serious kweli. Hv hao houth ndio takataka gani, askari gani anapigana vita kavaa msuri na baraghashea tena yupo kwenye mtumbwi.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Kwenye military Urusi ni kiboko amerusha kombora/drone limeenda hadi poland kwenye Kambi za Jeshi za NATO, Air Defense za NATO zikashindwa kutambua na kuidungua vilevile, halafu likageuza safari kurudi kushambulia Ukraine. Hiyo cha Mtoto; nyingine kapeleka drones Ujerumani zinazunguka kwenye anga la Kambi za Jeshi za Mafunzo ya Wanajeshi wa Ukraine huko Ujerumani. Wakitaka kuzitungua wanashindwa. Mpaka sasa Wajerumani wamechanganyiwa namna ya kudeal na hizo drones.
Picha

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Niliwauliza swali mkakimbia hamjajibu mpaka sasa. Hiyo hypersonic missile inayopiga a fast moving target isiyoenda kwenye uelekeo unaojulikana ni ipi?

Hilo kombora ya hypersonic linaloweza kupiga carrier linaitwaje na ni la nchi gani?

Mengine tumia ada yako
Screenshot (49).png
 
Back
Top Bottom