USA wanaprint Sana Dollar, ndio Maana ya nguvu za kiuchumi?

USA wanaprint Sana Dollar, ndio Maana ya nguvu za kiuchumi?

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Wamarekani ni watu wajanja Sana, kwakuwa wameshikilia currency ya dunia basi wataendelea kuwa namba moja kiuchumi.

1. Bajeti yao ikipungua wanaprint dollar, feds
2. Wakipata msukosuko wanaprint dollar
3.wanaprint Dolla wanakukopesha
4. Mabenki yao yakiyumba wanaprint dollar wanawapa

Sasa wachina wanajaribu kila namna kuua dominance ya Dolla Ila unakuwa ngumu Sana na hawawezi kuprint mahela yao Kama marekani.

Marekani akiamua uendelee anaprint Dolla anakupa, kwahiyo nguvu ya marekani si ya kijeshi au kiteknolojia Wala kufedha, nguvu yake ni kwakuwa anacontroll Dolla Hilo tu
 
Ngoja nikueleweshe kwanza kidogo..

Sio kwamba nguvu ya USA inatokana na ku print dollar.

Unapozungumzia ku print dollar maana yake unazungumzia money supply ambayo kwa zaidi ya asilia 80 ipo determined na credit creation from commercial banks.

Amabacho unakiona kwa sasa kule US kwamba Fed wana print pesa, ni kwamba ile monetary policy expansion ambayo lengo lake haswa ni kuongeza deposits kwa commercial banks ile ziwe na uwezo wa ku lend more na haina maana ya reckless printing of money.

kingine pia ni kwamba, serikali inavoprint pesa kupitia central bank maana yake ni kwamba wana create liability ambayo itabidi ije kulipwa huko baadae.

Na impact kubwa ya ku create liability ya kuprint pesa kuliko uwezo wa uzalishaji wa uchumi maana yake ni kwamba una create inflationary pressure ambayo ni mbaya zaidi kwenye uchumi.

For the case of US, sasa hivi kuna pressure kubwa ya build up in inflation kutokana na hiyo expansionary monetary policy niliyoisema hapo juu, na kwa sasa headache kubwa ya Fed ni namna ya kupunguza inflation pressure ambayo ipo wazi kwa sasa.

So sio kweli kwamba US wana print dollar recklessly sio rahisi hivo
 
Wamarekani ni watu wajanja Sana, kwakuwa wameshikilia currency ya dunia basi wataendelea kuwa namba moja kiuchumi,
1. Bajeti yao ikipungua wanaprint dollar, feds
2. Wakipata msukosuko wanaprint dollar
3.wanaprint Dolla wanakukopesha
4. Mabenki yao yakiyumba wanaprint dollar wanawapa

Sasa wachina wanajaribu kila namna kuua dominance ya Dolla Ila unakuwa ngumu Sana na hawawezi kuprint mahela yao Kama marekani.

Marekani akiamua uendelee anaprint Dolla anakupa, kwahiyo nguvu ya marekani si ya kijeshi au kiteknolojia Wala kufedha, nguvu yake ni kwakuwa anacontroll Dolla Hilo tu
mambo hayapo kama unavyoandika hapa, wenye mamlaka ya kuprint dola sio serikalini ya Marekani bali ni taasisi binafisi na taasisi hiyo sio kama Ofisi za Lumumba kwamba Samia atawaambia:, printin hela mziingize kwenye mzunguko.
hiyo taasisi ya ya kuprint hela rais wa Us hana mmalaka nayo.
 
mambo hayapo kama unavyoandika hapa, wenye mamlaka ya kuprint dola sio serikalini ya Marekani bali ni taasisi binafisi na taasisi hiyo sio kama Ofisi za Lumumba kwamba Samia atawaambia:, printin hela mziingize kwenye mzunguko.
hiyo taasisi ya ya kuprint hela rais wa Us hana mmalaka nayo.
Kuna kitu wanaita federal reserve board ipo chini ya serikali ya marekani, haya ni Mambo ya uchumi, Mambo ya debt issuance, corporate bonds, dollar kuwa world reserve currency, nimeongea juu juu sababu nipo shalo akija mtaalam ataelezea vizuri
 
Kwanza Nchi yenye kiasi kikubwa cha Dollar za Kimarekani ni China. na sio kweli kuwa wanaprint dollar kama unavyosema
 
Kuna kitu wanaita federal reserve board ipo chini ya serikali ya marekani, haya ni Mambo ya uchumi, Mambo ya debt issuance, corporate bonds, dollar kuwa world reserve currency, nimeongea juu juu sababu nipo shalo akija mtaalam ataelezea vizuri
ndiyo ujue kuwa biden hawezi kuamka from white house na kuitaka hiyo taasisi iprint hela.
wenzetu rais sio kila kitu.
 
Nadhani wana wachumi wajanja sana, ujue fedha tunazoomba sisi za misaada si fedha za mifukoni kwao, ili dollar zao zibaki intact bila kuongezeka wala kupungua, mnaomba misaada mna printiwa mnapewa ili ziue nguvu ya fedha zenu zakwao ziwe na nguvu hko kwenu na wanajua fedha wanazowapa zitabaki kwenye mzunguko huko kwenu, huu utaalam wa ku balance kila kona ni mzuri sana wana hakikisha fedha zao hazipo nyingi kwenye ma soko ya fedha ya ndani kwao na hazipungui, wapo wenye kazi hiyo maalum, sisi kwetu akili hiyo hatuna tungeweza kuwa donor country pia tuna print tunagawa misaada ila pesa zisirudi ndani sasa tanzania tunaogopa fedha kuwa nyingi nchini zinaweza zikashusha thamani ya safaru, maana hata tu ki print kwa ajili ya miradi bado itakuwa vurgu maana zitakuwa nyingi sana. dawa nyingine ni ku print kuwapa wafanya biashara mikopo pale tu waendapo nje ya nchi na kuwatumishia huko lakini bado tutahitaji kununua dola au pound halafu shilingi zinarudi tena tanzania bado ni hovyo cha msingi ni kuipa fedha zetu thamani kubwa sana ili zikubaliwe na mataifa mengine na zizagae huko tuwe tunawapa nje ya nchi nao wawe nazo hko zisibaki tu nchini zisiwe na pa kwenda.
Wamarekani ni watu wajanja Sana, kwakuwa wameshikilia currency ya dunia basi wataendelea kuwa namba moja kiuchumi,
1. Bajeti yao ikipungua wanaprint dollar, feds
2. Wakipata msukosuko wanaprint dollar
3.wanaprint Dolla wanakukopesha
4. Mabenki yao yakiyumba wanaprint dollar wanawapa

Sasa wachina wanajaribu kila namna kuua dominance ya Dolla Ila unakuwa ngumu Sana na hawawezi kuprint mahela yao Kama marekani.

Marekani akiamua uendelee anaprint Dolla anakupa, kwahiyo nguvu ya marekani si ya kijeshi au kiteknolojia Wala kufedha, nguvu yake ni kwakuwa anacontroll Dolla Hilo tu
 
Nadhani wana wachumi wajanja sana, ujue fedha tunazoomba sisi za misaada si fedha za mifukoni kwao, ili dollar zao zibaki intact bila kuongezeka wala kupungua, mnaomba misaada mna printiwa mnapewa ili ziue nguvu ya fedha zenu zakwao ziwe na nguvu hko kwenu na wanajua fedha wanazowapa zitabaki kwenye mzunguko huko kwenu, huu utaalam wa ku balance kila kona ni mzuri sana wana hakikisha fedha zao hazipo nyingi kwenye ma soko ya fedha ya ndani kwao na hazipungui, wapo wenye kazi hiyo maalum, sisi kwetu akili hiyo hatuna tungeweza kuwa donor country pia tuna print tunagawa misaada ila pesa zisirudi ndani sasa tanzania tunaogopa fedha kuwa nyingi nchini zinaweza zikashusha thamani ya safaru, maana hata tu ki print kwa ajili ya miradi bado itakuwa vurgu maana zitakuwa nyingi sana. dawa nyingine ni ku print kuwapa wafanya biashara mikopo pale tu waendapo nje ya nchi na kuwatumishia huko lakini bado tutahitaji kununua dola au pound halafu shilingi zinarudi tena tanzania bado ni hovyo cha msingi ni kuipa fedha zetu thamani kubwa sana ili zikubaliwe na mataifa mengine na zizagae huko tuwe tunawapa nje ya nchi nao wawe nazo hko zisibaki tu nchini zisiwe na pa kwenda.
hakuna kitu kama iki ulichokiandika..
 
Wanachofanya marekani no kuhakikisha biashara zote kubwa duniani zinafanywa kwa dola uasa mafuta ndio maana Gadaff alipotaka kuuza mafuta take kwa dhahabu walimmaliza Mara moja
 
Wamarekani ni watu wajanja Sana, kwakuwa wameshikilia currency ya dunia basi wataendelea kuwa namba moja kiuchumi,
1. Bajeti yao ikipungua wanaprint dollar, feds
2. Wakipata msukosuko wanaprint dollar
3.wanaprint Dolla wanakukopesha
4. Mabenki yao yakiyumba wanaprint dollar wanawapa

Sasa wachina wanajaribu kila namna kuua dominance ya Dolla Ila unakuwa ngumu Sana na hawawezi kuprint mahela yao Kama marekani.

Marekani akiamua uendelee anaprint Dolla anakupa, kwahiyo nguvu ya marekani si ya kijeshi au kiteknolojia Wala kufedha, nguvu yake ni kwakuwa anacontroll Dolla Hilo tu

Taaluma za watu zimevamiwa. Mambo ya currency yana wenyewe. Hayako obvious kama unavyodhani mkuu.

Kumbuka mambo ya nyungu na chanjo na kina Gwajiboy. Notion ile ile nyanja tu.

Kama hivyo Iddi Amini angefaulu kwenye agenda yake iliyo kama yako.

Unaonaje Tanzania labda ingeiga maoni kama yako mkuu ili kuwa Donor country kweri kweri?
 
Wanachofanya marekani no kuhakikisha biashara zote kubwa duniani zinafanywa kwa dola uasa mafuta ndio maana Gadaff alipotaka kuuza mafuta take kwa dhahabu walimmaliza Mara moja
kufanya Biashara kwa kutumia dhahabu ni analogy idea.
dunia inakwenda mbele uwezi irudisha nyuma hata dola ikianguka ni lazima sarafu mbadala isimame katika biashara ya kimataifa.
unataka utumie dhahabu kufanya biashara na nchi zisizo nadhazabu watumie nini?.
 
Taaluma za watu zimeivamiwa. Mambo ya currency sana wenyewe. Hayako obvious kama unavyodhani mkuu.

Kumbuka mambo ya nyungu na chanjo na kina Gwajiboy. Notice ile ile bahari tofauti tu.

Kama hivyo Iddi Amini angefaulu kwenye agenda yake iliyo kama yako.

Unaonaje Tanzania labda ingeiga maoni kama yako mkuu ili kuwa Donor country kweri kweri?
Tunaongelea USD sio Tanzanian Shilings, mbona kihiyo hivo wewe
 
Back
Top Bottom