USA wanaprint Sana Dollar, ndio Maana ya nguvu za kiuchumi?

USA wanaprint Sana Dollar, ndio Maana ya nguvu za kiuchumi?

Kwahiyo kumbe Cheyo alikuwa sahihi aliposema atatujaza mapesa?

Kwa nini watu waangaike wakati unaweza kuchapisha pesa ukazimwaga mitaani?

Kwahiyo huu umaskini duniani ni wakutengenezwa kwa malengo ya watu maalum?

Ajabu ni kuwa hawajiulizi kwa nini serikali ikihitaji pesa za kujenga barabara, SGR, hospitali nk kwa nini isi print tu?

Kero zote za tozo hadi kwenye miamala kwa nini wasi print tu?
 
Wamarekani ni watu wajanja Sana, kwakuwa wameshikilia currency ya dunia basi wataendelea kuwa namba moja kiuchumi,
1. Bajeti yao ikipungua wanaprint dollar, feds
2. Wakipata msukosuko wanaprint dollar
3.wanaprint Dolla wanakukopesha
4. Mabenki yao yakiyumba wanaprint dollar wanawapa

Sasa wachina wanajaribu kila namna kuua dominance ya Dolla Ila unakuwa ngumu Sana na hawawezi kuprint mahela yao Kama marekani.

Marekani akiamua uendelee anaprint Dolla anakupa, kwahiyo nguvu ya marekani si ya kijeshi au kiteknolojia Wala kufedha, nguvu yake ni kwakuwa anacontroll Dolla Hilo tu
Ujui chochote kuhusu ela wewe.dollar feki zipo nyingi tu kila sehemu ya Dunia ila kuprint dollar yenyewe sio kazi ndogo ndugu ilo unatakiwa ulijuie.kutengeneza pesa original ni gharama sana kuliko hata pesa yenyewe kwa sababu madini mengi yanatumia kwenye kutengeneza ela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujui chochote kuhusu ela wewe.dollar feki zipo nyingi tu kila sehemu ya Dunia ila kuprint dollar yenyewe sio kazi ndogo ndugu ilo unatakiwa ulijuie.kutengeneza pesa original ni gharama sana kuliko hata pesa yenyewe kwa sababu madini mengi yanatumia kwenye kutengeneza ela.

Sent using Jamii Forums mobile app
Madini gani yanayotumika ili sisi tuwape bure watuprintie hizo pesa tugawane?
 
Back
Top Bottom