let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
to make a long story short sijui ila mimi kutojua hakufanyi jibu lako liwe sahihi. ninaweza nisijue 1 + 1 = 2 ila ukiniambia ni 11 nitakataa.Wewe toa hoja yako kwa kile unacho kielewa na namna huwa inafanyika ndio itapinga na kutoa muongozo wa namna huwa kinafanyika sio useme tu hakuna kitu na unakimbia.
Wanaweza wakaprint recklessly so as long as dunia inaikubali kama international currency, inakuwa ni kama tunawakopesha hivi kwa kukubali pesa yao, ila siku tukisema tuwarudishie wote pesa zao kwa mpigo watuoe mali, huduma au dhahabu, ile nchi inakuwa bankrupt siku hiyo hiyo, deni lao kinakaribioa dollar trillion 30 sasa, wanafikia debt ceiling, deni lao halitahimilika tena, na dunia wanaweza wakaigomea dollar yaoNgoja nikueleweshe kwanza kidogo..
Sio kwamba nguvu ya USA inatokana na ku print dollar.
Unapozungumzia ku print dollar maana yake unazungumzia money supply ambayo kwa zaidi ya asilia 80 ipo determined na credit creation from commercial banks.
Amabacho unakiona kwa sasa kule US kwamba Fed wana print pesa, ni kwamba ile monetary policy expansion ambayo lengo lake haswa ni kuongeza deposits kwa commercial banks ile ziwe na uwezo wa ku lend more na haina maana ya reckless printing of money.
kingine pia ni kwamba, serikali inavoprint pesa kupitia central bank maana yake ni kwamba wana create liability ambayo itabidi ije kulipwa huko baadae.
Na impact kubwa ya ku create liability ya kuprint pesa kuliko uwezo wa uzalishaji wa uchumi maana yake ni kwamba una create inflationary pressure ambayo ni mbaya zaidi kwenye uchumi.
For the case of US, sasa hivi kuna pressure kubwa ya build up in inflation kutokana na hiyo expansionary monetary policy niliyoisema hapo juu, na kwa sasa headache kubwa ya Fed ni namna ya kupunguza inflation pressure ambayo ipo wazi kwa sasa.
So sio kweli kwamba US wana print dollar recklessly sio rahisi hivo
Haikubaliki kama international currency, hivyo itashuka thamaniKwa hiyo na sisi tuanze kuprint tsh
Ova
Unachokisema pia kina limitation fulani.. kwa sababu Fed wanavo print pesa wana create liability, ni lazima hiyo liability iwe backed na asset. Kwa hiyo kinachofanyika ni kwamba Treasury huwa wana issue bonds na notes ambazo kwa mara ya kwanza Fed watazinunua hizo na kuwapatia treasury hizo dollar walizo print. Lakini kwa kuwa Marekani ana trade deficits kubwa, amekuwa sasa akitumia hizo dollar ku funds deficit ambazo zimekuwa zinaishia China...Wanaweza wakaprint recklessly so as long as dunia inaikubali kama international currency, inakuwa ni kama tunawakopesha hivi kwa kukubali pesa yao, ila siku tukisema tuwarudishie wote pesa zao kwa mpigo watuoe mali, huduma au dhahabu, ile nchi inakuwa bankrupt siku hiyo hiyo, deni lao kinakaribioa dollar trillion 30 sasa, wanafikia debt ceiling, deni lao halitahimilika tena, na dunia wanaweza wakaigomea dollar yao
Sio kweli , dollar ni hard carrency hata wakiprint bado kwao itakuwa na dhanani kwa kuwa bado inahitaji sana kumbuka mafuta yana nunuliwa kwa dollarZote ni printable, kama volume ni issue haijali jina.
Hiiiiii!
Actually kihiyo ni weye!
Kama nguvu ya kiuchumi inatokana na kuprint Hela ya nchi, Tz tunashindwa wapi?Wamarekani ni watu wajanja Sana, kwakuwa wameshikilia currency ya dunia basi wataendelea kuwa namba moja kiuchumi,
1. Bajeti yao ikipungua wanaprint dollar, feds
2. Wakipata msukosuko wanaprint dollar
3.wanaprint Dolla wanakukopesha
4. Mabenki yao yakiyumba wanaprint dollar wanawapa
Sasa wachina wanajaribu kila namna kuua dominance ya Dolla Ila unakuwa ngumu Sana na hawawezi kuprint mahela yao Kama marekani.
Marekani akiamua uendelee anaprint Dolla anakupa, kwahiyo nguvu ya marekani si ya kijeshi au kiteknolojia Wala kufedha, nguvu yake ni kwakuwa anacontroll Dolla Hilo tu
Yeah Kuna kaujanja wanatumia, ur very right na umeeleza sawaUnachokisema pia kina limitation fulani.. kwa sababu Fed wanavo print pesa wana create liability, ni lazima hiyo liability iwe backed na asset. Kwa hiyo kinachofanyika ni kwamba Treasury huwa wana issue bonds na notes ambazo kwa mara ya kwanza Fed watazinunua hizo na kuwapatia treasury hizo dollar walizo print. Lakini kwa kuwa Marekani ana trade deficits kubwa, amekuwa sasa akitumia hizo dollar ku funds deficit ambazo zimekuwa zinaishia China...
So hapo pia kuna trick, China pia hawezi kuiamini dollar kama storage of value ikiwa US ana print recklessly kwa sababu endapo akigundua hivo, atauza hizo dollar reserve kitu ambacho kitafanya thamani ya dollar ishuke. Ndo mana nashikilia msimamo kwamba sio rahisi kama inavodhania kusema kwamba US anauwezo wa ku print recklessly, itakuwa ni disaster.
Ngoja nikueleweshe kwanza kidogo..
Sio kwamba nguvu ya USA inatokana na ku print dollar.
Unapozungumzia ku print dollar maana yake unazungumzia money supply ambayo kwa zaidi ya asilia 80 ipo determined na credit creation from commercial banks.
Amabacho unakiona kwa sasa kule US kwamba Fed wana print pesa, ni kwamba ile monetary policy expansion ambayo lengo lake haswa ni kuongeza deposits kwa commercial banks ile ziwe na uwezo wa ku lend more na haina maana ya reckless printing of money.
kingine pia ni kwamba, serikali inavoprint pesa kupitia central bank maana yake ni kwamba wana create liability ambayo itabidi ije kulipwa huko baadae.
Na impact kubwa ya ku create liability ya kuprint pesa kuliko uwezo wa uzalishaji wa uchumi maana yake ni kwamba una create inflationary pressure ambayo ni mbaya zaidi kwenye uchumi.
For the case of US, sasa hivi kuna pressure kubwa ya build up in inflation kutokana na hiyo expansionary monetary policy niliyoisema hapo juu, na kwa sasa headache kubwa ya Fed ni namna ya kupunguza inflation pressure ambayo ipo wazi kwa sasa.
So sio kweli kwamba US wana print dollar recklessly sio rahisi hivo
Post #30 kuna mtu nimemjibu swali kama lakoUnataka kuniambia Marekani ya sasaiv ni sawa na ya Iddy Amini, akijisikia tu anaprint dola?
Wasio na dhahabu watanunua dhahabukufanya Biashara kwa kutumia dhahabu ni analogy idea.
dunia inakwenda mbele uwezi irudisha nyuma hata dola ikianguka ni lazima sarafu mbadala isimame katika biashara ya kimataifa.
unataka utumie dhahabu kufanya biashara na nchi zisizo nadhazabu watumie nini?.
Kama kinacholetwa kinapingana na logic wewe unajuaje kinapingana kama kina pingana njoo na ile lojic nayoijua wewe, Nakwambia kama hujui kama unavyo sema sio hoja ya kuleta hapa kwenye uzi, ukija kwenye uzi njoo na jibu sahihi, maneno mengi hata huelewi majibu yake na usahihi ya nini sasa, njoo na jibu utueleweshe kwakuwa unajua au unaelewa bhana.to make a long story short sijui ila mimi kutojua hakufanyi jibu lako liwe sahihi. ninaweza nisijue 1 + 1 = 2 ila ukiniambia ni 11 nitakataa.
nitakataa si kwasababu ninajua jibu ni 2, nitakaa kwasababu ya logic.
Ulichokiandika kinapingana na logic
Hii wala haihitaji maelezo ya kitaalam sana maana wengi hawataelewaUnachokisema pia kina limitation fulani.. kwa sababu Fed wanavo print pesa wana create liability, ni lazima hiyo liability iwe backed na asset. Kwa hiyo kinachofanyika ni kwamba Treasury huwa wana issue bonds na notes ambazo kwa mara ya kwanza Fed watazinunua hizo na kuwapatia treasury hizo dollar walizo print. Lakini kwa kuwa Marekani ana trade deficits kubwa, amekuwa sasa akitumia hizo dollar ku funds deficit ambazo zimekuwa zinaishia China...
So hapo pia kuna trick, China pia hawezi kuiamini dollar kama storage of value ikiwa US ana print recklessly kwa sababu endapo akigundua hivo, atauza hizo dollar reserve kitu ambacho kitafanya thamani ya dollar ishuke. Ndo mana nashikilia msimamo kwamba sio rahisi kama inavodhania kusema kwamba US anauwezo wa ku print recklessly, itakuwa ni disaster.
Hizi nadharia wanazofikiria wachangiaji wengi humu, kwamba POTUS ana mamlaka ya kuprint tu pesa bila sabab za msingi zaa kiuchumi kilikuwepo enzi na enzi.Taaluma za watu zimeivamiwa. Mambo ya currency sana wenyewe. Hayako obvious kama unavyodhani mkuu.
Kumbuka mambo ya nyungu na chanjo na kina Gwajiboy. Notice ile ile bahari tofauti tu.
Kama hivyo Iddi Amini angefaulu kwenye agenda yake iliyo kama yako.
Unaonaje Tanzania labda ingeiga maoni kama yako mkuu ili kuwa Donor country kweri kweri?
Sio kweli , dollar ni hard carrency hata wakiprint bado kwao itakuwa na dhanani kwa kuwa bado inahitaji sana kumbuka mafuta yana nunuliwa kwa dollar
una jua nini kuhusu logic, Chief ? ukisikia logic unauelewa nini?.Kama kinacholetwa kinapingana na logic wewe unajuaje kinapingana kama kina pingana njoo na ile lojic nayoijua wewe, Nakwambia kama hujui kama unavyo sema sio hoja ya kuleta hapa kwenye uzi, ukija kwenye uzi njoo na jibu sahihi, maneno mengi hata huelewi majibu yake na usahihi ya nini sasa, njoo na jibu utueleweshe kwakuwa unajua au unaelewa bhana.
Hizi nadharia wanazofikiria wachangiaji wengi humu, kwamba POTUS ana mamlaka ya kuprint tu pesa bila sabab za msingi zaa kiuchumi kilikuwepo enzi na enzi.
Abraham Lincolin aliwahi kutaka kufanya the same thing baada ya serikali kuelemewa na madeni ya Akina Rostchild, lakin alikutana na kizingiti.
Laiti ingekuwa serikali ya US inajiamulia tu kuprint, wangeprint kipindi hiki ambacho Fed Govt ipo kweny mstari wa kukosa hela mpaka wakaomba approval ya Senate ili wakope zaidi. Ingekuwa ni rahisi kama wengi wanavyofikiri basi wasingeomba Approval ya kukopa.
Kasome tena hakuna nchi inayojitengenezea pesa yake yenyewe duniani pesa zote zinatengenezwa uswisi near vatican .Wamarekani ni watu wajanja Sana, kwakuwa wameshikilia currency ya dunia basi wataendelea kuwa namba moja kiuchumi,
1. Bajeti yao ikipungua wanaprint dollar, feds
2. Wakipata msukosuko wanaprint dollar
3.wanaprint Dolla wanakukopesha
4. Mabenki yao yakiyumba wanaprint dollar wanawapa
Sasa wachina wanajaribu kila namna kuua dominance ya Dolla Ila unakuwa ngumu Sana na hawawezi kuprint mahela yao Kama marekani.
Marekani akiamua uendelee anaprint Dolla anakupa, kwahiyo nguvu ya marekani si ya kijeshi au kiteknolojia Wala kufedha, nguvu yake ni kwakuwa anacontroll Dolla Hilo tu
Kwahiyo kumbe Cheyo alikuwa sahihi aliposema atatujaza mapesa?Nadhani wana wachumi wajanja sana, ujue fedha tunazoomba sisi za misaada si fedha za mifukoni kwao, ili dollar zao zibaki intact bila kuongezeka wala kupungua, mnaomba misaada mna printiwa mnapewa ili ziue nguvu ya fedha zenu zakwao ziwe na nguvu hko kwenu na wanajua fedha wanazowapa zitabaki kwenye mzunguko huko kwenu, huu utaalam wa ku balance kila kona ni mzuri sana wana hakikisha fedha zao hazipo nyingi kwenye ma soko ya fedha ya ndani kwao na hazipungui, wapo wenye kazi hiyo maalum, sisi kwetu akili hiyo hatuna tungeweza kuwa donor country pia tuna print tunagawa misaada ila pesa zisirudi ndani sasa tanzania tunaogopa fedha kuwa nyingi nchini zinaweza zikashusha thamani ya safaru, maana hata tu ki print kwa ajili ya miradi bado itakuwa vurgu maana zitakuwa nyingi sana. dawa nyingine ni ku print kuwapa wafanya biashara mikopo pale tu waendapo nje ya nchi na kuwatumishia huko lakini bado tutahitaji kununua dola au pound halafu shilingi zinarudi tena tanzania bado ni hovyo cha msingi ni kuipa fedha zetu thamani kubwa sana ili zikubaliwe na mataifa mengine na zizagae huko tuwe tunawapa nje ya nchi nao wawe nazo hko zisibaki tu nchini zisiwe na pa kwenda.