Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Nikiuliza bei ya kiroba cha mihogo sokoni niliambiwa ni 70,000-80,000. Inamaana ukiwa na heka tano za mihogo Kisarawe, na una van ndogo inayoweza kubeba viroba vinne kwa siku. Una uwezo wa kuingiza laki tatu kila siku ukipelela mihogo soko la ndizi asubuhi.
Jioni unawapa vijana viroba wakachimbe mihogo, anaekuletea kiroba kimejaa unampa 4,000. Unako ng’oa unasafisha na kupanda mingine.
Kinachokwamisha hapa ni jinsi ya kupata van. Kilimo kinahitaji uwekezaji. Ukiwa na mtaji wa kutosha ni rahisi kufanikiwa kwa kilimo.
Jioni unawapa vijana viroba wakachimbe mihogo, anaekuletea kiroba kimejaa unampa 4,000. Unako ng’oa unasafisha na kupanda mingine.
Kinachokwamisha hapa ni jinsi ya kupata van. Kilimo kinahitaji uwekezaji. Ukiwa na mtaji wa kutosha ni rahisi kufanikiwa kwa kilimo.