Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Weweeeeeee.....mbona sikupati.
Unajua nataka kukufananisha.
nakumbuka nilianza mahusiano na Saidi Mbelenje, tulikutana ndani ya basi la Wifi enzi nasoma Ligula, ukoo mkubwa lakini watoto wao wa kiume woooote madomo zege.
Sheila, Mustapha, Jaida wote hao nilikuwa nawajua.
Said Mbelenje ndo mmiliki wa Ile Mtwara Raha...ni restaurant flani iko poa,pia anamiliki Stationary palepale maeneo ya SKOYA...lol kumbe ndo kimada wako X kipindi kile, safi sana Madame
 
Mwl. Manento Jamanii si ndio kafiwa na babake yule muigizaji wa kaole Mzee Manento R.I.P. Alihama Ligula na kuhamia Shule ya msingi Mwenge Iko Tabora.. sijui bado yupo huko au yuko mjini.. Nampenda sana huyu mwalimu alitufundisha English shule na tuition zake kila jumamosi pale Pentecoste dah
Dah bora umenifungua macho, sikujua kama yule Muigizaji (manento-RIP) ni baba wa hyu Mwl...ok weldone
 
Ligula imetoa wengi tu D. Knob kapitia pale. Marehemu Rehema Mwakangale pia kapitia pale.. Mh Sugu naye kapitia pale St 1 - 4 ndio akaenda Mbeya then akarudi form three pale Sabasaba na kumalizia form four pia palepale.
Umekumbusha historia nzuri sana...I remember that
 
Hahaaa Chinga jamani umepita mulemule Napome wote nawajua hadi yule mdogo Kesi Napome, Ahmad Watanga bado yupo nadhani anafanya Safari Radio product ya Ligula hiyo mkali wa basketi Sabasaba japo alikuwa mfupi, Oscar Dubwe alikuwa mtani wangu mkubwa anakaa jirani na kwa mzee Kachepa mitaa ileile ya kwa Lungu,Vero Lungu na Desi wote nawapata.. Zaina Mtingita nimecheza nae sana kwao palikuwa ni jirani na kwa Mzee Kazimoto na kwakina Deo Msaki hahaaa ule mtaa sijui nimemsahau nani.

Zainabu mtingita bonge la mtu,pale nyuma kulikua na jamaa paulo sufiani,kule karibia kwa napome nyumba ya njano kuna jamaa flani anaitwa haji nani sijui blazameni flani hivi walihama lakini,halafu ukienda kule bondeni kulikua na mujengwa family,pale mkwajuni karibia na kwakina deo msaki kulikilua na jamaa sheha musa ha ha ha,na hamisi pale mbuyuni,kuna kota moja pale walikua wanakaa wakina hashimu kamchacho daah those days kwa kweli ilikua raha sana.
 
Weweeeeeee.....mbona sikupati.
Unajua nataka kukufananisha.
nakumbuka nilianza mahusiano na Saidi Mbelenje, tulikutana ndani ya basi la Wifi enzi nasoma Ligula, ukoo mkubwa lakini watoto wao wa kiume woooote madomo zege.
Sheila, Mustapha, Jaida wote hao nilikuwa nawajua.
ha ha ha unajua kuna siku ulisema magamba ni kwenu,nikavuta picha ulivyosema ulikua una kaa maeneo ya kotaz pale za tra then ulikua unasoma sabasaba ukahama,hapa nikawa namkumbuka dada mmoja bonge kias mweusi kias alikua anaitwa D......sema yeye hakua mjanja sana halafu alihamia ligula aka faulu sabasaba.
 
yaani hizi fake Id acha tu.
Halafu mbaya zaidi nimesoma darasa moja na Chinga One.... ila kutokana na id, sijui kama nitamjua

qn of sheba nimecheza nae kundi moja, mtaa mmoja ila pia kutokana na fake Id, eti simfahamu jamani

ha ha ha yani kutokana na maelezo yako mi nishakujua tayari.
 
Last edited by a moderator:
DODI sijasikia kama kafa manake alijiendeleza akawa mkufunzi pale TTC, labda manake sikuhizi mambo ni mengi sana

alinieleza mwalimu masari mwaka jana nilikua nae mtwara nilienda ligula,ila siku hizi pamekauka hapo hakuna hata maua daah.
 
Hahahahaha......sasa nyumba ya baba Hanifa hii
yetu ilikuwa ile ya nyuma yake, Baba Hanifa alikuwa na mwanae Saidi, mwembambaaaaaa, hahahaha maskini bikira yangu, Saidi mbaya weweeee....hahahhaha.
Nasikia pacha mmoja alifariki jamani aliumwa.
Unakumbuka tulipokuwa tunacheza rede ya vipande?...kuleeeeee kwenye mwembe karibu na kwa Mzee Mwakyoma

Mzee mwakyoma ha ha ha sijui yupo na yule mwanae Gwamaka sijui alikua anasoma sabasaba. daah Madam B ramadhani shemtandulo una mkumbuka?
 
Last edited by a moderator:
Yaani hapahapa Public ndo pananoga...hatuendi chemba wala nini...!!

Dah bora umenifungua macho, sikujua kama yule Muigizaji (manento-RIP) ni baba wa hyu Mwl...ok weldone

Hahaha public ndio pananoga lol!

Yeah huyo mzee alikuwa anakaa mtwara zamani sijui alikuwa nani nani kwenye mambo ya polisi polisi huko ndio watoto wake mmoja wapo ndio huyo mwalimu manento me niliambiwaga zamani nyumbani ila sikuamini kumbe ni kweli aisee.
 
Hahaha public ndio pananoga lol!

Yeah huyo mzee alikuwa anakaa mtwara zamani sijui alikuwa nani nani kwenye mambo ya polisi polisi huko ndio watoto wake mmoja wapo ndio huyo mwalimu manento me niliambiwaga zamani nyumbani ila sikuamini kumbe ni kweli aisee.

sure alikuaga rpc kama sikosei nadhani baada ya kustaafu ndio aka amua awe muigzaji tu si unajua maisha ya polisi enzi hizo kulikua hakuna ufisadi kama siku hizi.
 
Zainabu mtingita bonge la mtu,pale nyuma kulikua na jamaa paulo sufiani,kule karibia kwa napome nyumba ya njano kuna jamaa flani anaitwa haji nani sijui blazameni flani hivi walihama lakini,halafu ukienda kule bondeni kulikua na mujengwa family,pale mkwajuni karibia na kwakina deo msaki kulikilua na jamaa sheha musa ha ha ha,na hamisi pale mbuyuni,kuna kota moja pale walikua wanakaa wakina hashimu kamchacho daah those days kwa kweli ilikua raha sana.

Zaina tulikuwa tunamuita Dubwe yeye na Oska.. Huyo unayemsema anaitwa Haji mwanga ana mdogo wake anaitwa azizi walikuwa wanakaa opposite na kwa napome jirani na nyumba yake marehemu mzee mtingita. Kwa mujegwa yeah napajua kwakina bwinda na jirani yao alikuwa marehemu babu fimbo alikuwa anakujaga mashuleni na mjukuu wake james anamuongelesha kingleza basi watoto wa kayumba tulikuwa tunamuoneaje gere hahaha.
 
kwani hilo basi linamilikiwa na rizwani

Naona hujasoma mada, umekurupuka!

Soma "mkoa ule ambao miaka ya nyuma inasemekana ni mkoa uliosahaulika".


Kama mleta mada anakiri kipindi hiki ndio umekubukwa ni na nani wa kukumbukwa kwa kuukumbuka mkoa uliokuwa umesahaulika? hakuna zaidi ya baba Ridhwan.
 
alinieleza mwalimu masari mwaka jana nilikua nae mtwara nilienda ligula,ila siku hizi pamekauka hapo hakuna hata maua daah.

Mzee mwakyoma ha ha ha sijui yupo na yule mwanae Gwamaka sijui alikua anasoma sabasaba. daah Madam B ramadhani shemtandulo una mkumbuka?

Mwl. Masali kumbe bado yupo me nimechukua cheti changu cha la saba mwaka jana mwl. Fundi alinisaidia kukipata ila sikwenda mwenyewe.

Kumbe Chinga One ndio umesoma na akina Rama Sabasaba
 
Last edited by a moderator:
Mwl. Masali kumbe bado yupo me nimechukua cheti changu cha la saba mwaka jana mwl. Fundi alinisaidia kukipata ila sikwenda mwenyewe.

Kumbe Chinga One ndio umesoma na akina Rama Sabasaba

yaah ndio intake yetu hiyo.
 
Last edited by a moderator:
Zaina tulikuwa tunamuita Dubwe yeye na Oska.. Huyo unayemsema anaitwa Haji mwanga ana mdogo wake anaitwa azizi walikuwa wanakaa opposite na kwa napome jirani na nyumba yake marehemu mzee mtingita. Kwa mujegwa yeah napajua kwakina bwinda na jirani yao alikuwa marehemu babu fimbo alikuwa anakujaga mashuleni na mjukuu wake james anamuongelesha kingleza basi watoto wa kayumba tulikuwa tunamuoneaje gere hahaha.

babu fimbo giant flani pande la mtu kaenda hewani,palebkwa kina maiko milanzi siku hizi pame chakaa kinoma pemben yake kuna mzee sudi daah hatari sana.
 
Back
Top Bottom