Said Mbelenje ndo mmiliki wa Ile Mtwara Raha...ni restaurant flani iko poa,pia anamiliki Stationary palepale maeneo ya SKOYA...lol kumbe ndo kimada wako X kipindi kile, safi sana MadameWeweeeeeee.....mbona sikupati.
Unajua nataka kukufananisha.
nakumbuka nilianza mahusiano na Saidi Mbelenje, tulikutana ndani ya basi la Wifi enzi nasoma Ligula, ukoo mkubwa lakini watoto wao wa kiume woooote madomo zege.
Sheila, Mustapha, Jaida wote hao nilikuwa nawajua.
Hahahaaaaa,tehe teheeheee,hiiihihiiii we hembu sogea kwanza kuleee, tupo kukaya hapaHapa harufu ya Ntwara tuu. Muwe basi mnatutafsiria hiyo misamiati ya kunazi, mingoko, samaki nchanga nk
Dah bora umenifungua macho, sikujua kama yule Muigizaji (manento-RIP) ni baba wa hyu Mwl...ok weldoneMwl. Manento Jamanii si ndio kafiwa na babake yule muigizaji wa kaole Mzee Manento R.I.P. Alihama Ligula na kuhamia Shule ya msingi Mwenge Iko Tabora.. sijui bado yupo huko au yuko mjini.. Nampenda sana huyu mwalimu alitufundisha English shule na tuition zake kila jumamosi pale Pentecoste dah
Umekumbusha historia nzuri sana...I remember thatLigula imetoa wengi tu D. Knob kapitia pale. Marehemu Rehema Mwakangale pia kapitia pale.. Mh Sugu naye kapitia pale St 1 - 4 ndio akaenda Mbeya then akarudi form three pale Sabasaba na kumalizia form four pia palepale.
Hahaaa Chinga jamani umepita mulemule Napome wote nawajua hadi yule mdogo Kesi Napome, Ahmad Watanga bado yupo nadhani anafanya Safari Radio product ya Ligula hiyo mkali wa basketi Sabasaba japo alikuwa mfupi, Oscar Dubwe alikuwa mtani wangu mkubwa anakaa jirani na kwa mzee Kachepa mitaa ileile ya kwa Lungu,Vero Lungu na Desi wote nawapata.. Zaina Mtingita nimecheza nae sana kwao palikuwa ni jirani na kwa Mzee Kazimoto na kwakina Deo Msaki hahaaa ule mtaa sijui nimemsahau nani.
ha ha ha unajua kuna siku ulisema magamba ni kwenu,nikavuta picha ulivyosema ulikua una kaa maeneo ya kotaz pale za tra then ulikua unasoma sabasaba ukahama,hapa nikawa namkumbuka dada mmoja bonge kias mweusi kias alikua anaitwa D......sema yeye hakua mjanja sana halafu alihamia ligula aka faulu sabasaba.Weweeeeeee.....mbona sikupati.
Unajua nataka kukufananisha.
nakumbuka nilianza mahusiano na Saidi Mbelenje, tulikutana ndani ya basi la Wifi enzi nasoma Ligula, ukoo mkubwa lakini watoto wao wa kiume woooote madomo zege.
Sheila, Mustapha, Jaida wote hao nilikuwa nawajua.
Asha VanDamme tulikuwa nae darasa moja.
Msichana mmoja kakomaa mpaka nywele.
yaani hizi fake Id acha tu.
Halafu mbaya zaidi nimesoma darasa moja na Chinga One.... ila kutokana na id, sijui kama nitamjua
qn of sheba nimecheza nae kundi moja, mtaa mmoja ila pia kutokana na fake Id, eti simfahamu jamani
DODI sijasikia kama kafa manake alijiendeleza akawa mkufunzi pale TTC, labda manake sikuhizi mambo ni mengi sana
Hahahahaha......sasa nyumba ya baba Hanifa hii
yetu ilikuwa ile ya nyuma yake, Baba Hanifa alikuwa na mwanae Saidi, mwembambaaaaaa, hahahaha maskini bikira yangu, Saidi mbaya weweeee....hahahhaha.
Nasikia pacha mmoja alifariki jamani aliumwa.
Unakumbuka tulipokuwa tunacheza rede ya vipande?...kuleeeeee kwenye mwembe karibu na kwa Mzee Mwakyoma
....haahahah ni pm tu mwaya...manake ukute mie dada yako
Yaani hapahapa Public ndo pananoga...hatuendi chemba wala nini...!!
Dah bora umenifungua macho, sikujua kama yule Muigizaji (manento-RIP) ni baba wa hyu Mwl...ok weldone
Hahaha public ndio pananoga lol!
Yeah huyo mzee alikuwa anakaa mtwara zamani sijui alikuwa nani nani kwenye mambo ya polisi polisi huko ndio watoto wake mmoja wapo ndio huyo mwalimu manento me niliambiwaga zamani nyumbani ila sikuamini kumbe ni kweli aisee.
Zainabu mtingita bonge la mtu,pale nyuma kulikua na jamaa paulo sufiani,kule karibia kwa napome nyumba ya njano kuna jamaa flani anaitwa haji nani sijui blazameni flani hivi walihama lakini,halafu ukienda kule bondeni kulikua na mujengwa family,pale mkwajuni karibia na kwakina deo msaki kulikilua na jamaa sheha musa ha ha ha,na hamisi pale mbuyuni,kuna kota moja pale walikua wanakaa wakina hashimu kamchacho daah those days kwa kweli ilikua raha sana.
kwani hilo basi linamilikiwa na rizwani
alinieleza mwalimu masari mwaka jana nilikua nae mtwara nilienda ligula,ila siku hizi pamekauka hapo hakuna hata maua daah.
Mzee mwakyoma ha ha ha sijui yupo na yule mwanae Gwamaka sijui alikua anasoma sabasaba. daah Madam B ramadhani shemtandulo una mkumbuka?
Mwl. Masali kumbe bado yupo me nimechukua cheti changu cha la saba mwaka jana mwl. Fundi alinisaidia kukipata ila sikwenda mwenyewe.
Kumbe Chinga One ndio umesoma na akina Rama Sabasaba
Zaina tulikuwa tunamuita Dubwe yeye na Oska.. Huyo unayemsema anaitwa Haji mwanga ana mdogo wake anaitwa azizi walikuwa wanakaa opposite na kwa napome jirani na nyumba yake marehemu mzee mtingita. Kwa mujegwa yeah napajua kwakina bwinda na jirani yao alikuwa marehemu babu fimbo alikuwa anakujaga mashuleni na mjukuu wake james anamuongelesha kingleza basi watoto wa kayumba tulikuwa tunamuoneaje gere hahaha.