Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho


Ulipanda bus bovu 2007 mbona tulikuwa tunafika saa kumi au tisa
 
Reactions: awp

Umenikumbusha mbali Baba alipoamishiwa Masasi mweeh siku tunamfata nilitamani kulia nilipanda wahida tulisafiri siku tatu kulikuwa na mvua
Nafika nangurukuru nataka kujisaidia nimelipa naoneshwa chini sikula kitu zaidi ya keki.
Sasa hivi mambo mswano
 
Ulipanda bus bovu 2007 mbona tulikuwa tunafika saa kumi au tisa

Inawezekana...manake wakati wa kurudi nilirudi na Wahida trans na nikafika huku saa kumi na moja...ila ubovu wa barabara pia ulichangia.....karibia safari nzima tulikuwa tunapita kwenye zile reserve...barabara ilikuwa inatengenezwa...nilifika na vumbi hadi kwenye kope...
 

Hahahaha madame B umesoma mtwara girls au masasi girls
 
2007 barabara ilikuwa nzuri mbona labda somanga maana miaka hiyo nilikuwa nasoma Moshi na sikuwahi kufika usiku ni jioni. Miaka hiyo bus zilikuwa wahida, najma ni wakali wa rough road wakaja. Maana wahida inatoka tunduru inafika dar saa kumi na moja
 

Kikwete hoyeeeeeeeeeeee
 
Kikwete hoyeeeeeeeeeeee

kwa kweli kikwete hana mkono kwenye hii road, japokuwa ana mchango mkubwa sana kwa kuziunganisha barabara kuu za Tz kwa kipindi chake, ila kwa suala la gas ameiua kbs ccm mkoani mtwara
 
Hivi huo ugonjwa Wa kusahau sahau mbona unakukabili kwa kasi namna hiyo? Hiyo ni kazi ya Mkapa na Magufuri (Rais mpendekezwa).
Swadakta, hiyo like niliyokupa kwenye kitufe haitoshi ongeza na hiyo. huwa nashangaa hongera wanampa kiwete kwa lipi coz muhusika ni che benja
 
2007 barabara ilikuwa nzuri mbona labda somanga maana miaka hiyo nilikuwa nasoma Moshi na sikuwahi kufika usiku ni jioni. Miaka hiyo bus zilikuwa wahida, najma ni wakali wa rough road wakaja. Maana wahida inatoka tunduru inafika dar saa kumi na moja

2007 barabara ilikuwa nzuri? una masikhara wewe....labda ilikuwa nzuri ukilinganisha na kipindi hicho watu wanalala siku 3 njiani...ila ilikuwa mbovu, tena ndo inajengwa...gari zilikuwa zinakwama kama kawa...
 
kuna lingine la kwenda Newala limeanza safari kama mwezi sasa lina hadi huduma ya internet ndani...
LEO LUXURY...

Newala ndo home, Nimepanda hili basi wiki mbili zilizopita, unatoka dar saa 12 asubuhi unaingia newala saa 8 mchana.
 
Aya ndugu zangu wote au vanamilume voohe kwa yoyote atakayotaka kuja Arusha mi niko tayari kumpokea na kumuonyesha kule aendako,
 
Kikwete ameingia ameingia madarakani amekuta km. 60 hazijakamilika

na mpk sasa haijakamilika

ndo kwanza anamwaga lami bagamoyo....

Bandari ya mtwara hakuna hela za kuboresha

ila kuna hela ya kujenga bandari mpya bagamoyo tehhhh
 

hivi viwanja kule msangamkuu vinapatikana?una connection yoyote kule?
 
hivi viwanja kule msangamkuu vinapatikana?una connection yoyote kule?

msangamkuu bado kumepoa nafikiri unaweza pata kiwanja kirahisi kule, sijafika uko muda sasa tatizo kubwa kule ni inflastructure ya maji na umeme lkn km una nguvu kule sehemu kuwekeza kwa biashara kitalii, pia ukumbuke kuwa wakazi wa kule wamaraba wana maisha ya uswahili swahili
 

Mkuu Chingas wale wenyeji kuwa na maisha ya kiswahili hakutazuia maendelea kuingia msangamkuu,kununua kiwanja kule inawezekana?wale wenyeji wote watahamishwa na wenye pesa zao
 
Mkuu Chingas wale wenyeji kuwa na maisha ya kiswahili hakutazuia maendelea kuingia msangamkuu,kununua kiwanja kule inawezekana?wale wenyeji wote watahamishwa na wenye pesa zao

bac fanya hima uwai maana akina dangote akuwafai kule kwa vile ni kisiwani japokuwa magari yanafika kwa kuzunguka
 
mkapa tunakukumbuka maana kilometa 60 zinajengwa miaka kumi yote ya kikwete wastani wa kilometa sita kila mwaka!!!
kwa barabara ya kusini kikwete wala sikushukuru
 
mkapa na magufuli pongezi kwenu. huyu kikwete kwenye utawala wake wa miaka 9 sasa ameshindwa kumalizia zile km 60

kweli kabisa kikwete hana lolote zaidi ya kuondoa gesi yetu kupeleka kwao uzaramoni
maana wamwela na wamakonde they dont deserve to have gas
but one day u gonna pay this we swear
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…