alma gemela
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 842
- 280
Mwaka 2007 nilienda Masasi...sehemu kubwa ya barabara ilikuwa inajengwa...yani tulitoka Dar asubuhi tukafika Masasi saa Mbili usiku...nilipanda Akida trans, siti mbovu...nilifika makalio yote hayafanyi kazi...
Ila siku hizi kitu Najma...saa nane mchana nivee kukayaaa ninkutauna ming'oko.....!
Ulipanda bus bovu 2007 mbona tulikuwa tunafika saa kumi au tisa