Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho


hahaaa uvee kukaya unatauna ming'oko
mipa ming'oko iiii
kwa masasi na nachingwea zipo NAJMA NA GAMET
MTWARA ZIPO MANING,BUTI LA ZUNGU,MACHINGA,FIVE ALLIANCE,JM NA MOJA NIMESAHAU HIZO NDO UHAKIKA NA SAFARI
NEWALA kuna IBRA NA LEO
LINDI MJINI kuna SADIA
 
Hahahaaa tena juzi kaka angu kanikumbusha kuhusu Mv Safari....yani meli ukipanda tu unaanza kutapikia mlangoni...Khaaaa...

Ila me nlikuwa ngangari nakula kila kitu ns sitapikii......tumetoka mbaliii...

Hahahah.... Kim nana, mie nilikuwa natapikia mlangoni kwa kweli.
Aisee ila ile meli acha tu.
 
Last edited by a moderator:

shoga angu mtwara unaijua wewe?sikuelewi
 

Sasa hivi maisha ghali sana hasa kutokana na huu mradi wa gesi.
Sio kama enzi zileeeee
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha Umeniwahi alma gemela kuuliza hilo swali. yaani haya mimi kanikumbusha mbali sana - enzi hizo nipo Mtwara girls

Kumbeeee, basi tulikuwa wote kwa mama Mshana, mama wa kichaga aliyekosa miguu lakini hodari kwa kuvaa vimini.
CC: MMAHE
 
Last edited by a moderator:
Kikwete ameingia ameingia madarakani amekuta km. 60 hazijakamilika

na mpk sasa haijakamilika

ndo kwanza anamwaga lami bagamoyo....

Bandari ya mtwara hakuna hela za kuboresha

ila kuna hela ya kujenga bandari mpya bagamoyo tehhhh

umeona eeeh!!
kikwete hana mchango wowote akalale mbele 60kms for 9 yrs?
msifieni barabara ya kwenda kanda ya ziwa ila kusini big nooooook
 
hivi viwanja kule msangamkuu vinapatikana?una connection yoyote kule?

wamebeba wazungu vingii sana asa hv viko juu
mi nilikua mtwara kikazi nimehama ila naweza nikakuulizia maana hua naendaga
 
umeona eeeh!!
kikwete hana mchango wowote akalale mbele 60kms for 9 yrs?
msifieni barabara ya kwenda kanda ya ziwa ila kusini big nooooook

Ila kile kipande, soon kitaisha maana mwezi Juni walikuwa wanamwaga mkeka rafu
 
wanakera kweli halafu barabara ile kila siku inajingwa hasa kutoka somanga kuelekea nangurukuru

Yaani kile kipande nyoko kweli, mie nikifika pale lazima nisimame maana naogopa kupasuka makalio yangu....kipande hakiishi tu.
 
Reactions: awp
Barabara yote imekamilika kwa lami?

Bado sehemu ndogo toka Mohoro hadi Somanga kwa taarifa nilizonazo. Siku hizi kuna Bus za Mtwara na Lindi zinafanya zinaenda na kurudi siku hiyo hiyo!
 

Hahaha mkuu bhana hilo basi linaitwaje?umenikumbusha safari yangu ya kutoka Mwanza-Dar nilipanda basi liko kama an aeroplane,huwa sina mazoea ya kulala safarini lakini muda huu sehemu kubwa ya safari nilikuwa fofofo.
 
Kumbeeee, basi tulikuwa wote kwa mama Mshana, mama wa kichaga aliyekosa miguu lakini hodari kwa kuvaa vimini.
CC: MMAHE
mmm Madame B, alikuwa mshana au mgana.... mwalimu lyuki, Aloyce na somebodey kaganda. na yule wa kifaransa aliyeshuka midomo alikuwa nani? Aloyce sasa yupo Morogoro.....
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…