Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Mwaka 2007 nilienda Masasi...sehemu kubwa ya barabara ilikuwa inajengwa...yani tulitoka Dar asubuhi tukafika Masasi saa Mbili usiku...nilipanda Akida trans, siti mbovu...nilifika makalio yote hayafanyi kazi...
Ila siku hizi kitu Najma...saa nane mchana nivee kukayaaa ninkutauna ming'oko.....!
hahaaa uvee kukaya unatauna ming'oko
mipa ming'oko iiii
kwa masasi na nachingwea zipo NAJMA NA GAMET
MTWARA ZIPO MANING,BUTI LA ZUNGU,MACHINGA,FIVE ALLIANCE,JM NA MOJA NIMESAHAU HIZO NDO UHAKIKA NA SAFARI
NEWALA kuna IBRA NA LEO
LINDI MJINI kuna SADIA