Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

safi sana nakumbuka enzi hizo nasoma LIndi sec unapakia akida bus, wifi nae, wahida,
misungwi ilikuwa full majanga
 
Mkapa kaenda kapa.

Kumbuka, hiyo barabara ni jitihada za Kikwete wakati ni waziri wa mambo za nje, Wa Kuwait ndio walitoa msaada. Eti Mkapa, Mkapa alivimbisha tumbo lake tu alipokuwa Ikulu.
UKiwa na janaba usitoe koment uta jiharibia tu.
 
Mkapa kaenda kapa.

Kumbuka, hiyo barabara ni jitihada za Kikwete wakati ni waziri wa mambo za nje, Wa Kuwait ndio walitoa msaada. Eti Mkapa, Mkapa alivimbisha tumbo lake tu alipokuwa Ikulu.

Serikali iliomba fedha kutoka mashirika ya nje, walipata kiasi kidogo ambacho kisingeweza kujenga barabara hiyo, hivyo serikali iliamua kutumia fedha zake za ndani kujenga barabara hiyo, ndiyo maana Kikwete alipochukua madaraka hakuona umuhimu wa kujenga kipande cha kilomita sitini kilichokuwa hakijakamilika wakati muda wa Rais Mkapa ulipomalika.

Kipande hicho cha kilomita 60 kimetumia muda wote wa uongozi wa Kikwete kujengwa ambacho hadi sasa hakijamalizika, kama ingekuwa ni fedha ya Kuwait, barabara ingekuwa imekamilika, ujenzi wa kipande hicho, kwa mwaka ni sawasawa kusema kuwa wanajenga kilomita sita (6) tu kwa mwaka.
 
Lol, umenikoshaje!!! Ming'oko, chikandanga, enzi zileee twaenda Mtwara girls (Red skirts) samaki wa Nangurukuru! I mis kusini daaah
Kumbe wengi humu mlipita Mtwara Girls..aisee, nimewapenda bureeee
 
Nimejisikia fresh sana kwa huu uzi,mana nakumbuka miaka ileeeeee tulikuwa hatutukaniwi mama zetu kama sasa.,tulikuwa tunaambiwa "ndio mana Mmakonde!"..,baaaas!lilikuwa tusi tosha kukufanya ujisikie vibaya sana!!
Mtwara kucheelee!!.....kila munu ave na kwao,bhaaaaaa!!
 
Serikali iliomba fedha kutoka mashirika ya nje, walipata kiasi kidogo ambacho kisingeweza kujenga barabara hiyo, hivyo serikali iliamua kutumia fedha zake za ndani kujenga barabara hiyo, ndiyo maana Kikwete alipochukua madaraka hakuona umuhimu wa kujenga kipande cha kilomita sitini kilichokuwa hakijakamilika wakati muda wa Rais Mkapa ulipomalika.

Kipande hicho cha kilomita 60 kimetumia muda wote wa uongozi wa Kikwete kujengwa ambacho hadi sasa hakijamalizika, kama ingekuwa ni fedha ya Kuwait, barabara ingekuwa imekamilika, ujenzi wa kipande hicho, kwa mwaka ni sawasawa kusema kuwa wanajenga kilomita sita (6) tu kwa mwaka.

Kasome vizuri historia ya hiyo barabara na hata hiyo kampuni iliyobakisha kujenga hizo kilomita 60 ni ya wapi na kwanini mpaka leo wanashindwa kufukuzwa kwa kutokutenda kazi.
 
By Nature, nasikia wenyewe wanasema viwanja vimepanda bei lkn c kivile kulinganisha na mikoa ya nyanda za juu, kwa iyo ukiwa m 10 au 15 hadi 20 unapata kiwanja cha kutosha nyumba na garden yake
Vilevile leo nimepita kule Zambia road nimekuta nyumba mbili zenye hali mzuri zinauzwa wameka tangazo kubwa kbs
Ebu ngoja nifanye savey alafu nitkujulisha. Nilichokisoma sasa ivi ni kwamba nyumba nyingi za ktkt ya mji zinauzwa so bado una oportunite ya kupata eneo na ukawekeza
Ok mdada

Viwanja vimepanda bei mdau tena sana! Hiyo nyanda ya juu kusini unayoisema ni ipi tusiyoijua? Eneo ambalo ni prime ni jiji la Mbeya hasa kule forest. Kiwanja Mtwara eneo la beach kule Shangani kimeuzwa 1bn/-, pale Mnarani kiwanja kiliuzwa 400m/-. Ni mkoa gani wa Tanzania ukiondoa Dar hasa Kariakoo na kule kwa washua Mikocheni au Masaki nk kiwanja kitauzwa 1bn? Kwa anaepafaham vizuri Mtwara pale karibu na Jeshini round about ya kanisa la biblia kuna kiuzio fulani cha garage ya Mpemba mmoja hivi nadhan anaitwa Abdu Swamad, Oilcom walitaka wanunue kwa 200m/- akakataa!

Hivyo viwanja vimepanda bei. Kule Msijute ndo viwanja bei hiyo million10, lakini pale town uwe na million20-30, ambayo ni bei ya kawaida hata hapa Dar utapata kiwanja kwa bei ya 10-30m/- kule Kinyerezi, Kitunda, Kongowe, Kigamboni nk. Kusema nyanda ya juu kusini kama Njombe, Songea, Iringa na Rukwa kwamba zinaweza ku compete na Mtwara sidhani, tena vimeshuka kidogo mara baada ya zile rapsha, vinginevyo bei ilikuwa ni ghali sana.
 
hahaaaaaa
we kweli mtata kote huko...?!!
sabasaba asa hv hamna kitu pale full kufeli wanafunzi
mtwara girls waliotoa o level wakabaki advance asa uv wamewarudisha tena olevel

Yaani ni full kupigana na watoto wa DSA.
Ila Mtwagiseco sitapasahau,
eti tulikuwa tunawavizia wanafunzi wanaosoma Naliendele halafu tunarushiana mawe kule mikoroshoni....uwanafunzi bhana, tunakuwa kama tumedata
 
Madam B sabasaba mwaka gani hiyo? Coz mwaka wetu kuna mdada alikuaga mbishi balaa sio wewe kweli?

Hahahaahha.......sidhani kama tulisoma mwaka mmoja.
....sikia, unamfahamu sister du mmoja alikuwa anaitwa Pauline John, alikuwa mzuriii, mweupe mweupe hivi anaendesha baiskeli ya gia?..... unaumbuka kuna kipindi alitekwa mpaka mkuu wa shule akaitwa pale mkoani kujieleza?
 
.....😛eep:

Nimecheka sana sehem flan unasema ukiwa shule ungekuja kuwa Jambaz la kike kwa babe uliokuwa nao shule khaaa,,,,! Ujue kipindi cha makuzi Kijana anajiona anaweza kila kitu lkn umri unavyoongezeka kila kitu kinabadilika inabaki stori tu,,,,!
 
Hahahaahha.......sidhani kama tulisoma mwaka mmoja.
....sikia, unamfahamu sister du mmoja alikuwa anaitwa Pauline John, alikuwa mzuriii, mweupe mweupe hivi anaendesha baiskeli ya gia?..... unaumbuka kuna kipindi alitekwa mpaka mkuu wa shule akaitwa pale mkoani kujieleza?

Pauline john alikua anavaa miwani? Ana kaa railway? ni msabato? au totally wrong!
 
Madame B unaniachaga hoi na story zako...unaonekana ulikuwa ni wale wa papo kwa papo ukizinguliwa alafu kesi badae

Mrembo by Nature mie wakati nasoma nilikuwa mtata sana, ....
Kisanga ambacho nakikumbuka mpaka leo ni pale nilipopewa sansipeshen, kwa kosa la kumvunja miguu head girl.
Basi tulivyomaliza kifungo wakati wa kurudi si unakuja na mzazi wako,...baba alikuwa hajui kama nilipewa adhabu maana home sikwenda wala nini, niliishia ghetto kwa rafiki zangu.
Nilichofanya, nikamtafuta konda wa bus la Wifi nae alikuwa anaitwa Omary 'toz wa liwale'...nikajifanya ndie mzazi wangu.
.....hahhahah, Mungu anaumbua sana jamani, ile siku ya kurudi shule huku niko na Omary, kumbe baba nae kaja kunitembelea.....hahahahaha, ilikuwa patashika.
Tulicharazwa mikwaju mimi na Omary wangu, sitasahau.

Ila nilisikia Omary alishakufa 2012(r.i.p).
Maisha ya shule, kama tumevutishwa bhangi
 
Last edited by a moderator:
Viwanja vimepanda bei mdau tena sana! Hiyo nyanda ya juu kusini unayoisema ni ipi tusiyoijua? Eneo ambalo ni prime ni jiji la Mbeya hasa kule forest. Kiwanja Mtwara eneo la beach kule Shangani kimeuzwa 1bn/-, pale Mnarani kiwanja kiliuzwa 400m/-. Ni mkoa gani wa Tanzania ukiondoa Dar hasa Kariakoo na kule kwa washua Mikocheni au Masaki nk kiwanja kitauzwa 1bn? Kwa anaepafaham vizuri Mtwara pale karibu na Jeshini round about ya kanisa la biblia kuna kiuzio fulani cha garage ya Mpemba mmoja hivi nadhan anaitwa Abdu Swamad, Oilcom walitaka wanunue kwa 200m/- akakataa!

Hivyo viwanja vimepanda bei. Kule Msijute ndo viwanja bei hiyo million10, lakini pale town uwe na million20-30, ambayo ni bei ya kawaida hata hapa Dar utapata kiwanja kwa bei ya 10-30m/- kule Kinyerezi, Kitunda, Kongowe, Kigamboni nk. Kusema nyanda ya juu kusini kama Njombe, Songea, Iringa na Rukwa kwamba zinaweza ku compete na Mtwara sidhani, tena vimeshuka kidogo mara baada ya zile rapsha, vinginevyo bei ilikuwa ni ghali sana.

Kwa sasa Mtwara iko juu huwezi kuifananisha na mikoa ya ajabu ajabu.
 
Pauline john alikua anavaa miwani? Ana kaa railway? ni msabato? au totally wrong!

huyohuyoooooooo kudadekiiiiii, jirani yake na mtoto wa Lubinsha, Diana...anavaa miwani nyeupe alikuwa anatembea na mkaka mmoja alikuwa anaitwa Justin, kalegeeeeea.
Mtoto alikuwa anajifanya mashauzi sana yule Pauline....alikuwa anajiona mzuri na nyodo juu....watu tukamteka tukampeleka Mikindani kumpa kichapo cha haja.....ilivyokuja kugundulika kama sie ndo tumemteka....tulipewa adhabu na kufukuzwa shule, hapo niko form 2......ndo nikahamia Mtwara girls.
Aiseeeee......umenikumbusha mbaaliiiiii
 
huyohuyoooooooo kudadekiiiiii, jirani yake na mtoto wa Lubinsha, Diana...anavaa miwani nyeupe alikuwa anatembea na mkaka mmoja alikuwa anaitwa Justin, kalegeeeeea.
Mtoto alikuwa anajifanya mashauzi sana yule Pauline....alikuwa anajiona mzuri na nyodo juu....watu tukamteka tukampeleka Mikindani kumpa kichapo cha haja.....ilivyokuja kugundulika kama sie ndo tumemteka....tulipewa adhabu na kufukuzwa shule, hapo niko form 2......ndo nikahamia Mtwara girls.
Aiseeeee......umenikumbusha mbaaliiiiii

Ha ha ha pauline yule dada alikuaga msafiii,daah indian kotaz ulikua wakaa maeneo gani pande zile?
 
Back
Top Bottom