Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Hilo ni tatizo kubwa sana. Hapo ustaarab bado. Mimi jambo hilo hunishangaza sana. Eti begi ulipie, ni aibu kubwa kwa zama hizi. Majuzi nilikuwa Njombe nimerud na Box la viaz bure kabisa kampuni moja ya mabasi ya Galaxy, iko poa!

Wasfirishaji wa Mtwara to Dar wanalo la kujifunza hapa. Maning Nice mwenyewe mabasi yake mengine yanaenda kwao kule Lushoto lakini ulimbukeni wa kukomalia vibegi hawana, why kwa yale yaendayo kusini tu?! Kwa zama hizi wajirekebishe bhana!

kweli ni mtu wa tanga mshkaji wa maning sema anapiga pesa msumbiji
kuhusu mabegi maning jamani wanaongoza kutoza
bora buti la zungu na machinga hawatozi mizigo sana km maning na niliacha kupanda maning kwa sababu hiyo ya kulipisha mizigo
 
Hahaha hivi Litingi si ndo kuna shule ya King David maeneo hayo sijui kama ile club bado ipo. Na Blantayre naona sikuiz pamekuwa Open University ile club imekufa au imehamishwa?

Hako kaminisuper market nimewah kaona ila friji la ice cream za Azam utakuta wameweka njegere hahaha.
Safari lounge sikuiz pameanza kufulia vumbi tu la maduka makubwa limepaharibu.

Ushirika nadhani sikuizi hakuna disco toto tena pamekufa jirani kuna bank ya BOA.

Naf Beach.. BRN Royal Pam.. Msimbati nasikia sikuiz ndio kuna hit bila kusahau Msemo Beach, Makonde,Maisha club n.k

nilivyofika mtwara mara ya kwanza mwenyeji wangu akaniambia ngoja nikakuonyeshe coco beach!!! dah kumbe ni stand ya bodaboda!!! nilipapenda sana Msemo Beach na Makonde kabla hawajajenga ile club
 
Laana unayoitafuta mtaipata tu... Kwa maneno hayo uliyotumia nakuhakikishia huu mwaka hautaisha bila kutokea ajali mbaya kwenye hiyo barabara, god forbid

Utajisikiaje ikitokea hivyo? Sio mambo ya kuombea. Wachagga, Wamakonde, Wapare, Wagogo, Wasukuma, Waingereza, Waamerika, Wakenya, nk wote ni binadamu na wanatumia hii njia ya MTW-DSM hivyo daima tunapaswa kuombeana heri pia kushauriana/kukosoana katika kuepusha shari na majanga yanayoepukika. Ajali ikitokea barabara ya Mtwara-DSM au DSM-Moshi/Mwanza/ Mbeya, nk wataathirika Wachagga, Wamakonde, Wazungu. Hivyo, ndugu yetu Nkya daima uwe unatoa kauli zenye kuomba heri na usalama kwa watu wote bila kujali ni wa wapi.
 
Ni msambaa kutoka Lushoto! Amefanya biashara ya Mabasi muda mwingi huko Msumbiji lakini ni Mgosi na ni Mtanzania Halisi. Kama uko Mtwara leo, likifika basi la Maning Nice, nenda Mlango wa Dereva kasome anuani na jina la mmiliki wa basi. Utakuta jina limeanza na neno She.....! Shekimweri, Shelutete, Shelukindo, Shekifu nk! Anatumia address ya Dar, ila ni msambaa pure. Yard yake iko pale Mwembeyanga kama unaelekea Yombo Kilakala karibu na soko la Maguruwe!
Ok thanks kwa ufafanuzi mkuu....Huku inasikika sana the guy is from Musmbiji, bora umenijuza, adress ya pale mlangoni kweli ni ya dar ila sijakuwa makini kuangalia jina..I will next time
 
Dah umenikumbusha kunazi na embe Enzi hizo shangani porini wanakaa wakishua tu watoto wa Indian quarters tulikuwa tunaendaga kuokota kunazi kule fini club maeneo ya Mtepwezi .. hao mbwa sasa haha
We dada nahisi nakufahamu sana, kama ukienda FINI kuokota kunazi...basi tulikuwa mkumbo mmoja, manake tukitoka tu ligula primary school tunaenda shangani kuokota kunazi, wale watoto wa kishua nikiwaonea gele sana manake mikunazi ipo mbele yao tu, tulikuwa tunavuka msitu wa ufundi pale!! Siku hizi kuna college ya utumishi maeneo yale!! Nikipita baharini kule nakuta wamama wanaokota viokolo na kumbwa!! Hahahaaa lazima tutie timu tukawasaidie
 
Hivyo vyote amefanya kwa hela/pesa yake ya mfukoni hebu tupishe na wewe huko!

Ni kupanga na kuchaguwa matumizi ya fedha za Tanzania alizokabidhiwa kuzisimamia, ndiyo maana ya kuwa kiongozi.

Wa kabla yake walifanya nini?

Wewe ulizaliwa na pesa yako. Wacha kiherehere.
 
We dada nahisi nakufahamu sana, kama ukienda FINI kuokota kunazi...basi tulikuwa mkumbo mmoja, manake tukitoka tu ligula primary school tunaenda shangani kuokota kunazi, wale watoto wa kishua nikiwaonea gele sana manake mikunazi ipo mbele yao tu, tulikuwa tunavuka msitu wa ufundi pale!! Siku hizi kuna college ya utumishi maeneo yale!! Nikipita baharini kule nakuta wamama wanaokota viokolo na kumbwa!! Hahahaaa lazima tutie timu tukawasaidie

Afu unajua mie nimesoma Ligula primary?
Wapi mwl Mayele, Chimpepo, Haule, Mandanda,Nachi alikuwa na mkono uliolemaa....mdogomdogo, nitakujua tu
 
We dada nahisi nakufahamu sana, kama ukienda FINI kuokota kunazi...basi tulikuwa mkumbo mmoja, manake tukitoka tu ligula primary school tunaenda shangani kuokota kunazi, wale watoto wa kishua nikiwaonea gele sana manake mikunazi ipo mbele yao tu, tulikuwa tunavuka msitu wa ufundi pale!! Siku hizi kuna college ya utumishi maeneo yale!! Nikipita baharini kule nakuta wamama wanaokota viokolo na kumbwa!! Hahahaaa lazima tutie timu tukawasaidie

Ha ha ha ha! Viokolo na Kumbwa na Chikandanga na Ming'oko only in Mtwara and Lindi regions. Dar es Salaam Wazaramo na Wandengeleko Ming'oko wanaiita MIBAO, wakati Vitolo na Makung'u( only in Mtwara) huku Dar wanaita Mabungo na tukapata jina UBUNGO!
 
Yaani nikikumbuka vituko vyake.
Siku moja tulienda kwake saa 9 usiku tukiwa na mawe, tukapiga dirisha la chumbani kwake....vioo vyote chini, ile tunakimbia tu, mwenzetu mmoja akaangukia mtaroni akateguka mguu.
Ilibidi tumbebe juu juu huku tukisaidiana.
Tulimuuguza wenyewe mpaka alipona....hivi angeoza mguu sijui ingekuwaje.


hahahaa hatari sana
 
Ok thanks kwa ufafanuzi mkuu....Huku inasikika sana the guy is from Musmbiji, bora umenijuza, adress ya pale mlangoni kweli ni ya dar ila sijakuwa makini kuangalia jina..I will next time

Ok kaka! Ni Msambaa wa Lushoto-Tanga huko, kwenye safu za Milima ya Usambaa!

Hivi pale verani bado pako vilevile? Pamoja na kina kirefu tulikuwa tunaoga pale. Nilikuja Mtwara mwaka huu mwezi April, nilikuta Zambia road iko paved kwa lami, pale Magomeni mnadani( sijui siku hizi wako wapi) niliambiwa itawekwa lami hadi VETA huko sasa sijui ilishawekwa? Sizinga utuarifu kama lami tayari Magomen-Veta, Tandika Road, MATC( Inaitwa COTC) lami tayari!?
 
Ni kwa mara kwanza kusafiri na basi ambalo ni luxury kutokea Dar kwenda mkoa ule ambao miaka ya nyuma inasemekana ni mkoa uliosahaulika na ni sehemu ya adhabu kwa wafanyakazi wa serikali hii ya bongo.

Kilichonikosha roho ni kuona basi hili likitoa huduma ambayo tulizoea kuziona kwenye njia za mikoa ile ya ukanda wa kaskazini, mwanzo kabisa wa safari wahudumu hujitambulisha kwa abiria wao, then kuwahabarisha utaratibu wa safari abiria wote kuhusu kufunga mkanda kwa usalama wetu, kutoa mifuko ya kuweka uchafu,utaratibu wa kuongea na muhudumu bila kubugudhi abiria mwezako, utaratibu wa kushuka kwenye gari,vinywaji baridi vya Azam. mwisho kumtanguliza Mungu kwenye safari.

Sasa kutokana hali hiyo nikakumbuka safari yangu ya 1995 kutoka huko Kusini kuja Dar ambao tulisafiri na lory kwa siku sita, usafiri mwingine ilikuwa meli siku mbili majini, duh Kusini tumetoka mbali.

Jamani bah! Ntwara raha, usisahau km 60 za somanga yaani hapo ungemalizia kwa kuwapa eko tu jamaa wa magogoni na chama chao. Dangote kamaliza kabisa na uwekezaji wake wa kiwanda cha saruji.
 
Hivi kampuni ya Ng' itu imekufa kabisa? Mbona kimya? Hata zile coaster za Mtwara- Masasi hakuna, au bado zipo? Mulioko Mtwara mutujuze!

Kampuni ya Sollo imekufa kabisa? Mbona kimyaaa?

Vipi Al hamduli llah nae kimya hana basi kabisa? Mutujuze!
 
Hahahaahha.......sidhani kama tulisoma mwaka mmoja.
....sikia, unamfahamu sister du mmoja alikuwa anaitwa Pauline John, alikuwa mzuriii, mweupe mweupe hivi anaendesha baiskeli ya gia?..... unaumbuka kuna kipindi alitekwa mpaka mkuu wa shule akaitwa pale mkoani kujieleza?


hahahhaa ndo ww pauline john? hahahahaa
 
Aisee asante mleta uzi, nimekumbuka Chikandanga, Ming'oko, kunazi, mapwiru, embe, ng'onda, korosho, chamaki nchanga n.k.

....Maana watu tumetoka mbali, unalala Rufijiiiiiii.....usiku tunaishia kupapaswa na makonda, asubuhi ndo mnaanza safari, hapo hamjaiona Kilwa, basi lishaharibika si chini ya mara 8.
Skonga umevuta, gari njiani linaharibika, ...ukifika skonga unachezea mbata za teacher Ngwadakulima....mamaeeee....we mwalimu nyoko zako uliko huko.
Siku tukikutana jifiche mwenyewe...maana nitakufanyia kitu nbaya


hahahaaa dogo ucpanik alikua anatuweka sawa tu
 
Hivi kampuni ya Ng' itu imekufa kabisa? Mbona kimya? Hata zile coaster za Mtwara- Masasi hakuna, au bado zipo? Mulioko Mtwara mutujuze!

Kampuni ya Sollo imekufa kabisa? Mbona kimyaaa?

Vipi Al hamduli llah nae kimya hana basi kabisa? Mutujuze!

ng'itu alivyokufa yule mbunge tu baas kila kitu kikaisha na akaja kufa na shangwe ndo baas
 
Mtwara raha nae kashindwa hata kununua Yutong moja?

mtwara raha gari yake ilikua pale NBC walikua wanapiga mnada 45mills sijui ishanunuliwa
maana mkopo ulimshinda sijui benki gani watampa tena
 
Back
Top Bottom