Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

hii ndo ligula primary school...vichwa vingi vya mtwara ndo chimbuko lake, tumepigishwa sana kwata hapa na akina mayele(rip) na akina nachiputa...hahahaaaa..usimsahau mwl munga..akina dodi, manento...mwl masali alikuwa na style yake ya kung'ata pua ni "rings"...hahaaa majambazi yote akina razaro, anord waliisoma namba


fkmnhf.jpg



unaiona "ngunja" hii hapa chini...hahaaa ni shida kwakweli. Hapo huezi kupata tuzo ya usafi mweee

1pfkh4.jpg

njia yangu siku nikishukia bima
nakula bado la hapa carwash kueleka shooters napita hapa ligula kuelekea half london
 
Hivi yule dada My Dume bado yupo? Anasifa kama dada mmoja wa EATV yeye best zake ni washikaji tu, na masela wa town tu yaani sheeeedah!
 
Hivi yule dada My Dume bado yupo? Anasifa kama dada mmoja wa EATV yeye best zake ni washikaji tu, na masela wa town tu yaani sheeeedah!
MyDume(RIP)...alifia kwa mama ake maeneo ya Mangoela.(Nasikia aliondoka kwa ngoma)..!!
 
boss nikija tena mtwara nitakutafuta.....nilikuja mara ya mwisho mwezi wa sita maisha club ilikuwa imefungwa ile njia yote ilikuwa imemwagwa vifusi..washaweka lami??
Full mkeka bandugu...u r most welcome bro!!
 
Barabara ya pale sokoni kupitia Nabwada hadi Bandarini full LAMI...inaitwa KUNAMBI ROAD...soko kubwa lote limezungukwa na lami

Haha hivi bwawa la Nabwada bado lipo? Na pale Lang'ata bado panafanya kazi?
 
Ng'itu tangu yule mzee(Mbunge) afariki naona wadogo za wameshindwa kabisa kuiendeleza ile kampuni, Wenzake wananunua Yutong ye bado anaendelea na Mikweche yake, biashara imemshinda,coz nobody akipanda gari zake labda uwe umechelewa na huna option nyingine...
Baadae nikasikia biashara zake ni za NGENDE so imekufa kifo cha mende

Ila jamaa nao waachane na hizo mambo za Ngende aisee zinawarudisha nyuma
 
Full mkeka bandugu...u r most welcome bro!!

mara ya kwanza kufika mtwara mwaka jana,hio mwezi wa sita ni mara ya pili,kwa kweli nilipapenda...picha niliyojenga kwa kusikia stori za watu ni tofauti na hali halisi,kuko poa sana...weekend moja mwezi huu lazima nije kula bata...
 
Hapa ndo kivuko kinaweka nanga yake..M.V MAFANIKIO
28v80uf.jpg

Dah nakumbuka zamani kuvuka Msanga mkuu ilikuwa sh. 10 kama sikosei ikapanda hadi sh. 50 ila feri panaonekana pazuri sikuiz hiyo barabara safiii na kivuko sijui feri penyewe wamejenga kama dar au ndio masoko yapo yale mabovu mabovu
 
Hii ndo LIGULA PRIMARY SCHOOL...vichwa vingi vya Mtwara ndo chimbuko lake, tumepigishwa sana KWATA hapa na akina MAYELE(RIP) na akina Nachiputa...hahahaaaa..usimsahau Mwl Munga..akina DODI, Manento...Mwl Masali alikuwa na style yake ya kung'ata pua ni "RINGS"...hahaaa majambazi yote akina RAZARO, ANORD waliisoma namba


fkmnhf.jpg



Unaiona "ngunja" hii hapa chini...hahaaa ni shida kwakweli. Hapo huezi kupata tuzo ya usafi mweee

1pfkh4.jpg

Hahaa shule yetu inaongoza kwa ngunja jamani wanafunzi wa Shangani walikuwa wanatutania sana. Na lile shamba la shule minazi yote ikaishia kukodishwa na kugemea pombe.
 
Kunaz ni tunda la Uarabuni na pwani kwa ujumla. Pale Dodoma ilipandwa makusudi na Waarab ila wenyeji hawajui.Mikunaz imetajwa vema kwenye Quran tukufu kama moja ya chakula chenye ladha. Pamoja na umri wangu nilio nao kwa sasa, mkoa wowote na mji wowote nikikuta mkunaz umedondosha tunda zake nitaokota tu.

Aise jana nilipita pale Mbagala, nikakuta ming' oko inauzwa live. Pia nikakuta akinamama wanauza magos( ngozi za ng'ombe zilizochemshwa sawa tu na kongoro) nikakumbuka mbali sana mambo ya Kilabu cha Tandika, Kwa Nondo na pale Skoya- Lang'ata enzi hizo!

Hahaa umenikumbusha Lang'ata palikuwa maarufu bila kusahau DDC kule maeneo ya line polisi club maarufu ya pombe za kienyeji. Aisee hata mm mpaka kesho kunazi na kula hasa zile ukute zimeivaa sana tunaita kilenge kama embe zilizoiva sana haha. Nakumbuka Midabwa,pooza na vilenge dah.
 
Hahaha hata shangani ya Majumba saba kule kulikuwa na mbwa sana na kule shangani pale mifugo kwa marehemu Komba palikuwa na kunazi nyingi ila wamezungusha fence haha

Tumewapiga sana makonzi watoto wa Shangani
 
MyDume(RIP)...alifia kwa mama ake maeneo ya Mangoela.(Nasikia aliondoka kwa ngoma)..!!

R.I.P aisee sikulijua hilo. Unajua sis wengine home ni hapo town Mtwara ila mambo ya shule na baadae job zimetufanya tutembee mikoa nj ya Mtw. Likizo.ndo fursa. Nilivyokuja April mwaka huu aisee bado Mmarekani yuko vilevile kisela sana na wala hajazeeka. Nilikumbuka mbali sana
 
Afu unajua mie nimesoma Ligula primary?
Wapi mwl Mayele, Chimpepo, Haule, Mandanda,Nachi alikuwa na mkono uliolemaa....mdogomdogo, nitakujua tu

Madam B una jua na mimi nimepita ligula primary skuli,mwalimu masari alikua ana ng'ata pua yule mzee halafu mwalimu jotta alikua ana matusi ya nguoni yule mama,enzi zile mwalimu mkuu mama mwangata kila mwaka ana mimba daah.george mmangaribi ndio alikua mtaalamu wa kucheza ngoma ya mganda.huu uzi raha tupu una nikumbusha mbali sana.
 
Last edited by a moderator:
Huo ni ukweli aisee na walikuwa wanaongozaga kwa scandal mji mzima unamjua fulani kafanya nn na hv mji ulikuwaga mdogoo.

Me nilikuwa Indian Quarters palepale kwenye zile kota za Vigae. Kipindi cha embe tunakoma watoto wenyewe kwa wenyewe tunarusha mawe mpaka tunavunja vigae. Nilikuwa Maeneo ya kwa Mtingita au kwa Msaki kama unawakumbuka maana walikuwaga maarufu enzi hizo ule upande wetu.

Asante mleta uzi maana umenikutanisha na mmoja wa watoto tuliocheza utotoni Indian kota.
....yaani ilikuwa ikifika msimu wa embe, mtoto hatumwi dukani...ukimtuma tu, haooooo kwenye miembe.
Unapakumbuka kwa Mzee Mwakyoma, baba Hanifa, Mzee George....kule ng'ambo kwa mama Salama alikuwa na mapacha 2 wa kiume.
Unapakumbuka kwa kina Rehema, nyumbani kwao ndio kulikuwa na mipapai mitamu kota nzima, watu tulikuwa tunaamka saa 9 usiku tunaenda kupanda fensi ili kuiba mapapai.
Unakumbuka mibuyu ya pale bwawani?
Aiseeee.....hivi unamjua Ishumi Fadhili?
alikuwa mtoto toka Chikongola, akakosea step akaja kutuchokoza watoto wa kota....alichokipata, alihama mpaka shule
 
Hahaa umenikumbusha Lang'ata palikuwa maarufu bila kusahau DDC kule maeneo ya line polisi club maarufu ya pombe za kienyeji. Aisee hata mm mpaka kesho kunazi na kula hasa zile ukute zimeivaa sana tunaita kilenge kama embe zilizoiva sana haha. Nakumbuka Midabwa,pooza na vilenge dah.

Ha ha ha! Majina mengine yalishanitoka kama milenge ndo nakumbuka embe zilizoiva sana. Hivi pale Madukani kontena la wajanja( wenyew wakiita hivyo) la Shilling bado lipo!?
 
Hahaha Mwalimu Masali mbana pua.. Mwalimu Dodi, Manento,Ngonyani,Lingwanda,Mduma ila wengi wamehama kabaki Mwl. Fundi na Mkongwe mwenyewe Mwangata hadi leo bado mwalimu Mkuu.

Daadeq....mbona kama nakujua?
 
Last edited by a moderator:
hahaa umenikumbusha lang'ata palikuwa maarufu bila kusahau ddc kule maeneo ya line polisi club maarufu ya pombe za kienyeji. Aisee hata mm mpaka kesho kunazi na kula hasa zile ukute zimeivaa sana tunaita kilenge kama embe zilizoiva sana haha. Nakumbuka midabwa,pooza na vilenge dah.

ddc wametolewa pale wanafugwa mbwa wa polisi (wa kudhibiti waandamanaji wa gesi)
 
Madam B una jua na mimi nimepita ligula primary skuli,mwalimu masari alikua ana ng'ata pua yule mzee halafu mwalimu jotta alikua ana matusi ya nguoni yule mama,enzi zile mwalimu mkuu mama mwangata kila mwaka ana mimba daah.george mmangaribi ndio alikua mtaalamu wa kucheza ngoma ya mganda.huu uzi raha tupu una nikumbusha mbali sana.

Mwl. Jotta alifariki mwaka 1999 Mwalimu Mwangata bado yupo hadi leo ni Mwl. Mkuu mwl. Mrekoni amefariki mwaka huu nayeye. Walimu wengine wengi wamehama pale
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom