Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
hii ndo ligula primary school...vichwa vingi vya mtwara ndo chimbuko lake, tumepigishwa sana kwata hapa na akina mayele(rip) na akina nachiputa...hahahaaaa..usimsahau mwl munga..akina dodi, manento...mwl masali alikuwa na style yake ya kung'ata pua ni "rings"...hahaaa majambazi yote akina razaro, anord waliisoma namba
![]()
unaiona "ngunja" hii hapa chini...hahaaa ni shida kwakweli. Hapo huezi kupata tuzo ya usafi mweee
![]()
njia yangu siku nikishukia bima
nakula bado la hapa carwash kueleka shooters napita hapa ligula kuelekea half london