Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usafiri wa ndege mambo ya ukaguzi yakipuuzwa ili kupunguza gharama basi inabidi tuwe na akina majaliwa wengi, bila hivyo ndege zitakuwa kama bodaboba na nchi nyingine watupiga marufukuNdege wakiondoa ukiritimba sio ghari kivile na abiria wa Mwanza,Mbeya,Dom, Arusha na Zanzibar wapo wengi sana ni vile wameweka password inaonekana ni usafiri wa anasa...
Kuna Basi luxury Lina chaji 120, 000 Mza Dar.
COLLECT AU CORRECT. UNAJUA KISWAHILI KINA RAHA YAKE KUKIANDIKA😂😂😂😂Uhondo mkuu, sometimes collect direct in yo brain tu!.
Fafanua vizuri.Someni tangazo vizuri. Ni special flight siku ya tarehe 13 na ni 1000hrs dar mwanza tu.
Ally's anawapiga sana huwezi mlipisha abiria 120k kwa Bus Coach, hiyo nauli ilitakiwa ichajiwe kwa Sleep Line Bus ambazo ni full luxury. Hata watu wa Latra hizo nauli wamepitisha kwa kufumba machoAlly's Wana mabus VVIP wanatoza 120,000/= kama ni kweli itakuwa nafuu Sana Kwa abiria
Ally's bus hao jamaa wanakimbia barabarani sio kitoto na overtake za Kiboya , kama hawa jamaa wa ndege ni kweli kila mwisho wa mwezi nitakuwa navist home , nahs hapo kuna mkono wa Mzee wa msoga...!!Linaitwaje?
soon utashangaa wanafungiwa kama fast jet ATCLL itawaletea figisu
Kivipi mkuu sijakuelewa maana wiki nne zilizopita nimeenda Jhb mpaka Durban kwa rand 800 nadhani sawa na Tsh 112,000 na Tiketi ya Kuja Tanzania na Kurudi SA Kenya Airways kwa USD 300...pana muda bei ya ndege kwenda Cape Town kutokea JHB inakua chini kuliko Bus na bado bus zinajaa tuu...Usafiri wa ndege mambo ya ukaguzi yakipuuzwa ili kupunguza gharama basi inabidi tuwe na akina majaliwa wengi, bila hivyo ndege zitakuwa kama bodaboba na nchi nyingine watupiga marufuku
Sijasema ukaguzi nimezungumzia gharama za uwanja kwa abiria Tanzania ni kubwa sana ndio maana wageni wengi wanashukia Nairobi wanakuja Arusha kwa Coaster wakikwepa gharama kubwa ya Uwanja hapo KIA harafu tunasema tunashindana nao Utalii wakati wageni wengi wanashukia kwao harafu sisi hatutengenezi mazingira rafiki na tuna vivitio vingi kushinda wao tumejiwekea Pin code zisizo na maana punguzeni gharama ili mate wageni wengi mate kodi zao kupitia huduma na mambo mengine...Usafiri wa ndege mambo ya ukaguzi yakipuuzwa ili kupunguza gharama basi inabidi tuwe na akina majaliwa wengi, bila hivyo ndege zitakuwa kama bodaboba na nchi nyingine watupiga marufuku
Naomba JinaKuna Basi luxury Lina chaji 120, 000 Mza Dar.
BukuNa Mwanza to Dar?je
Iambiwe Mara ngapi?Naomba Jina
KinyooooongeAnyways bei zikiwa fair watanzania nao wapande ndege.
Hata kama ni special flight basi bei ya siku zote isiwe kubwa sana.
Tujifunze kuwaombea watu memaMajaliwa awe karibu tu Kuna jitu libaenda kudondoka
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app