Usafiri wa ndege Dar es Salaam - Mwanza kwa Tsh 120,000, unaanza Machi 13, 2023

Usafiri wa ndege Dar es Salaam - Mwanza kwa Tsh 120,000, unaanza Machi 13, 2023

Ndege wakiondoa ukiritimba sio ghari kivile na abiria wa Mwanza,Mbeya,Dom, Arusha na Zanzibar wapo wengi sana ni vile wameweka password inaonekana ni usafiri wa anasa...
Acha uongo sio kwa Africa! Nchi gani Africa imefanikiwa kuweka bei ya chini?. Suala liko kwenye mazingira ya biashara hasa kutokuwa na uwezo wa uzalishaji wa vipuri na huduma za ndege na pia kodi zisizo rafiki na udogo wa soko kutokana na umasikini.
 
Acha uongo sio kwa Africa! Nchi gani Africa imefanikiwa kuweka bei ya chini?. Suala liko kwenye mazingira ya biashara hasa kutokuwa na uwezo wa uzalishaji wa vipuri na huduma za ndege na pia kodi zisizo rafiki na udogo wa soko kutokana na umasikini.
Algeria. Tiketi za ndani bei ni fixed ukate leo kesho au mwaka jana
 
Gari za Ally's VVIP ni nzuri sana mkuu.
Hujasafiri mkuu!!
Sijaona basi yoyote ya kichina ambazo ni luxury .mnadanganywa , nenda hapo Zambia utakuja kuyapinga haya maneno yako hapa..
Luxury kwanza gar inakuwa Auto gearshift, wala huzisikii, engine nyuma mnasafiri kimya kimya , choo ndani , tena kwa wenzetu miaka hii ni choo cha haja zote, seat , inclination kubwa yani unalala na abiria wa nyuma yako halalamiki kuguswa na seat ,
Hakuna basi ya mchina yenye full air suspension , wala autobox,
Mfano wa luxury' hizi basi ni za abiria 35 tu kwa urefu huo, vioo ni sealed , hakuna kununua mahindi!!
 

Attachments

  • coach-bus-SCANIA-IRIZAR-i6-15-37---1664441750713636527_big--22092911452166708700.jpg
    coach-bus-SCANIA-IRIZAR-i6-15-37---1664441750713636527_big--22092911452166708700.jpg
    103 KB · Views: 10
  • coach-bus-SCANIA-IRIZAR-i6-15-37---1664441751390854866_big--22092911452166708700.jpg
    coach-bus-SCANIA-IRIZAR-i6-15-37---1664441751390854866_big--22092911452166708700.jpg
    96.5 KB · Views: 11
  • coach-bus-SCANIA-IRIZAR-i6-15-37---1664441751893925512_big--22092911452166708700.jpg
    coach-bus-SCANIA-IRIZAR-i6-15-37---1664441751893925512_big--22092911452166708700.jpg
    105.1 KB · Views: 9
  • coach-bus-SCANIA-IRIZAR-i6-15-37---1664441757955061403_big--22092911452166708700.jpg
    coach-bus-SCANIA-IRIZAR-i6-15-37---1664441757955061403_big--22092911452166708700.jpg
    73.9 KB · Views: 8
  • coach-bus-SCANIA-IRIZAR-i6-15-37---1664441758265651367_big--22092911452166708700.jpg
    coach-bus-SCANIA-IRIZAR-i6-15-37---1664441758265651367_big--22092911452166708700.jpg
    53.1 KB · Views: 11
  • coach-bus-SCANIA-IRIZAR-i6-15-37---1664441753203734310_big--22092911452166708700.jpg
    coach-bus-SCANIA-IRIZAR-i6-15-37---1664441753203734310_big--22092911452166708700.jpg
    126.4 KB · Views: 8
  • coach-bus-SCANIA-Irizar-K400-EB---1663312522502591585_big--18112013465329040200.jpg
    coach-bus-SCANIA-Irizar-K400-EB---1663312522502591585_big--18112013465329040200.jpg
    40.7 KB · Views: 11
  • coach-bus-SCANIA-Irizar-K400-EB---1542714422675992904_big--18112013465329040200.jpg
    coach-bus-SCANIA-Irizar-K400-EB---1542714422675992904_big--18112013465329040200.jpg
    59.6 KB · Views: 11
  • coach-bus-SCANIA-Irizar-K400-EB---1542714422069008102_big--18112013465329040200.jpg
    coach-bus-SCANIA-Irizar-K400-EB---1542714422069008102_big--18112013465329040200.jpg
    69.3 KB · Views: 11
  • coach-bus-SCANIA-Irizar-K400-EB---1542714421003175484_big--18112013465329040200.jpg
    coach-bus-SCANIA-Irizar-K400-EB---1542714421003175484_big--18112013465329040200.jpg
    58.2 KB · Views: 10
  • coach-bus-SCANIA-Irizar-K400-EB---1542714420131530633_big--18112013465329040200.jpg
    coach-bus-SCANIA-Irizar-K400-EB---1542714420131530633_big--18112013465329040200.jpg
    50.9 KB · Views: 11
Hujasafiri mkuu!!
Sijaona basi yoyote ya kichina ambazo ni luxury .mnadanganywa , nenda hapo Zambia utakuja kuyapinga haya maneno yako hapa..
Luxury kwanza gar inakuwa Auto gearshift, wala huzisikii, engine nyuma mnasafiri kimya kimya , choo ndani , tena kwa wenzetu miaka hii ni choo cha haja zote, seat , inclination kubwa yani unalala na abiria wa nyuma yako halalamiki kuguswa na seat ,
Hakuna basi ya mchina yenye full air suspension , wala autobox,
Mfano wa luxury' hizi basi ni za abiria 35 tu kwa urefu huo, vioo ni sealed , hakuna kununua mahindi!!
Bus za ukweli Sana hizi
 
Nataman sana mtu ashushe hesabu gharama ya safari moja kutoka Dar to Mwanza inayotumiwa na ndege mpk nauli ziwe kubwa kiasi hicho cha wakina Atcl
Gharama kubwa za uendeshaji wa ndege, standard kimataifa, ni mafuta 25 - 40%, matengenezo ,(maintenance) 15 -25%, gharama za watumishi 15-20% na zilizobaki ni gharama ndogondogo. Nakutafutia gharama za Bombardier uone bei itakuaje na kama 120,000 itawawezesha kufanyakazi au ni bei ya kuingia kwenye soko na kwa muda tu
 
Acha uongo sio kwa Africa! Nchi gani Africa imefanikiwa kuweka bei ya chini?. Suala liko kwenye mazingira ya biashara hasa kutokuwa na uwezo wa uzalishaji wa vipuri na huduma za ndege na pia kodi zisizo rafiki na udogo wa soko kutokana na umasikini.
Aisee pana kulula.com ilikua inatokea JHB mpaka Zanzibar kwa rand 2000 sijajua kama bado ipo sasa hivi tunapanda Kenya na Malawi kwa usd 300 kwenda na kurudi SA wana ubia na Ethiopia Airline muda mwingine unakata Malawi air mkifika Lilobgwe inauspicious ET mimi kila mwezi nasafiri na sijaanza jana nachoongea ndio nimekitumia...
 
Back
Top Bottom